Win win situation, tuone kama Mtanganyika nae atafanya mambo makubwa na mazuri kama Marais kutoka Zanzibar, wanavyofanya maendeleo kwa moyo wa dhati na upendo mkubwa.
Pili tutakuwa tumeonyesha...
Rais Samia na wenzake walioapa kuilinda katiba na kuitetea nchi, bila ya aibu wameisaliti:
Kwamba siyo kuikanyaga tu katiba, bali wamefikia hatua ya kuin*ea?!
Kwa hakika na zipigwe kavu kavu...
Toka hili sakata la Bandari liibuke nilikaa kimya kwanza nitafute facts za kutosha ndo nitoe maoni yangu. Wengi wenu mmekuwa mkinisumbua kutaka kujua msimamo wangu kuhusu hili lakini sikujibu...
Si jambo jema kuanza kurithi Mali au vitu vya marehem kabla hajazikwa au hajamaliza siku arobaini tangu kuzikwa kwake. Lakini katika maisha ya siasa na utumishi michakato huanza mapema sana Mara...
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila...
Nukuu ya mwathiliwa;
Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwanini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais...
Wakazi wa kijiji cha Ngelenge kata ya Ruhuhu wilayani Ludewa mkoa wa Njombe,wamefunga ofisi ya kijiji pamoja na kumkataa mwenyekiti Thomas Mkinga kwa sababu ya kushindwa kusoma taarifa ya mapato...
Tanzania imekuwa ikipitia vipindi tofauti tofauti vya maswala makubwa ya kitaifa yanayohusu ushirikishwaji wa wanachi moja kwa moja, Suala linalotikisa kwa sasa ni suala la mkataba kati ya...
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar.
Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka...
Mbunge wa Jimbo la KITETO MHE.EDWARD OLE LEKAITA, anaanza ziara ya Kikazi Jimboni kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti kwa Wananchi, Kutatua kero za Wananchi na kukagua utekelezaji wa...
Ishakuwa kawaida kila mara kusikia umoja wa mataifa ya i;aya wanatoa misaa ya ku;eta unafuu wa hali za uchumi kwa wamamchi, pesa zinatolewa lakini zinaishia juu kwa juu
Maana tangu zamani...
Najaribu kuwaza positively kwa mujibu wa data tulizonazo
Kama TRA na Bandari Pekee watatuingizia zaidi ya tsh Trillion 51 lazima tutahama kutoka Uchumi wa Kati mdogo kwenda Uchumi wa Kati mkubwa...
Ni baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuthibitisha kuwa ofisi yake imeanza uchunguzi wa jambo hilo na ripoti yake itatoka March 2023.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ofisi...
Ni wazi kwamba baada ya Makonda pale Dar es salaam Chalamila ndiye atakaye fuata.Kwanini?
Ndiye kipenzi cha mkulu baada ya Makonda.
Ndiye mwenye uthubutu wa wazi wa kupambana na...
UDSM, 1969
Wanafunzi wa kitivo cha sheria waandamana kushinikiza kuondolewa wahadhiri wa Kimarekani katika kitivo hicho.
Walifika mbali kudai wengine ni C.I.A. Kipindi hicho itikadi ya Ujamaa...
Sera ya Nyerere ya kutuunganisha na Zanzibar ambayo raisi wa Zanzibar anakwenda China kuwauzia ardhi ya Tanganyika waliopewa kutunza ng'ombe kutoka Tanganyika kabla hawajawasafirisha kwenda...
Nakumbuka ulienda Ikulu na moja ya kauli yako kubwa ilikuwa mazuri yenye tija na taifa hili yaendelezwe.
Leo hii kuna mkataba tata wa bandari za Tanganyika.
Upo kimya. Wewe ndio mzee wa taifa hili.
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, nanukuu, "USIYEMPENDA KAJA" mwisho wa kunukuu, Lakini sitafafanua
Bali Taarifa iliyopo ni kwamba Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu atafanya ziara ya...
1) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO), je...
Hofu tuliyo nayo dhidi ya Mkataba wa Tanzania-Dubai inao msingi thabiti katika ubaya unaoambatana na historia ya "makoloni ya walowezi wa kigeni" katika Afrika.
Kwa mujibu wa "TPA Handbook...