Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema kamati kuu ya chama hicho imeazimia kuwa iundwe Tume Huru, itakayojumuisha watu wa ndani na nje ya nchi, ili kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025.
Chaguzi za kidemokrasia zimeanza 1995 na zitaendelea ila ushindi mkubwa katika historia mpaka wa leo ni 2025 kwa aslimia 96.7%. na walioshindwa ni asilimia 3.3%.
Kwa akili za wataalamu wetu...
Rais Samia amesema Tuhakikishe East Africa inasimama tunavyotaka sisi na sio wanaotaka wale tunamengi yakufanya East Africa Community ni Community kubwa ya kiuchumi inajilewa, inayoweza kusimama...
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemshukuru Rais wa Kenya kwa hotuba aliyotoa leo Mei 5, 2026, Bungeni Dodoma akibainisha kuwa hotuba hiyo inashawishi, ya...
Nimemsikiliza Katibu mwenezi wa CCM akisema Katiba Mpya ni matakwa ya Watanzania wote na sio kikundi cha watu. Aidha ameshangaa baadhi ya vyama vya siasa kushikilia ajenda moja tu ya uchaguzi...
Akihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Kenya, William Ruto amebainisha kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zinazotegemeana, akieleza kupitia Uhusiano wa Biashara kati ya nchi hizo...
Africa J&L Correspondent, Dodoma
As global powers compete for strategic minerals, energy routes, and African trade corridors amid rising geopolitical tensions, Samia Suluhu Hassan continues to...
"Niruhusu nitoe shukrani zangu za dhati kabisa kwa Mheshimiwa Rais, dada yangu, Samia Suluhu Hassan. Kwa mwaliko wake wa heshima kwangu kufanya ziara hii ya kihistoria katika taifa lenu tukufu na...
05 May 2026
Dodoma, Tanzania
LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026
RUTO - MAADUI WETU SI WATANZANIA AU WAKENYA MAADUI WETU NI UKOSEFU WA AJIRA...
Ndio kama mlivyosoma kwamba hisa za Serikali ni asilimia 17% tuu.
https://www.instagram.com/p/DX1ya8oCn_S/?igsh=MWlja2xja2QxMHd2aw==
My Take
Kama hatuna pesa za kuingia kwenye ubia hakuna haja ya...
Tume ya maridhiano iliyokuwa ya kutolea mfano ni ile ya Afrika ya kusini. Matatizo ya Afrika Kusini yalitokana na siasa za ubaguzi wa rangi. Baada ya siasa hizo kutoweka, Ndo ikaundwa Tume ya...
Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu...
"Kuna kijana hadi sasa hamfahamu Waziri mkuu wa Nchi, Makamu wa Rais ila anafahamu wimbo gani uliotoka hivi karibuni, matokeo ya michezo mbalimbali kwasababu ndiyo kipaombele chake" - Nathaniel...
Tume ya Uchunguzi iligundua kuwa ghasia za Oktoba 29, 2025 hazikuwa za ghafla bali zilikuwa na mpango mkubwa wa kuratibiwa. Ushahidi ulionyesha zaidi ya mbinu 16 zilitumika katika maeneo 202...
Nina hasira sana baada ya watoto wangu wawili kuuawa na miili yao kupotezwa, licha ya kwamba tuliiona Mwananyamala, ila tukanyimwa kupatiwa.
Nahangaika na kujitibu hisia. Nimeamua nitue mizigo...
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi bilioni 16+🙄
Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na...
Andiko la: Wakili William Maduhu
1.1UTANGULIZI
Tarehe 2 Mei 2026 vyombo vya habari na watanzania kupitia taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ikulu tulijulishwa kuwa Mhe Rais wa Jamhuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.