britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Wabunge wote walioenda nlisikia ni 83, achilia mbali maafisa wengine wa serikali almost 110, the kwa haraka haraka tickets + accomodation + foods etc ya kipindi chote si chini ya dola 10,000 kwa mmoja, zidisha kwa 110 unapata dola 1,100,000 zidisha kwa exchange rate ya 2300 unapata Tzs 2,300,000,000(bilioni mbili na milioni 300) kwa siku hizi chache tu.
Najiuliza maswali sisi ambao tunashinda kuilaumu Taifa stars kwenye mitandao kwa kufanya vibaya tunashindwa kujua kuwa pale timu zote za kundi letu ispokuwa Kenya wana wachezaji wengi wa kulipwa barani Ulaya, jana wale wa Senegal wana mpaka mchezaji anayecheza Barcelona na Liverpool Timu ambazo zina ubora wa juu kabisa, pale hata kama ni uwezo wa mtu binafsi ndo unamfikisha huko lakin tumeshuhudia nchi nyingi zikiwaandaa vijana kwa kuwaweka kwenye academies, na inakuwa strategy ya serikali na taasisi husika juu ya masuala ya mpira,
Leo hii sisi ambao hatuna hata wachezaji watano professional tunaanza kuwaza kujilinganisha na wenzetu kwa kudhani kwamba kuna muujiza utajitokeza bila kujishughulisha na kuwekeza, hata umtegemee Mungu , pia na washindani wako wanamtegemea Mungu , hapo ndo Mungu anacha Law of nature to decide, yaan aliyejiandaa ndo awe mshindi, najiuliza hivi hizo bilion tungeandaa academy ngapi? au tungewezesha kiasi gani kutengeneza mazingira ya uwekezaji katika mpira?
Tukumbuke wao taifa stars kama wachezaji hawana cha kupoteza maana wakitolewa tiyari wamesha tour vya kutosha na kupiga picha na mapiramid tuliyosimuliwa kuhusu ujenzi wake hahaha,
Hapa unajua wazi tatizo la uwekezaji kwenye michezo sio fedha bali ubinafsi na utashi uliojaa upumbavu na ujinga wa hali ya juu sana!
Britanicca,
Mkuu wakati unapiga hesabu hizo nnaomba nikujuze kuwa hao ni wachache, maana utaratibu ni kwamba wanakwenda kwa makundi, kila mechi moja linakwenda kundi la wabunge, yaani mechi ijayo wanakwenda wengine na ile mechi ya Kenya as well, na hao Wabunge ni wa CCM plus wa Upinzani, nnachojua hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na mambo yetu, wote wanapambania maisha yao, shubaamit zao wote
Najiuliza maswali sisi ambao tunashinda kuilaumu Taifa stars kwenye mitandao kwa kufanya vibaya tunashindwa kujua kuwa pale timu zote za kundi letu ispokuwa Kenya wana wachezaji wengi wa kulipwa barani Ulaya, jana wale wa Senegal wana mpaka mchezaji anayecheza Barcelona na Liverpool Timu ambazo zina ubora wa juu kabisa, pale hata kama ni uwezo wa mtu binafsi ndo unamfikisha huko lakin tumeshuhudia nchi nyingi zikiwaandaa vijana kwa kuwaweka kwenye academies, na inakuwa strategy ya serikali na taasisi husika juu ya masuala ya mpira,
Leo hii sisi ambao hatuna hata wachezaji watano professional tunaanza kuwaza kujilinganisha na wenzetu kwa kudhani kwamba kuna muujiza utajitokeza bila kujishughulisha na kuwekeza, hata umtegemee Mungu , pia na washindani wako wanamtegemea Mungu , hapo ndo Mungu anacha Law of nature to decide, yaan aliyejiandaa ndo awe mshindi, najiuliza hivi hizo bilion tungeandaa academy ngapi? au tungewezesha kiasi gani kutengeneza mazingira ya uwekezaji katika mpira?
Tukumbuke wao taifa stars kama wachezaji hawana cha kupoteza maana wakitolewa tiyari wamesha tour vya kutosha na kupiga picha na mapiramid tuliyosimuliwa kuhusu ujenzi wake hahaha,
Hapa unajua wazi tatizo la uwekezaji kwenye michezo sio fedha bali ubinafsi na utashi uliojaa upumbavu na ujinga wa hali ya juu sana!
Britanicca,