voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
Anaongea as if watanzania wote tu wajinga na tusioelewa kinachojiri!
Kwa mantiki hiyo....leo hakuna cha mjadala wala nini,bali ni Rubber Stamping tupu!
Wamekwisha amua...na ni kama vile mihimili miwili Serikali na bunge imeungana na kuwa mhimili mmoja!