Rais Dkt Samia Alivyomfuta Machozi Mjane Aliyesaka Haki Yake Kwa Miaka 14

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said Mkama ambao ni wakazi wa Mtaa wa Ibinzamata.

Fatuma ambaye ni miane amefanikiwa kurejeshewa eneo lake ambalo lilivamiwa na Saidi ambapo Wakili George Moleli alisema baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mjane huo, walifuatilia na kubaini uwepo kwa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa va Ardhi ilivoiagiza Manispaa ya Shinyanga kumkabidhi Fatuma eneo lake.

Alisema walilazimika kukazia hukumu hiyo ambapo Mkama alikubali kurejesha ardhi aliyokuwa anaimiliki kinvume cha sheria.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mdeme, alisema kampeni hivo imeleta matokeo chanya mkoani hapa kwa kuhakikisha wananchi waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi wanazipata kwa wakati.

"Mkoa wa Shinyanga una migogoro ya ardhi inayochangiwa na baadhi va watendaji wasiokuwa waadilifu, Fatuma ameshinda kesi katika Mahakama ya Ardhi tangu mwaka 2017 lakini kumkabidhi eneo lake ilishindikana," alieleza.

Aliongeza kuwa watahakikisha kampeni hiyo inagusa kila eneo ili kuleta suluhu katika maeneo yenye migogoro va muda mrefu ambayo inachangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo, hivyo aliwataka wananchi kujitokeza kupata huduma a msaada wa kisheria inayotolewa bure.

Naye Fatuma alimshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni hiyo kwa kumpatia haki yake ambayo ilikuwa imeporwa tangu mwaka 2017.

"Mimi ni mjane sina fedha ya kuwalipa mawakili wanisaidie nipate haki yang ila Rais Dk. Samia ametuma watu Shinyanga ambao wamenifuta machozi kwa kunirudishia eneo langu nililoachiwa na mume wangu niweze kuwatunza wanangu," alisema.

Awali, Mkama alikiri kutolinunua eneo hilo kutoka kwa Fatuma lakini alilinunua kutoka kwa maofisa ardhi ambao walimchorea ramani kinyume cha sheria za mipango miji.

"Mgogoro huu ulitengenezwa na maofisa ardhi wasiokuwa waadilifu wakati nanunua eneo hili waliniambia lina viwania viwili kumbe kwenye ramani ya zamani ilionesha kiwanja ni kimoja, baada ya kulipa fedha na kutaka kuliendeleza mgogoro ndipo ulioanza," alisema Mkama.​
 
Moja kati ya wateule bora wa Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Mh RC Mndeme. Katatua changamoto hii ya ardhi kwa muda mfupi sana na imani yetu ni kwamba atazidi kutatua migogoro hii ya Ardhi Shinyanga.

Shinyanga imekuwa na migogoro ya Ardhi muda mrefu ambapo migogoro mingi ilisababishwa na watumishi wasio waadilifu. Nakumbuka kuna Mjane mmoja alikopeshwa pesa (Tsh Laki nne kama sikosei) na baada ya muda wakalazimisha kumpora nyumba yake kwa kigezo cha riba. Naaminini mambo kama haya yatakuwa yamefika mwisho.
 
Moja kati ya wateule bora wa Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Mh RC Mndeme. Katatua changamoto hii ya ardhi kwa muda mfupi sana na imani yetu ni kwamba atazidi kutatua migogoro hii ya Ardhi Shinyanga.

Shinyanga imekuwa na migogoro ya Ardhi muda mrefu ambapo migogoro mingi ilisababishwa na watumishi wasio waadilifu. Nakumbuka kuna Mjane mmoja alikopeshwa pesa (Tsh Laki nne kama sikosei) na baada ya muda wakalazimisha kumpora nyumba yake kwa kigezo cha riba. Naaminini mambo kama haya yatakuwa yamefika mwisho

Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said Mkama ambao ni wakazi wa Mtaa wa Ibinzamata.

Fatuma ambaye ni miane amefanikiwa kurejeshewa eneo lake ambalo lilivamiwa na Saidi ambapo Wakili George Moleli alisema baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mjane huo, walifuatilia na kubaini uwepo kwa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa va Ardhi ilivoiagiza Manispaa ya Shinyanga kumkabidhi Fatuma eneo lake.

Alisema walilazimika kukazia hukumu hiyo ambapo Mkama alikubali kurejesha ardhi aliyokuwa anaimiliki kinvume cha sheria.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mdeme, alisema kampeni hivo imeleta matokeo chanya mkoani hapa kwa kuhakikisha wananchi waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi wanazipata kwa wakati.

"Mkoa wa Shinyanga una migogoro ya ardhi inayochangiwa na baadhi va watendaji wasiokuwa waadilifu, Fatuma ameshinda kesi katika Mahakama ya Ardhi tangu mwaka 2017 lakini kumkabidhi eneo lake ilishindikana," alieleza.

Aliongeza kuwa watahakikisha kampeni hiyo inagusa kila eneo ili kuleta suluhu katika maeneo yenye migogoro va muda mrefu ambayo inachangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo, hivyo aliwataka wananchi kujitokeza kupata huduma a msaada wa kisheria inayotolewa bure.

Naye Fatuma alimshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni hiyo kwa kumpatia haki yake ambayo ilikuwa imeporwa tangu mwaka 2017.

"Mimi ni mjane sina fedha ya kuwalipa mawakili wanisaidie nipate haki yang ila Rais Dk. Samia ametuma watu Shinyanga ambao wamenifuta machozi kwa kunirudishia eneo langu nililoachiwa na mume wangu niweze kuwatunza wanangu," alisema.

Awali, Mkama alikiri kutolinunua eneo hilo kutoka kwa Fatuma lakini alilinunua kutoka kwa maofisa ardhi ambao walimchorea ramani kinyume cha sheria za mipango miji.

"Mgogoro huu ulitengenezwa na maofisa ardhi wasiokuwa waadilifu wakati nanunua eneo hili waliniambia lina viwania viwili kumbe kwenye ramani ya zamani ilionesha kiwanja ni kimoja, baada ya kulipa fedha na kutaka kuliendeleza mgogoro ndipo ulioanza," alisema Mkama.​
Hakika Mama ni kipenzi cha wanyonge na kipenzi cha watu wote.
Hii ndio maana halisi ya #MamaYukoKazin
 
Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said Mkama ambao ni wakazi wa Mtaa wa Ibinzamata.

Fatuma ambaye ni miane amefanikiwa kurejeshewa eneo lake ambalo lilivamiwa na Saidi ambapo Wakili George Moleli alisema baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mjane huo, walifuatilia na kubaini uwepo kwa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa va Ardhi ilivoiagiza Manispaa ya Shinyanga kumkabidhi Fatuma eneo lake.

Alisema walilazimika kukazia hukumu hiyo ambapo Mkama alikubali kurejesha ardhi aliyokuwa anaimiliki kinvume cha sheria.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mdeme, alisema kampeni hivo imeleta matokeo chanya mkoani hapa kwa kuhakikisha wananchi waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi wanazipata kwa wakati.

"Mkoa wa Shinyanga una migogoro ya ardhi inayochangiwa na baadhi va watendaji wasiokuwa waadilifu, Fatuma ameshinda kesi katika Mahakama ya Ardhi tangu mwaka 2017 lakini kumkabidhi eneo lake ilishindikana," alieleza.

Aliongeza kuwa watahakikisha kampeni hiyo inagusa kila eneo ili kuleta suluhu katika maeneo yenye migogoro va muda mrefu ambayo inachangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo, hivyo aliwataka wananchi kujitokeza kupata huduma a msaada wa kisheria inayotolewa bure.

Naye Fatuma alimshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni hiyo kwa kumpatia haki yake ambayo ilikuwa imeporwa tangu mwaka 2017.

"Mimi ni mjane sina fedha ya kuwalipa mawakili wanisaidie nipate haki yang ila Rais Dk. Samia ametuma watu Shinyanga ambao wamenifuta machozi kwa kunirudishia eneo langu nililoachiwa na mume wangu niweze kuwatunza wanangu," alisema.

Awali, Mkama alikiri kutolinunua eneo hilo kutoka kwa Fatuma lakini alilinunua kutoka kwa maofisa ardhi ambao walimchorea ramani kinyume cha sheria za mipango miji.

"Mgogoro huu ulitengenezwa na maofisa ardhi wasiokuwa waadilifu wakati nanunua eneo hili waliniambia lina viwania viwili kumbe kwenye ramani ya zamani ilionesha kiwanja ni kimoja, baada ya kulipa fedha na kutaka kuliendeleza mgogoro ndipo ulioanza," alisema Mkama.​
Hakika mama anajali shida za wananchi ,kwa kitendo cha kutatua mgogoro uliyo dumu kwa miaka yote hiyo ...Rais Samia anastaili kupewa maua yake.
 
Hii kampeni imeleta matokeo chanya sana kwa wananchi kwa kuhakikisha waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi zinapatikana kwa wakati. Tumpe maua yake mama
 
Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said Mkama ambao ni wakazi wa Mtaa wa Ibinzamata.

Fatuma ambaye ni miane amefanikiwa kurejeshewa eneo lake ambalo lilivamiwa na Saidi ambapo Wakili George Moleli alisema baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mjane huo, walifuatilia na kubaini uwepo kwa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa va Ardhi ilivoiagiza Manispaa ya Shinyanga kumkabidhi Fatuma eneo lake.

Alisema walilazimika kukazia hukumu hiyo ambapo Mkama alikubali kurejesha ardhi aliyokuwa anaimiliki kinvume cha sheria.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mdeme, alisema kampeni hivo imeleta matokeo chanya mkoani hapa kwa kuhakikisha wananchi waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi wanazipata kwa wakati.

"Mkoa wa Shinyanga una migogoro ya ardhi inayochangiwa na baadhi va watendaji wasiokuwa waadilifu, Fatuma ameshinda kesi katika Mahakama ya Ardhi tangu mwaka 2017 lakini kumkabidhi eneo lake ilishindikana," alieleza.

Aliongeza kuwa watahakikisha kampeni hiyo inagusa kila eneo ili kuleta suluhu katika maeneo yenye migogoro va muda mrefu ambayo inachangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo, hivyo aliwataka wananchi kujitokeza kupata huduma a msaada wa kisheria inayotolewa bure.

Naye Fatuma alimshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni hiyo kwa kumpatia haki yake ambayo ilikuwa imeporwa tangu mwaka 2017.

"Mimi ni mjane sina fedha ya kuwalipa mawakili wanisaidie nipate haki yang ila Rais Dk. Samia ametuma watu Shinyanga ambao wamenifuta machozi kwa kunirudishia eneo langu nililoachiwa na mume wangu niweze kuwatunza wanangu," alisema.

Awali, Mkama alikiri kutolinunua eneo hilo kutoka kwa Fatuma lakini alilinunua kutoka kwa maofisa ardhi ambao walimchorea ramani kinyume cha sheria za mipango miji.

"Mgogoro huu ulitengenezwa na maofisa ardhi wasiokuwa waadilifu wakati nanunua eneo hili waliniambia lina viwania viwili kumbe kwenye ramani ya zamani ilionesha kiwanja ni kimoja, baada ya kulipa fedha na kutaka kuliendeleza mgogoro ndipo ulioanza," alisema Mkama.​
Hii kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campain imeleta matokeo chanya sana kwa wananchi kwa kuhakikisha waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi zinapatikana kwa wakati.Tatizo la migogoro ya ardhi nchini limekuwa changamoto sana hasa kwenye utatuzi wake...hakika mama ameliona hilo. Pongezi nyingi sana kwa mama
20230623_112647.jpg
 
Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said Mkama ambao ni wakazi wa Mtaa wa Ibinzamata.

Fatuma ambaye ni miane amefanikiwa kurejeshewa eneo lake ambalo lilivamiwa na Saidi ambapo Wakili George Moleli alisema baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mjane huo, walifuatilia na kubaini uwepo kwa hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa va Ardhi ilivoiagiza Manispaa ya Shinyanga kumkabidhi Fatuma eneo lake.

Alisema walilazimika kukazia hukumu hiyo ambapo Mkama alikubali kurejesha ardhi aliyokuwa anaimiliki kinvume cha sheria.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mdeme, alisema kampeni hivo imeleta matokeo chanya mkoani hapa kwa kuhakikisha wananchi waliodhulumiwa stahiki zao za ardhi wanazipata kwa wakati.

"Mkoa wa Shinyanga una migogoro ya ardhi inayochangiwa na baadhi va watendaji wasiokuwa waadilifu, Fatuma ameshinda kesi katika Mahakama ya Ardhi tangu mwaka 2017 lakini kumkabidhi eneo lake ilishindikana," alieleza.

Aliongeza kuwa watahakikisha kampeni hiyo inagusa kila eneo ili kuleta suluhu katika maeneo yenye migogoro va muda mrefu ambayo inachangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo, hivyo aliwataka wananchi kujitokeza kupata huduma a msaada wa kisheria inayotolewa bure.

Naye Fatuma alimshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni hiyo kwa kumpatia haki yake ambayo ilikuwa imeporwa tangu mwaka 2017.

"Mimi ni mjane sina fedha ya kuwalipa mawakili wanisaidie nipate haki yang ila Rais Dk. Samia ametuma watu Shinyanga ambao wamenifuta machozi kwa kunirudishia eneo langu nililoachiwa na mume wangu niweze kuwatunza wanangu," alisema.

Awali, Mkama alikiri kutolinunua eneo hilo kutoka kwa Fatuma lakini alilinunua kutoka kwa maofisa ardhi ambao walimchorea ramani kinyume cha sheria za mipango miji.

"Mgogoro huu ulitengenezwa na maofisa ardhi wasiokuwa waadilifu wakati nanunua eneo hili waliniambia lina viwania viwili kumbe kwenye ramani ya zamani ilionesha kiwanja ni kimoja, baada ya kulipa fedha na kutaka kuliendeleza mgogoro ndipo ulioanza," alisema Mkama.​
Kazi Nzuri sana mama Samia anafanya hakika mjane kamfuta Machozi yake
 
Back
Top Bottom