Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Amani ni agenda muhimu kwa kila Mtanzania, hususan vijana wenye ndoto za mafanikio. Bila amani, haiwezekani kufikia maendeleo ya kweli, iwe ni binafsi au ya taifa. Vijana hawawezi kutumia...
2 Reactions
22 Replies
229 Views
Huo ndio ukweli wenyewe. Hapo Mwanza zilitembe risasi mithiri ya watu wapo Vietnam. Ghana, kilimahewa, Ilemela na maeneo yote ya Mwanza yalichafuka. Mijegejo ilimiminwa kama vile watu wapo...
8 Reactions
19 Replies
291 Views
Kwa mtaji huu, sidhani kama Samia ataenda Marekani kipindi hiki cha Trump. Binafsi naombea aende ili watu tupate fursa ya kumrushia mayai viza na kumtukana kwa kutumia vipaza sauti na ikiwezekana...
38 Reactions
71 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Siku ya Kesho ni Siku Ambayo Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakwenda kuzungumza na Taifa na Dunia...
3 Reactions
26 Replies
815 Views
Wenye vituo vya mafuta wanachekea chooni. Kila mtu ashinde mechi zake.
11 Reactions
48 Replies
2K Views
Uchaguzi wa mwaka jana ulileta kilio Cha kusaga meno Kwa baadhi ya wanasiasa. Hawa wanawake na wengine walijua watapewa ubunge wa mezani na CCM, walihaidiwa viti 20 vya ubunge, basi wakajaa na...
14 Reactions
43 Replies
713 Views
👉Kazi ngumu kuliko zote siyo ile ya kubeba mizigo au kufanya kazi za nguvu, bali ni ile ya kubadilisha namna unavyofikiri ili ujitoe kwenye umasikini wa akili. Hii ni kazi ya ndani kabisa...
5 Reactions
1 Replies
188 Views
Hamjambo Wote! 1. Fikiria watu wasioweza kuishi sehemu safi, wanatupa takataka hovyohovyo, Akitokea Bwana/Bibi afya mkali anachukiwa n kuwekewa zengwe aondolewe. 2. Nenda pale Kariakoo au...
7 Reactions
44 Replies
636 Views
Kuna kauli za huyu Kijana Makonda akionekana akitamka kwamba kelele nyingi za rushwa zinatokana na njaa kwamba mtu huyo apigae kelele za rushwa akiwekwa jikoni mdomo utajaa mafuta hata piga tena...
3 Reactions
10 Replies
240 Views
Lissu si mnavyofikiria, yuko tayari kufia jela [...] Alisema, "acheni nikae jela, sijavunja hata rekodi ya Mandela miaka27). Hata nikifia jela msiache kukipigania hiki tunachokiamini." - Godbless...
9 Reactions
32 Replies
564 Views
WAPONGEZA MAAGIZO YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA KUHUSU MABASI KUTOPITA KWENYE MIZANI Baadhi ya abiria, wadau wa usafirishaji pamoja na madereva wa mabasi hapa nchini wameipongeza Serikali...
4 Reactions
17 Replies
380 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwa bahati mbaya wanaowaponza na kuwarubuni Vijana na...
5 Reactions
76 Replies
1K Views
Mbinu ya CHADEMA YA "Win the crowd, and fate will kneel before you" IPO ASILIMIA 70% KUELEKEA KUIANGUSHA CCM. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Katika Falsafs za siasa. Zipo mbinu nyingi Sana...
14 Reactions
80 Replies
1K Views
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu. Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini...
14 Reactions
118 Replies
10K Views
Toka maza juzi atoe boko mbele ya jukwaa la biashara kwa kuwapiga mikwara vijana kwa atawatandika mikwaju basi ni kelele kote watu walidhani maza angekuwa kinyonge kumbe unyonge sio pigo zake sasa...
4 Reactions
14 Replies
291 Views
Fuatilia mdahalo huu kwa faida yako na faida ya watoto wako. https://www.youtube.com/live/ns5m5m5-20o?si=hLRnoSO87jjQU2b0
3 Reactions
32 Replies
375 Views
CCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.
4 Reactions
13 Replies
259 Views
Chadema ni Imani. Imejengwa kwa imani katika mioyo ya watu, including me and you!
8 Reactions
10 Replies
250 Views
Wanabodi, Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM. Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!. Wakati Comred Kinana...
20 Reactions
63 Replies
4K Views
Dar es salaam, Zaidi ya mabasi ya Mofat 150 yamekwama kwa zaidi ya nusu mwaka bila kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, jijini Dar es Salaam. Hali hii imeibua mjadala mpana kuhusu ufanisi wa...
4 Reactions
66 Replies
1K Views
Back
Top Bottom