comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,227
- 5,950
Ezekiel ‘The Wolf’ Kamwaga
@ezekiel_kamwaga
Hamza JohariWakati wa utawala wa
@jmkikwete huyu bwana alikuwa sehemu ya watu walioshiriki kwenye majadiliano ya kuepusha vita kati yetu na Malawi. Kwa wasiojua, Malawi walikuwa wameagiza tayari hadi boti ya vita ikae Ziwa Nyasa. Kwenye mazingira haya ya mitutu ya bunduki