Amechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.