Sheikh Mussa Kundecha, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Maimamu na Viongozi wa Kiislam Tanzania
Baraza Kuu la Maimamu na Viongozi wa Kiislam Tanzania wanasema wanaopinga na kukosoa ripoti ya Chande ni...
TAARIFA YA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TATHMINI YA TAARIFA YA TUME YA JAJI CHANDE KUHUSU MATUKIO YA OKTOBA 29 MWAKA 2025, ILIYOTOLEWA TAREHE 23 APRIL 2026 PAMOJA...
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 11, 2026, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amewasilsiha Uchambuzi wa wa chama hicho Kufuatia Ripoti ya Tume ya...
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetoa tathmini yake kuhusu chanzo cha ghasia zilizotokea nchini hivi karibuni, kikieleza kuwa machafuko hayo si tukio la kushtukiza, bali ni mlipuko wa...
Asante sana Mzee kwa kukataa kujumuika na wanafiki wachumia Tumbo, umejitenga na uongo , ushirikina na Najisi ya Nchi
Mungu atakulipa Mzee wangu, wala hatokuacha
Maandiko Matakatifu yameelekeza...
Sijui kabla ya hapo Polisi walikuwa wanatumia utaratibu gani kukamata wahalifu
Lakini Cha kushangaza Leo hii Mzee Mwema baada ya kulambishwa asali anaona yaliyofanyika Octoba 29 ni sawa, yaani...
Huku kukiwa na wasiwasi unaoongezeka kuhusu matumizi mabaya ya hati miliki na upotoshaji hadharani, serikali ya shirikisho imeanzisha marufuku inayowazuia wenye shahada za heshima nchini Nigeria...
George Michael Uledi.
May 11,2026.10:40AM.
Rais William Rutto alitangaza ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi kuwa mafuta safi(Dangote Oil Refinery) kujengwa Tanzania Jijini Tanga kwa...
Hili ni miongoni mwa Maswali kadhaa yaliyoulizwa na Bilionea Sugu kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Uyole, Mkutano mkubwa unaofananishwa na Mikutano Mikubwa ya Mhubiri Rheinard Bonke...
Kwa hali ile ya siku ya uchaguzi sio rahisi kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wapiga kura walijitokeza na mshindi kupata hizo asilimia 97%.
Mwandishi: Kwahiyo matokeo yale ni ya uongo.
Warioba: Ndio.
Maana yake Kuna Ombwe kubwa linatengenezeka .
Sina Uhakika Tena Kama Askari Barabarani wanaweza Kuyasimamisha Magari yenye hizi namba.
Hawawezi kwa sababu Vichwani mwao na wao wanaamini ni ya...
Tangu Samia Suluhu Hassan ajimilikiishe Tanganyika, kumekuwepo na Wimbi la Wapemba wansotumia Leseni za Zanzibar Tanzania bara.
Hawa ndugu zake samia wote wana leseni za Zanzibar.
Wote wakamatwe...
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni...
Chama imara ,chama madhubuti kwa maendeleo ya watanzania wote hii ndiyo ccm yetu ya watanzania wote.
Afrika na ulimwengu itaendelea kuvikumbuka hivi vyama kwa mchango mkubwa wa ukombozi na...
CCM OYEEE ,Kazi na Utu tunasonga mbele.
Watanzania tume ya uchunguzi ya matukio ya octoba 29/2025 ya jaji chande ilishamaliza kazi yake na Ripoti ilishawasilishwa kwa mheshimiwa Rais .
Hii tume...
"Mimi nilivyozungumza hapa nimeonyesha matatizo yaliyopo katika jamii yetu. Moja nimesema vyama vya siasa vimegawa watu. Vimegawa watu mpaka imefika mahali mimi nashangaa siku hizi, kwamba...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 11, 2026, amesema kile alichokiita "mbinu za makusudi" za upande wa mashtaka...
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 11, 2026, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ameeleza kuwa rekodi za mahakama tangu Kisutu zinaonesha wazi kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.