Rais wa Tanzania bado anaamini kabisa Tanzania kuna watu wanafanya vetting ili kupatikana a clean person to be employed some where?
Juzi nilisikia mahakama kuu mkoa fulani wamekula zaidi ya...
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Waandishi wa habari kutotumia taaluma zao katika kusambaza taarifa ambazo zinachochea ukatili wa kijinsia bali wasimamie misingi ya...
Baada ya kuchukua bandari zote za Tanganyika kwa mkataba wa kimangungo kwa ahadi kemukemu ambazo hazijaandikwa popote kwamba watazifanya bandari kuwa bora kwa kuvutia mizigo Afrika nzima, wameenda...
Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es...
Mimi binafsi napenda sana uwekezaji na hasa uwekezaji uliofuata utaratibu wa kisheria. Naomba kuuliza maswali yafuatayo kuhusu mkataba wa DP World;
(1) Kama tuna sheria ya manunuzi inayotuongoza...
Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu suala la Bandari.
Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na...
Pasi na kupepesa macho dhidi ya wahuni sikia mambo:
"Kama si fitna, zengwe au kurogwa tegemea kujikuta ana kwa ana na wasiojulikana."
Ama kwa hakika wahuni si watu wazuri!
Tumesikia...
Rais Samia amesema wenzetu wanakimbilia fursa afu sisi tunalumbana kuikimbia fursa ya waarabu, amesema wanafanya chapuchapu na bendera yao imepeperushwa katika mnara ule wa Dubai, je hii...
MBUNGE TAUHIDA GALLOS - WATANZANIA MSIKUBALI KUTIKISWA KWA MUUNGANO
Mbunge wa Viti Maalum Zanzibar Mhe. Tauhida Cassian Gallos Nyimbo amewataka Watanzania kuhakikisha kuwa hawakubali wala...
Haya Mabeberu yameamua kutuchezesha shele Watanzania,lakini ukweli ni kwamba mkataba wa bandari hauna tija kwa Tanzania na hauna tija kwa Wakenya,wanatuchezesha shele ili kile wanachokitaka toka...
Ndugu zangu watanzania,
Binafsi nimekuwa nikifuatilia Sana na kwa ukaribu mkubwa Sana mijadala mbalimbali inayoendelea na kufanyika hapa nchini katika majukwaa na vyombo mbalimbali vya habari...
Baada ya ripoti ya CAG kuonyesha watumishi WA umma na mashirika yanayomilikiwa na serikali yameshindwa kufanya vizuri na hivyo kuiletea hasara nchi wanasiasa wapo busy kusoma ripoti na kutengeneza...
Watu wengi walitegemea Tume ya Haki Jinai inapokabidhi itaelezea walichogundua kuhusiana na namna DPP alivyoshughulikia swala zima la Plea bargain
Lakini tumemsikia tu maRC.na maDC wanavyotumia...
Jana, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, pamoja na viongozi waandamizi wa wizara na taasisi zake, alikutana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kuzungumzia suala la mkataba...
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.
Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango...
Ezekiel ‘The Wolf’ Kamwaga
@ezekiel_kamwaga
Hamza JohariWakati wa utawala wa
@jmkikwete huyu bwana alikuwa sehemu ya watu walioshiriki kwenye majadiliano ya kuepusha vita kati yetu na Malawi...
Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"
Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki...
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu emejibu hoja ya kugawanywa kwa jimbo la Mbeya mjini kuwa pamoja na kuwa jimbo hilo likigawanywa bado atamfata Tulia atakako gombea...
MBUNGE JULIANA MASABURI ACHANGIA UJENZI NYUMBA YA KATIBU UVCCM TARIME, AAHIDI MAKUBWA KWA VIJANA KIUCHUMI
Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Juliana Didas Masaburi tarehe 14 Julai, 2023...
Amebainisha hayo jana Julai 14,2023 wakati akizungumza na Wananchi alipotembelea kituo cha Afya Negezi wilayani Kishapu.
Alisema ni marufuku mwananchi kulipia kipimo cha malaria kile cha...