Halima mdee anaongea kama Nani nahana Chama

Halima mdee anaongea kama Nani nahana Chama

Anyways.....
Unataka ofisi au mamlaka ya Bunge liingilie ugomvi wa Mdee na chama chake...🤔
 
Halima akili kubwa

Spika amejikuta anafanya kazi ya Jensiter Muhagama na Majaliwa kutetea Mkataba badala ya kusimamia Mjadala

kumbe TPA wanaachiwa kazi ya kusimamia boti za Bakhresa tu na Wavuvi wa uduvi kule vijibweni

nimemsikiliza Halima Hames Mdee japo kazuiwa kuendelea kuzungunza nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Mkataba wa Berlin wa 1884 umehuishwa Dubai mwaka huu.


yaani Refa wa Fainali anakuwa kocha wa timu mojawapo inayocheza

hii style ya kuomba muongozo ili kumtoa kwny reli Mzungumzaji huwa inanikera sana sana Wallah
 
Halima akili kubwa

Spika amejikuta anafanya kazi ya Jensiter Muhagama na Majaliwa kutetea Mkataba badala ya kusimamia Mjadala


yaani Refa wa Fainali anakuwa kocha wa timu mojawapo inayocheza

hii style ya kuomba muongozo ili kumtoa kwny reli Mzungumzaji huwa inanikera sana sana Wallah
😂😂 Nimemsamehe Halima Mdee kwa yote aisee

Spika uzalendo ukamshinda🤩🤩
 
Halima akili kubwa

Spika amejikuta anafanya kazi ya Jensiter Muhagama na Majaliwa kutetea Mkataba badala ya kusimamia Mjadala

kumbe TPA wanaachiwa kazi ya kusimamia boti za Bakhresa tu na Wavuvi wa uduvi kule vijibweni

nimemsikiliza Halima Hames Mdee japo kazuiwa kuendelea kuzungunza nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Mkataba wa Berlin wa 1884 umehuishwa Dubai mwaka huu.


yaani Refa wa Fainali anakuwa kocha wa timu mojawapo inayocheza

hii style ya kuomba muongozo ili kumtoa kwny reli Mzungumzaji huwa inanikera sana sana Wallah
CCM Oyeeee
 
Halima akili kubwa

Spika amejikuta anafanya kazi ya Jensiter Muhagama na Majaliwa kutetea Mkataba badala ya kusimamia Mjadala

kumbe TPA wanaachiwa kazi ya kusimamia boti za Bakhresa tu na Wavuvi wa uduvi kule vijibweni

nimemsikiliza Halima Hames Mdee japo kazuiwa kuendelea kuzungunza nimejiridhisha pasi na shaka kuwa Mkataba wa Berlin wa 1884 umehuishwa Dubai mwaka huu.


yaani Refa wa Fainali anakuwa kocha wa timu mojawapo inayocheza

hii style ya kuomba muongozo ili kumtoa kwny reli Mzungumzaji huwa inanikera sana sana Wallah
akili kubwa kwa kuongea kwa sauti au? maana anaulizwa anachokisema kumeandikwa wapi kwenye huo mkataba anabaki kujingatangata
 
Back
Top Bottom