Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Fortilo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
4,722
14,250
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
 
Nguruvi3 ,Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla na wajumbe wengine wa JF. Karibuni.
Kumradhi kwa usumbufu utakaojitokeza.
Haya ni matokeo tu ya kutokujua kipi ni kipi; Zanzibar inajichukulia ni "sawa" na Tanzania Bara. Katika "usawa" huu basi haya mengine yanatokea. TUmekuwa na hofu ya "kuimeza" Zanzibar... yaani, sidhani kama Zanzibar ingekuwa "nchi huru" ingekuwa na bajeti inayofikia ya JIji la Dar.
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
 
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
Bibi huu ni muda wa kumpa utelezi mumeo. Tafadhari zima data kwa afya ya ndoa yako. Kama namba moja anatoa utelezi ni nani wewe ukeshe mitandaoni badala ya kumkumbatia mumeo?
Hivi madrasa siku hizi hamfundwi kulea ndoa zenu?
 
O
Ndio sina mume kwakuwa sina utelezi kama wewe. Na kuwa na mume kwa dini yetu nidhambi ukiwa mwanaume. Naomba vua nguo mpe utelezi ni muhimu kwa ndoa yenu
Kuwa mbea ni tabia mbaya ya kike, pole sana, nilifikiri ni mwanamke, au mwenzetu ni upinde?

Hivi mwanamme anaejielewa atawacha kujibu hoja aingilie mambo ya kitandani ya wengine? Makubwa haya!
 
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
Salam aleikhum. .

Ahsante, now i have your attention... umeona wastani wa bajeti kwa kila mwanafunz? Alafu tuwasamehe Kodi na Bil ya umeme zaid ya $25M.. kwel?
 
Salam aleikhum. .

Ahsante, now i have your attention... umeona wastani wa bajeti kwa kila mwanafunz? Alafu tuwasamehe Kodi na Bil ya umeme zaid ya $25M.. kwel?
Tatizo nini? Hapo sijakuelewa, vipi elimu uichanganye na umeme? Au ni sekta moja hiyo?

wao si wame fanya bajeti yao ya elimu na vipaumbele vyao na sisi tumefanya bajeti yetu na vipaumbele vyetu?

Umeme usikupe shida sana Zanzibar wameshapata mwekezaji kutoka Tanzania bara, Rostam Aziz anakwenda kuwekeza umeme wa jua.

Mimi nahisi wazee wa Rostam Aziz walitokea Zanzibar, ni katika wale Mabulushi waliokuja kuikomboa Zanzibar kutoka krusedi ya Mreno. Walivyomalizakumkimbiza Mreno wakahamia bara huko kulima mpunga. Maana si kwa uwekezajii huo, ni mkubwa sana, Ma shaa Allah. Damu nzito kuliko maji.
 
Back
Top Bottom