Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya wanasheria wanasema tujitoe kwenye IGA kwa sababu tukishindwa kutekeleza tunaweza kushitakiwa. Mwanazuoni huyu anakataa- soma:- Intergovernmental agreements Authors: Daryl R Williams...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mzee Edwin Mtei ni miongoni mwa Wasomi wa mwanzo mwanzo nchini Tanganyika waliohudumu na baba wa taifa Mwalimu Nyerere Lakini Sijaona Waandishi Wabobezi kama Pascal Mayalla, Manyerere au Kitenge...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa. Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii. My take...
16 Reactions
87 Replies
7K Views
Nimeamua kuwadokeza watanzania jambo hili. Kujua chimbuko ni mwanzo wa kujua suluhisho la tatizo, kama lipo. Kwa ubobevu wangu kiutumishi serikalini na chamani, nimefuatilia na kujua chimbuko la...
45 Reactions
109 Replies
12K Views
Hizo foleni za kijinga kwa nini Rais Samia na wenzake wasitumie ndege kata upepo kutoka uwanja wa ndege hadi huko Ikulu ya Dar es Salaam? Viongozi wengi (waliochaguliwa kwa haki) hata huko...
8 Reactions
86 Replies
7K Views
Mara nyingi tumekuwa tukisikia habari kutoka kwa wenye dhamana mbali mbali na wananchi wa kawaida kuwa mtumishi wa umma, hakimu, bwana shamba, mwalimu, askari polisi(wanainteract sana hawa na...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
Hayati Rais Magufuli kila alipofika kwenye ziara zake hakuangalia wale aliokaa nao karibu mezani mbele,aliangalia wananchi waliosimama kusubiria hotuba yake,aliwaangalia sura zao, na wakati...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika kile kinachoonekana kama kumbe kesi za Uhujumu Uchumi zilizofungliwa kwa wingi Awamu ya Tano, ule ulikuwa mradi wa kuwachuna wafanya biasharra na wahasimu wa Awamu hiyo. Watuhumiwa wengi...
61 Reactions
231 Replies
17K Views
Hongera kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hasa Rais wetu mpendwa kwa kupokea Wanafunzi wa Udaktari toka nchini Sudan. Ikumbukwe nchi ya Sudan ipo katika vita vya wenyewe kwa...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Nimepata taarfa kuwa hawa wazanzibar wanachukua mahekari ya eneo vijijini kwa kutumia njia ya udanganyifu Wanasema ardhi ya kulima karufuu Zanzibar haitoshi kwahiyo lazima wapate maeneo Morogoro...
28 Reactions
140 Replies
10K Views
MZALENDO ALIYEDHULUMIWA KIWANDA AMEKUFA HAJAONA HAKI NAKUMBUKA mwaka 1999. Mara ya kwanza naingia chumba cha habari. Business Times Ltd (BTL). Newsroom yenye hadhi. Nilivutiwa na chumba kikubwa...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
UWEKEZAJI KATIKA BANDARI UNA MANUFAA MAKUBWA KIUCHUMI: BASHUNGWA Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambeye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema maamuzi ya...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika unawahusisha Viongozi Wakuu Wastaafu wa Nchi mbalimbali Africa katika Ukumbi wa...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi Swahili times - β€œTimu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni...
13 Reactions
274 Replies
22K Views
Wadau nawasalimu.Serikali imeamua kutoyavumilia Mashirika yasiyo na TIJA kwa Kuwatafuta WAWEKEZAJI. Tumeshuhudia MAMLAKA ya BANDARI likitafutiwa Mwekezaji ili kuboresha MAPATO tofauti na sasa...
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Waziri wa Mipango Prof Kitila Mkumbo amewataka Wananchi waendelee kutoa Maoni chanya Kuhusu Mkataba wa TPA na DP World. Kitila amesema ni nyaraka 2 tu Duniani ambazo Hazirekebishiki Biblia na...
9 Reactions
43 Replies
5K Views
Zipo Taarifa kwamba Serikali ya Tanzania inajipanga kuchunguza zilipo hela walizolipa Waliotuhumiwa kwa Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi , Hela hizi zilitokana na kilichosemekana kwamba ni...
8 Reactions
71 Replies
6K Views
Nimekaa sehemu nimesikiliza professor mmoja mmbobezi wa somo la Development studies kwa kifupi DS. Akijikita kuwaeleza wananchi ambao tayari wananchi hao wana mkataba huo mbovu mkononi. Kuwa...
5 Reactions
9 Replies
893 Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki zake mwachieni jamani. Hapa alikuwa anasema ukweli mtupu kuwa ndani ya Serikali ya CCM huwa wanafuata uzoefu wa sifuri. Unawapeleka watu kwenye negotiations za...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Serikali ihangaike na Mkulima. Mkulima ndio Sura ya Umasikini wa Tanzania. Sekta ya Kilimo inapaswa kukua kwa kasi ya 6-8% kwa Mwaka ili Pato la Taifa likue kwa 8-10% kwa Mwaka. Tunahitaji kasi...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…