Wakili aliyeitwa Ofisini kwa DCI Kunyamaza ni Makosa

Kalamu

JF-Expert Member
Nov 26, 2006
7,689
8,874
Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu suala la Bandari.

Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na kama alipewa masharti asiseme chochote kuhusu mahojiano hayo?

Katika hali ya kawaida, ilitegemewa vyombo vya habari vimfuate na kumuuliza maswali kuhusu alichoitiwa huko osisini kwa DCI; lakini hata waandishi wa habari na wao hawana hamu ya kupata tarifa wanayoweza kuwafikishia wananchi.

Kama wakili alipewa masharti ya kutozungumzia chochote baada ya mahojiano hayo, maana yake ni kwamba wakili huyo katishwa na kutishika, kiasi kwamba hata haki yake ya kupasha na kupata habari imeingiliwa.

Ni vigumu sana kuamini kuwa wakili msomi kama huyu anaweza kutishika kirahisi namna hiyo.

Kunyamazishwa kwake, kuna maana kwamba ameshughulikiwa na kukubali kusalimu amri katika jambo ambalo wengi waliamini kuwa katika nafasi yake, aliyoyazungumzia yalikuwa ya kweli na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Sasa ananyamaza jamii imuelewe vipi?

Hata kama kasalimu amri, si ajitokeze na kusema kuwa hana hamu tena ya kuendelea na yale aliyokuwa ameyasema?

Kunyamaza kwake kunawafurahisha sana aliokuwa kawatupia lawama kuhusika na yanayoendelea na makubaliano hayo ya Bandari.
 
Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu swala la Bandari.

Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na kama alipewa masharti asiseme chochote kuhusu mahojiano hayo?

Katika hali ya kawaida, ilitegemewa vyombo vya habari vimfuate na kumuuliza maswali kuhusu alichoitiwa huko osisini kwa DCI; lakini hata waandishi wa habari na wao hawana hamu ya kupata tarifa wanayoweza kuwafikishia wananchi.

Kama wakili alipewa masharti ya kutozungumzia chochote baada ya mahojiano hayo, maana yake ni kwamba wakili huyo katishwa na kutishika, kiasi kwamba hata haki yake ya kupasha na kupata habari imeingiliwa.

Ni vigumu sana kuamini kuwa wakili msomi kama huyu anaweza kutishika kirahisi namna hiyo.

Kunyamazishwa kwake, kuna maana kwamba ameshughulikiwa na kukubali kusalimu amri katika jambo ambalo wengi waliamini kuwa katika nafasi yake, aliyoyazungumzia yalikuwa ya kweli na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Sasa ananyamaza jamii imuelewe vipi?

Hata kama kasalimu amri, si ajitokeze na kusema kuwa hana hamu tena ya kuendelea na yale aliyokuwa ameyasema?

Kunyamaza kwake kunawafurahisha sana aliokuwa kawatupia lawama kuhusika na yanayoendelea na makubaliano hayo ya Bandari.
Hajanyamazishwa bali kaamua kubadili mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo zuri ni kuwa malengo yake yametimia, kwa kile alichokisema kama fanani na kukiwasilisha kwa hadhira yake kuhusu madudu yaliyopo nyuma ya mkataba wa DPW, wahusika wake wakuu ni akina nani, pamoja na nia ovu iliyopo ndani yake kuendana na maslahi mapana ya Tanganyika. Ameitemdea haki fani yake ya sheria na umedhihirisha uzalendo wake kwa nchi na taifa lake.
Hajanyamazishwa bali kaamua kubadili mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mmoja tu kati ya wengi wenye msimamo na maoni kama yake. Tusubiri ofisi ya DCI Kingai izidi kuwa "laughing stock" mbele ya umma kwa kujaribu ku "intimidate" sauti ya umma. Tunatambua dhati ya kwamba yeye kama polisi anatumika na kutumiwa mara nying sanai na watawala pindi wakiwa na nia ya kupenyeza ajenda yenye nia ovu dhidi ya wahasimu wao wa kisiasa.
 
Jambo zuri ni kuwa malengo yake yametimia, kwa kile alichokisema kama fanami na kukiwasilisha kwa hadhira yake kuhusu madudu yaliyopo nyuma ya mkataba wa DPW, wahusika wake wakuu ni akina nani, pamoja na nia ovu iliyopo ndani yake kuendana na maslahi mapana ya Tanganyika. Ameitemdea haki fani yake ya sheria na umedhihirisha uzalendo wake kwa nchi na taifa lake.Huyu ni mmoja tu kati ya wengi wenye msimamo na maoni kama yake. Tusubiri ofisi ya DCI Kingai izidi kuwa "laughing stock" mbele ya umma kwa kujaribu ku "intimidate" sauti ya umma. Tunatambua dhati ya kwamba yeye kama polisi anatumika na kutumiwa mara nying sanai na watawala pindi wakiwa na nia ya kupenyeza ajenda yenye nia ovu dhidi ya wahasimu wao wa kisiasa.
Ameitemdea haki fani yake ya sheria na amedhihirisha uzalendo wake kwa nchi na taifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama yule ni mtu wa kutishwa na Kingai, mtu aliyezungumza na kusema anasimamia anachokisema na anachokiamini huku akiwa ameshika kitabu kitakatifu, mtu wa aina hiyo sio wa kutishwa/ kumuogopa mwanadamu.

Ukimya wake ni either ameamua mwenyewe, au anajiona hana la kusema kwasababu ametoka kuzungumza juzi tu, na kwenye haya mambo huwezi kuzungumza kila siku utasababisha wewe na madai yako mzoeleke mapema, kujipanga ni jambo la muhimu.
 
Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu swala la Bandari.

Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na kama alipewa masharti asiseme chochote kuhusu mahojiano hayo?

Katika hali ya kawaida, ilitegemewa vyombo vya habari vimfuate na kumuuliza maswali kuhusu alichoitiwa huko osisini kwa DCI; lakini hata waandishi wa habari na wao hawana hamu ya kupata tarifa wanayoweza kuwafikishia wananchi.

Kama wakili alipewa masharti ya kutozungumzia chochote baada ya mahojiano hayo, maana yake ni kwamba wakili huyo katishwa na kutishika, kiasi kwamba hata haki yake ya kupasha na kupata habari imeingiliwa.

Ni vigumu sana kuamini kuwa wakili msomi kama huyu anaweza kutishika kirahisi namna hiyo.

Kunyamazishwa kwake, kuna maana kwamba ameshughulikiwa na kukubali kusalimu amri katika jambo ambalo wengi waliamini kuwa katika nafasi yake, aliyoyazungumzia yalikuwa ya kweli na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Sasa ananyamaza jamii imuelewe vipi?

Hata kama kasalimu amri, si ajitokeze na kusema kuwa hana hamu tena ya kuendelea na yale aliyokuwa ameyasema?

Kunyamaza kwake kunawafurahisha sana aliokuwa kawatupia lawama kuhusika na yanayoendelea na makubaliano hayo ya Bandari.
Mwenzako kishatapika huko mpaka wanaomlipa. Kuna cha kuongea tena hapo.


Wewe subiri leo au kesho anatangazwa mshindi wa zabuni rasmi, habari zilizovuja ni DP World. na siku wanayotangazwa wanaanza kazi rasmi.


Hapo sasa!
 
Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu swala la Bandari.

Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na kama alipewa masharti asiseme chochote kuhusu mahojiano hayo?

Katika hali ya kawaida, ilitegemewa vyombo vya habari vimfuate na kumuuliza maswali kuhusu alichoitiwa huko osisini kwa DCI; lakini hata waandishi wa habari na wao hawana hamu ya kupata tarifa wanayoweza kuwafikishia wananchi.

Kama wakili alipewa masharti ya kutozungumzia chochote baada ya mahojiano hayo, maana yake ni kwamba wakili huyo katishwa na kutishika, kiasi kwamba hata haki yake ya kupasha na kupata habari imeingiliwa.

Ni vigumu sana kuamini kuwa wakili msomi kama huyu anaweza kutishika kirahisi namna hiyo.

Kunyamazishwa kwake, kuna maana kwamba ameshughulikiwa na kukubali kusalimu amri katika jambo ambalo wengi waliamini kuwa katika nafasi yake, aliyoyazungumzia yalikuwa ya kweli na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Sasa ananyamaza jamii imuelewe vipi?

Hata kama kasalimu amri, si ajitokeze na kusema kuwa hana hamu tena ya kuendelea na yale aliyokuwa ameyasema?

Kunyamaza kwake kunawafurahisha sana aliokuwa kawatupia lawama kuhusika na yanayoendelea na makubaliano hayo ya Bandari.
Siku ukiitwa wewe ndio utajua hii nchi kwenye issue za ulinzi haina mchezo, wakili Shala wakati anaropokwa mlikuwa mnamsifia lakini alikosa staha kwenye kiini cha kauli zake juu ya viongozi wakubwa wa kitaifa. Forensic lazima wakuulize motives zako ukibwabwaja imekula kwako. Kwenye jamii ambayo bado ni frustrated na umasikini lazima uwe makini unaweza ukaeneza chuki na uasi.
 
Mwenzako kishatapika huko mpaka wanaomlipa. Kuna cha kuongea tena hapo.


Wewe subiri leo au kesho anatangazwa mshindi wa zabuni rasmi, habari zilizovuja ni DP World. na siku wanayotangazwa wanaanza kazi rasmi.


Hapo sasa!
Mshindi wa zabuni anatangazwa vipi wakati waarabu walishasaini mkataba?

Hivi wewe bibi unajua hata unachokiandika kweli, au bora ujiunganishie maneno tu utengeneze sentensi uende zako!.

Huu ni muda wako wa kucheza na wajukuu sasa, hii JF naona uwe msomaji tu.
 
Mwenzako kishatapika huko mpaka wanaomlipa. Kuna cha kuongea tena hapo.


Wewe subiri leo au kesho anatangazwa mshindi wa zabuni rasmi, habari zilizovuja ni DP World. na siku wanayotangazwa wanaanza kazi rasmi.


Hapo sasa!
Wewe Bi. Kizee ni mchawi.

Kuendelea kujibishana nawe ni kujishushia heshima; hii imedhihirika kuwa sifa ya ziada uliyo nayo mbali ya ule ulevi wako wa siku zote.

Sasa kwa mfano, tazama uliyoandika hapo juu, mtu mwenye akili timamu ataandika vile na kutegemea majadiliano juu yake?

Inabidi nikuitie mkuu' Mshana jr', anayejulikana kuwa kinara wa wachawi wote hapa JF.

Tokea sasa nakupuuza kama majuha wengi waliomo humu.
 
Wewe Bi. Kizee ni mchawi.

Kuendelea kujibishana nawe ni kujishushia heshima; hii imedhihirika kuwa sifa ya ziada uliyo nayo mbali ya ule ulevi wako wa siku zote.

Sasa kwa mfano, tazama uliyoandika hapo juu, mtu mwenye akili timamu ataandika vile na kutegemea majadiliano juu yake?

Inabidi nikuitie mkuu' Mshana jr', anayejulikana kuwa kinara wa wachawi wote hapa JF.

Tokea sasa nakupuuza kama majuha wengi waliomo humu.
Naona hoja imekuingia, itaneni kama 100 hivi.
 
Mshindi wa zabuni anatangazwa vipi wakati waarabu walishasaini mkataba?

Hivi wewe bibi unajua hata unachokiandika kweli, au bora ujiunganishie maneno tu utengeneze sentensi uende zako!.

Huu ni muda wako wa kucheza na wajukuu sasa, hii JF naona uwe msomaji tu.
Mkuu 'denooJ', hicho Kibibi kielewe vizuri.

Ukisoma maandishi yake yote humu ndani ya JF, na hasa kwenye hili sakata la DP World, utaelewa vizuri kazi anayofanya.
 
Siku ukiitwa wewe ndio utajua hii nchi kwenye issue za ulinzi haina mchezo, wakili Shala wakati anaropokwa mlikuwa mnamsifia lakini alikosa staha kwenye kiini cha kauli zake juu ya viongozi wakubwa wa kitaifa. Forensic lazima wakuulize motives zako ukibwabwaja imekula kwako. Kwenye jamii ambayo bado ni frustrated na umasikini lazima uwe makini unaweza ukaeneza chuki na uasi.
Sasa nawe utasema unajua unacho andika juu yake, au ni kujivimbisha tu na jambo usilolifahamu kabisa?

Kwanza uandishi tu unaonyesha kiwango cha chini kabisa cha uwezo ulio nao katika eneo hili. Kwa hiyo huna lolote unaloweza kuchangia hapa linaloweza kufikirisha wasomaji.
Nia yako ni kuweka vitisho tu, ukidhani enzi hizi bado watu wanatishwa kama enzi za ukoloni..
 
Back
Top Bottom