Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa??!!! Hayana haya majizi haya.
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?
Kwahiyo wao wanavyoiba hapo bandarini ndiyo uzalendo?
Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa chadema ktk kuwakemea wezi hawa wanaojivisha joho la uzalendo na kupiga uamuzi bora wa kubinafsisha bandari. Ni dhahiri kuwa kuna wezi wa bandari yetu wako pia ndani ya chadema. Chadema toeni tamko ili tujue rangi zenu.
Mnaunga mkono maamuzi yenye heri ya mama au mnaunga mkono maamuzi ya wezi ya kupinga ubinafsishaji wa bandari?