Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Win win situation, tuone kama Mtanganyika nae atafanya mambo makubwa na mazuri kama Marais kutoka Zanzibar, wanavyofanya maendeleo kwa moyo wa dhati na upendo mkubwa. Pili tutakuwa tumeonyesha...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
Rais Samia na wenzake walioapa kuilinda katiba na kuitetea nchi, bila ya aibu wameisaliti: Kwamba siyo kuikanyaga tu katiba, bali wamefikia hatua ya kuin*ea?! Kwa hakika na zipigwe kavu kavu...
23 Reactions
55 Replies
6K Views
Toka hili sakata la Bandari liibuke nilikaa kimya kwanza nitafute facts za kutosha ndo nitoe maoni yangu. Wengi wenu mmekuwa mkinisumbua kutaka kujua msimamo wangu kuhusu hili lakini sikujibu...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Si jambo jema kuanza kurithi Mali au vitu vya marehem kabla hajazikwa au hajamaliza siku arobaini tangu kuzikwa kwake. Lakini katika maisha ya siasa na utumishi michakato huanza mapema sana Mara...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila...
14 Reactions
46 Replies
2K Views
Nukuu ya mwathiliwa; Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwanini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakazi wa kijiji cha Ngelenge kata ya Ruhuhu wilayani Ludewa mkoa wa Njombe,wamefunga ofisi ya kijiji pamoja na kumkataa mwenyekiti Thomas Mkinga kwa sababu ya kushindwa kusoma taarifa ya mapato...
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Tanzania imekuwa ikipitia vipindi tofauti tofauti vya maswala makubwa ya kitaifa yanayohusu ushirikishwaji wa wanachi moja kwa moja, Suala linalotikisa kwa sasa ni suala la mkataba kati ya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika mjadala unaendelea Clubhouse mwananchi mmoja ameshindwa kuuliza swali baada ya kusema kuwa waliosaini mkataba sio watanganyika ni Wazanzibar. Moderator wa mjadala, Gerson Msigwa alimtaka...
23 Reactions
143 Replies
9K Views
Mbunge wa Jimbo la KITETO MHE.EDWARD OLE LEKAITA, anaanza ziara ya Kikazi Jimboni kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti kwa Wananchi, Kutatua kero za Wananchi na kukagua utekelezaji wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ishakuwa kawaida kila mara kusikia umoja wa mataifa ya i;aya wanatoa misaa ya ku;eta unafuu wa hali za uchumi kwa wamamchi, pesa zinatolewa lakini zinaishia juu kwa juu Maana tangu zamani...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Najaribu kuwaza positively kwa mujibu wa data tulizonazo Kama TRA na Bandari Pekee watatuingizia zaidi ya tsh Trillion 51 lazima tutahama kutoka Uchumi wa Kati mdogo kwenda Uchumi wa Kati mkubwa...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Ni baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuthibitisha kuwa ofisi yake imeanza uchunguzi wa jambo hilo na ripoti yake itatoka March 2023. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ofisi...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni wazi kwamba baada ya Makonda pale Dar es salaam Chalamila ndiye atakaye fuata.Kwanini? Ndiye kipenzi cha mkulu baada ya Makonda. Ndiye mwenye uthubutu wa wazi wa kupambana na...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
UDSM, 1969 Wanafunzi wa kitivo cha sheria waandamana kushinikiza kuondolewa wahadhiri wa Kimarekani katika kitivo hicho. Walifika mbali kudai wengine ni C.I.A. Kipindi hicho itikadi ya Ujamaa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Sera ya Nyerere ya kutuunganisha na Zanzibar ambayo raisi wa Zanzibar anakwenda China kuwauzia ardhi ya Tanganyika waliopewa kutunza ng'ombe kutoka Tanganyika kabla hawajawasafirisha kwenda...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Nakumbuka ulienda Ikulu na moja ya kauli yako kubwa ilikuwa mazuri yenye tija na taifa hili yaendelezwe. Leo hii kuna mkataba tata wa bandari za Tanganyika. Upo kimya. Wewe ndio mzee wa taifa hili.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, nanukuu, "USIYEMPENDA KAJA" mwisho wa kunukuu, Lakini sitafafanua Bali Taarifa iliyopo ni kwamba Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu atafanya ziara ya...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
1) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO), je...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hofu tuliyo nayo dhidi ya Mkataba wa Tanzania-Dubai inao msingi thabiti katika ubaya unaoambatana na historia ya "makoloni ya walowezi wa kigeni" katika Afrika. Kwa mujibu wa "TPA Handbook...
35 Reactions
99 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…