Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msemaji wa serikali Msigwa kaita waandishi kutoa "ufafanuzi" wa serikali kuhusu mkataba wa bandari, alipomaliza akasema: Kwa hiyo ndugu zangu naombeni muwaambie Watanzania dhamira ya serikali...
1 Reactions
3 Replies
967 Views
Tunaenda kuongeza mapato, na kuongeza ufanisi kwa ujumla wake Sasa kupinga bila sababu za msingi na kukazania na uzushi tuuu hii inaleta ukakasi, Kama ni mapungufu si tuyarekebishe tu? Kwanini...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
GTs, Kwenye mambo ya mikataba Rais Dkt Samia siyo mwanasheria ana wasaidizi wake na tena kuna Professor wa Sheria Professor Kabudi alimteua ndiyo kigogo wa mikataba yote. Hata huu wa Bandari...
7 Reactions
69 Replies
3K Views
Habari, Hili suala la bandari yetu pendwa ya Dar es salaam kupewa waarabu mbona kama imekaa kimtego sana aiseee. Unajua tukumbuke kulikuwa na VuguVugu la kuamsha moto wa katika before 2025 na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
MH. RAIS, POLE KWA MAJUKUMU MAZITO UNAYOKABILIANA NAYO TANGU UTWISHWE JUKUMU HILI ZITO LA KUONGOZA VISIWA HIVI VYA ZANZIBAR pale wakazi wa visiwa vya Unguja na Pemba walipokuchagua kuwa kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Kipindi Musiba anawatukana viongozi mbalimbali, Maaskofu na Mashehe walikula buyu wakakaa kimya. Muda wa kugeuza kibao kwa Musiba ulipowadia, hao watu walitoka mafichoni na kupaza sauti ya...
2 Reactions
0 Replies
593 Views
Wafanya biashara wa mahindi wamejikuta kwenye wakati mgumu sana kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya baada ya kuambiwa vibali vyao vimeisha lakini hata baada ya kununua vibali vipya mtandaoni bado...
4 Reactions
124 Replies
10K Views
Yaani unampa mzazibar wizara ambayo sio ya muungano then anaanzisha mchakato na kusimamia majadiliano ya kuuza mali ya watanganyika kwa niaba ya watanganyika wakati yeye ni mzazibar. Mama...
3 Reactions
8 Replies
911 Views
Redemption song Zion train African unite Stand up Kwanini nmemkumbuka Bob Marley? Ni kutokana na sekeseke la DUBAI PORTS WORLD. Gwiji huyu wa jamaica mistari yake ilijaa falsafa za ukombozi wa...
1 Reactions
0 Replies
502 Views
Sisi ili mradi uhuru wetu wa kuongea na kupiga makelele usizuiliwe tu, vinginevyo wewe hiyo bandari ipige mnada tu. Hawa watanzania wala siyo watu serious hata punje, kama unavyoweza ukadhani...
5 Reactions
12 Replies
767 Views
Binafsi najiuliza kama tunashindwa kuendesha bandari zetu ni kipi tunaweza? Sifa kubwa ya serikali ni kuwa na taarifa nyingi za wabadhilifu ambao hawachukuliwi hatua zozote sasa je kwa minajiri...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa wabunge wa CCM wametoa shinikizo kwa Spika, Dk. Tulia kuhakikisha kikao cha kesho cha kupitisha azimio la kuuza bandari zote za Tanzania bara kwa Mwarabu hakionyeshwi LIVE...
16 Reactions
50 Replies
7K Views
Moja ya mbinu ambazo hutumika na 'wawekezaji' wenye nia ovu ni kuandaa safari za nje ya nchi za 'kuwaelimisha' wafanya maamuzi wa nchi husika. Safari hizi huambatana na ukarimu wa hali ya juu...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Ukisoma kifungu cha 25 (1) cha Makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Wawekezaji wa Bandarini utaona kwamba Mkataba huo ulianza mara moja baada ya Kusainiwa. Kifungu kinasema hivi, nanukuu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kuwasihi viongozi wote wa dini nchi Tanzania kuandaa siku maalum kuliombea taifa na kuwashtaki kwa Mungu wahusika wote kwenye ubinafsishaji huu utakaolitumbukiza taifa shimoni hadi vizazi...
0 Reactions
1 Replies
480 Views
Moja ya vitu nitavyoendelea kumlaumu Hayati Magufuli ni kufanya bunge kuwa la chama kimoja, kuna suala la bandari kubinafisishwa naona wabunge wanashangilia tu, unabinafisha Kwa miaka 100? Maana...
1 Reactions
0 Replies
917 Views
Hivi kweli miaka 60 ya Uhuru Mabilionea wetu wanaishia kuuza Juice za ukwaju tu? Hakuna Bilionea wa kuendesha Bandari kweli? Nchi ngumu sana hii
18 Reactions
95 Replies
6K Views
Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa zinazoeleza kuwa wabunge 10 walioenda Dubai, walipewa ofa ya kutalii huko Dubai kwa gharama za mfalme wa huko. Inaelezwa kwamba wabunge wote 10 walioalikwa...
11 Reactions
36 Replies
3K Views
Katiba yetu ya sasa, ni mbovu sana, na kwa kweli anayeshabikia kuwa hii katiba ya sasa iendelee, ni mnafiki, na adui mkubwa wa Taifa letu. Na anayechelewesha kupatikana kwa katiba mpya, ni shetani...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Kesho wabunge watapitisha mkataba wa kimangungo kuhusu bandari yetu. Rais na bunge wameamua kubariki umwagikaji damu ya watanzania bila sababu. Hiyo damu itakayomwagika Allah ataihitaji mikononi...
11 Reactions
57 Replies
3K Views
Back
Top Bottom