Hasara za Taifa

Hasara za Taifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
363,877
Reaction score
839,472
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi bilioni 16+🙄

Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na katiba ya Tanzania na hivyo kusababisha hasara ya bilioni 16+🤔
1777907345323.jpg
 
Hv mahakama ilitoa maamuzi gani maana kesi ilienda mahakamani! Au katika swala hili la wabunge wale wa cdm nyie hamtaki kusikia neno mahakama
 
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi trilioni 19🙄

Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na katiba ya Tanzania na hivyo kusababisha hasara ya trilioni 19🤔View attachment 3583772
nonsense,
 
Mshana nahisi ni Bilioni mkuu, sio trilioni.
Hata hivyo una hoja mkuu.

Nje ya mada: Nasikia Chadema wanataka mpokea Mdee! 😁
 
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi trilioni 19🙄

Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na katiba ya Tanzania na hivyo kusababisha hasara ya trilioni 19🤔View attachment 3583772
Halafu tunasema taifa maskini!
 
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi trilioni 19🙄

Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na katiba ya Tanzania na hivyo kusababisha hasara ya trilioni 19🤔View attachment 3583772
HASARA NYINGINE YA TAIFA NI KULETWA KWA DIDIER DROGBA BUNGENI KUNGE WEZA KUCHONGWA MADAWATI NA MASHIMO YA CHOO MENGI KWENYE MAENEO YENYE UHITAJI WA HARAKA..

ALISIKIKA PONJORO MMOJA AKIJINASIBU 😁😊
 
Mshana nahisi ni Bilioni mkuu, sio trilioni.
Hata hivyo una hoja mkuu.

Nje ya mada: Nasikia Chadema wanataka mpokea Mdee! 😁
Corrected mkuu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Back
Top Bottom