Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,754
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
Screenshot_20220703-210917_GBWhatsApp.jpg

Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

MACHINGA-COMPLEX-DODOMA-3-1024x768.jpeg

Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

1.jpg

Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Kwa Hill mama ana stahili nimepitapo juuzi pake kaaba poa sana
 
Pongezi nyingi sana Kwa Rais Samia alitoa pesa za COVID zikafanya kazi hii ku top up pesa za Jiji..

Pia Mtaka na yule alikuwa DED wa Dom walifanya kazi nzuri
Soko ni landmark lile.

Serikali ikiwekeza ktk ideas kama hizo tutaondokana na wamachinga kuvamia mabarabara na kutembeza bidhaa kwenye bars.

Mapato yataongezeka
 
Nilicho kipenda .mpangilio mzuri sana hewa saf pia wamejenga sehemu mzur ni raisi mtu kufika

Ila uku kwa mwenda zake ni aibu sana kuna wilaya inaitwa buchosha wilaya ngumu sana hii
Kifo cha mtu siyo mwisho wa maisha ya waliobaki.

Tunaomboleza kisha tunasonga mbele.

Maendeleo ya kiuchumi ni vita isiyoisha
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said[/USER
[/QUOTE]
Jakaya kikwete ni shetani zaidi ya magufuli
 
Kifo cha mtu siyo mwisho wa maisha ya waliobaki.

Tunaomboleza kisha tunasonga mbele.

Maendeleo ya kiuchumi ni vita isiyoisha
Piga picha hii njia naenda tokea mwaza kutoka sengerema uku kanda ya ziwa magu mlikuwa muna muonea tu hajapaendeleza sana labda chato tu pekoe mkuu
 

Attachments

  • 20230617_184941.jpg
    20230617_184941.jpg
    1.2 MB · Views: 6
Limeanzwa na JPM na frem zipo WAZI hao unaowaona wanazuga tu huku mtaani wanavunja vibanda wakishikiza watu kuhamia hapo.

Ni kama machinga complex Dar kuna maajabu gani horofa kwanza tu wamejaa wauza simu na mafundi laptops
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
 
Soko ni landmark lile.

Serikali ikiwekeza ktk ideas kama hizo tutaondokana na wamachinga kuvamia mabarabara na kutembeza bidhaa kwenye bars.

Mapato yataongezeka
Ila iwe ni maeneo Yale Yale potential,pia ilitakiwa ujenzi wa Barabara au stand uwe unazingatia maeneo ya machinga Ili watengewe maeneo Yao Kwa maana wasiwe wanazurula Kila mahala Wala kwenda kuweka bidhaa mbele ya wenye maduka.
 
Lile vumbi Kigoma waje na ubunifu kuligeuza bidhaa labda litqpungua.

Si unaona Congo wameliuza vumbi lao nchi inatakata
Ajahahhaj na mwaza ilo lipo mzee tena buchosa vumbi lake ni kiboko mzee mpaka bossa inapata vumbi nimenyanyua mikono ju
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom