Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

ZIARA YA CHONGOLO YAMPA NYUMBA BALOZI WA NYUMBA 10 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya makazi ya Mwenyekiti wa shina...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Bajeti ya Waziri Mohamed Mchengerwa imewasilishwa bungeni leo hadi sasa hakuna kelele zozote za rushwa kwa wabunge kama ilivyokuwa kwa wizara ya nishati. Heko wizara ya maliasili kwa kuendesha...
1 Reactions
6 Replies
890 Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 39 leo Juni 2, 2023. Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kufuatia juhudi mbalimbali za kuongeza utangazaji wa vituo vya utalii...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kesho Tanzania itapokea ndege ya mizigo. Hatua hii ichukuliwe kwa uzito wa pekee na wafanyabiashara wakubwa na wadogo. Ndege hiyo kubwa ya mizigo aina ya Boeing 767-300F itakuwa na uwezo wa kubeba...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Huwa najiuliza mara kwa mara, kwanini wanasiasa wa Afrika kipindi cha uchaguzi ni kama vita? Maana hata bajeti ya dharula kwa vyomno vya usalama huwa inawekwa kama sikosei! Maana kuweka askari...
3 Reactions
2 Replies
546 Views
MHE. TIMOTHEO MNZAVA - MRADI WA REA UMEKIHESHIMISHA CHAMA TAWALA "Manufaa ya gesi asilia ni makubwa, sekta ya gesi inakuwa kwa kasi kubwa na ni rahisi kusafirisha na watu wana matumaini makubwa...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Wabunge wote walioenda nlisikia ni 83, achilia mbali maafisa wengine wa serikali almost 110, the kwa haraka haraka tickets + accomodation + foods etc ya kipindi chote si chini ya dola 10,000 kwa...
32 Reactions
81 Replies
8K Views
John Heche Akiwa kwenye mjadala wasafi fm, John Heche amekanusha uvumi aliolizwa na mwandishi kuhusu kuwepo kambi mbili ndani ya Chadema huku yeye Heche akiwa kambi ya Tundu Lissu. Heche amesema...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
Miongoni mwa madereva tunaopata changamoto kubwa ni tunaotumia barabara inayoanzia Tembo Road hadi kiwanda cha Serengeti Breweries Ltd (SBL) kupitia FM Foundation Pre and Primary School. Barabara...
1 Reactions
1 Replies
943 Views
MHE. MUNDE TAMBWE APIGILIA MSUMARI MAAMUZI YA TIMU YA MAWAZIRI NANE NA BARAZA LA MAWAZIRI KUHUSU UGAWAJI MAENEO KALIUA Mbunge Viti Maalum Wanawake Mhe. Munde Abdallah Tambwe amemshukuru Waziri wa...
0 Reactions
1 Replies
698 Views
Sumaye, aliyekuwa Waziri Mkuu Serikali ya Awamu ya Tatu, alisema kasi ya kupanua vyuo vikuu haikuendana na ukuaji wa uchumi kwa kuwa vijana wengi waliomaliza shahada hawakuwa na ujuzi wa kufanya...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekabidhi eneo la ujezi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kwa Mkandarasi ambaye ni CRJE (East Africa)...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Miradi inatumia fedha nyingi za kigeni kufanya imports ya vifaa na kulipa wakandarasi Miradi mingi inatumia mikopo ambayo imeshaanza kulipwa kabla hata matunda ya mradi hayajaanza kuingiza kipato...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu leo tarehe 02 Juni 2023 akiwa Bukoba Mkoani Kagera ametangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania. “Kwa mujibu wa miongozo ya...
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika? Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu achilia mbali kufahamu, hata ile kusikia tu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba, Ni...
7 Reactions
64 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya SMZ ndugu Charles Hillary ametoa tangazo kwa umma ambalo clip yake inatrend kwamba eneo la shamba la Makurunge Razaba lililopo Wilaya ya Bagamoyo Kata ya...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Wale mliokuwa mnalaumu Rais wa Zanzibar kumuwakilisha Rais Samia na kuhoji Kwa nini sio Dr Mpango mnaitwa huku.
1 Reactions
5 Replies
978 Views
Katika ziara za viongozi wa chama Mh.Zitto Zuberi Kabwe , Mwenyekiti Babu Duni na Makamu Mwenyekiti Dorothy Semu moja ya jambo ambalo limeelezewa kwa unyeti ni suala la mabadiliko ya sheria ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B. Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu...
19 Reactions
79 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…