Madeleka umeudanganya umma wa watanzania kwa mara nyingine tena

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,227
5,950
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image
 
Dr Tulia: Sisi kama Wabunge tuna mamlaka ya kuridhia Mikataba Siyo Makubaliano

Mwanasheria TULIA, anataka kutofautisha gamba la Yai na Ute wa ndani ya Yai. Wao wameridhia Ute wa Yai siyo gamba la Yai.
Mkataba ndiyo makubaliano yenyewe. Napata taabu sana kumuelewa huyu kiumbe.

Warekebishe terms tu ukae vema. Wanawe uso tuwaelewe.
 
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image
Ila we mwamba ungekuwa karibu yangu ungepigwa
1. Huoni hapo pameandikwa mpango huoni eti? Au unafikiri sheria ni mkuyenge kila sehemu unagonga gonga?
2. Msikilize spika katika hotuba yake siku ile anafungua majadiliano hakutumia kifungu kinacho sema bunge linajadili mkataba? Au hukumfatilia mwana CCM mwenzangu. Ngoja nikuwekee hotuba ya spika uone alisimamia kifungu kipi
 
Nchi hii imejaa uongo mtupu binafsi najiamini mwenyewe tu sioni mwingine wa kumuamini wote ni mwendo wa uongo tu.
 
Mipango sio makubaliano.
Maelezo ya Madeleka yanafanana na maelezo aliyotoa spika.

Kama ni hivyo mwambie spika amedanganya na kupotosha wabunge wake.
 
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image
Kwa nini watu wanaoitetea DP, karibia wote, ni wale ambao inaonesha ni watu wenye uelewa mdogo wa kuelewa?
 
Kwa nini watu wanaoitetea DP, karibia wote, ni wale ambao inaonesha ni watu wenye uelewa mdogo wa kuelewa?
Sasa ndugu yangu ukiwa na akili timamu na uelewa angalau wa wastani unaweza kweli ukapata kaujasiri wa kuutetea mkataba wa kipuuzi kama huo? Utatetea ili iweje?

Jirani zetu Kenya walipelekewa upuuzi kama huu tulioletewa, wakaupiga teke wakidai ni kupoteza muda hata kuujadili. Ajabu wabunge wetu wameumeza hivyo hivyo ulivyo, ni aibu!
 
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image

Ngoma inazidi kufurahisha…

Muhimu Tamati itafika.
 
Kazi kweli kweli ! Yaani machawa wa ccm wanahaha kuokoteza vifungu walau wajinasue kwenye sio hili baya
Wanatuambia kwamba, kile tunachoona hakipo!. Zaidi ni jinsi ambavyo wanonekana na kusikika kuwa hawajipanga linapokuja suala la DPW.
Inashangaza sana kuona na kusikia Wakuu wa Serikali wakikanyagana; na kuitetea DPW wakati wao DPW, kwa maoni yangu, ndio waliopaswa na kuwa na wajibu wa kujibu maswali mengine, halafu tukisema Mkataba umewabana wanasema ' ahh' haya ni makubaliano yetu' 'hatuna mkataba' Rubbish!

Hawana mkakati na wanakosa sauti ya pamoja.
yani ni kama hakuna msemaji wa Serikali. Mtu yeyote na mtu yeyote anaweza kuzungumza na waandishi wa habari, na kutoa taarifa! Wamejichanganya, There is a systemic failure
 
Back
Top Bottom