tawakkul
Member
- Oct 12, 2022
- 88
- 67
Nakusalimu kwa jina la UKAWA, itikia "nilikataa ushenga"
Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.
Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.
Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?
Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.
"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.
Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?
Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake!
Wewe ni mtu ambaye ulitukosesha ushindi mkubwa zidi ya CCM mwaka 2015. Ulitukimbia katika hatua za mwisho na kama haitoshi ulidiriki kutumika na haohao CCM kufichua kile ulicho kiita mkakati batili wa kushirikisha Lowasa na baadhi ya Maaskofu kwenye harakati za kuiondoa CCM madarakani.
Uliongea kile ulichokiamini na kujiita mtu wa misimamo isiyoyumba (inawezekana ulikuwa sahihi). Baada ya "Kulambishwa asali" na kupewa ubalozi, ulikaa kimya bila kutupambania kwa lolote kwenye harakati za "Jasho na damu" la kuiondoa CCM kwenye utawala.
Kuna watu wanasema tunaokosoa mkataba wa bandari "Tumenunuliwa". Wananchi wengi hawaamini maneno haya, lakini wakikusikia na wewe ni miongoni mwa wanaotetea, wanaanza kuamini. Why?
Your historical background inawafanya waamini (ulituharibia sana wewe na mzee Lipumba). Watu wanasema huenda sasa umeanza kula mihogo, na wakikupatia chai ya maziwa, blueband na mkate utatukimbia tena.
"Watu tulipigwa mabomu, tukapigwa risasi, tukapotezwa na wasiojulikana, tulishuhudia mizoga ya watu kwenye viroba baharini lakini huyu mzee (dr mihogo) alikaa kimya uko ubalozini," alisikika mwanahakati mmoja.
Mzee Slaa, hivi kipindi kile tunateswa na kupotezwa, kuzuiwa kufanya mikutano ya adhara, wewe ulikuwa wapi? Why now? Unaongea na mishipa ya shingo inakuvimba kabisa, au mihogo imeanza kuwa michungu?
Anyways, kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake!