Torero
Senior Member
- Dec 22, 2017
- 122
- 138
Rais, kwa upole wako na huruma kwa Watanzania na upendo ulionao kwao naomba kwa heshima kubwa uwafikirie kuwalipa fidia wale wote walioathirika na bomoa bomoa ya majumba yao kwa ajili ya utanuzi WA barabara yaliyotokea enzi zile maeneo ya Kimara, Ubungo na kadhalika.
Wengi waliathirika na kuumia na wengi kufariki kutokana na kuwa nguvu zao ziilipotea bure. Sasa Rais kwa utendaji wako uliotuka tunaomba kwa upole kabisa uwakumbuke watu hao na waliofariki hata warithi wao wapo.
Kwa hakika Rais unapenda haki sana. Mwisho kabisa natoa shukran zangu kwako kwa kuleta maendeleo ya haraka kwa Watanzania wote bila ubaguzi
Wengi waliathirika na kuumia na wengi kufariki kutokana na kuwa nguvu zao ziilipotea bure. Sasa Rais kwa utendaji wako uliotuka tunaomba kwa upole kabisa uwakumbuke watu hao na waliofariki hata warithi wao wapo.
Kwa hakika Rais unapenda haki sana. Mwisho kabisa natoa shukran zangu kwako kwa kuleta maendeleo ya haraka kwa Watanzania wote bila ubaguzi