Rais Samia afungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika wa Viongozi wakuu wastaafu, Julai 17, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika unawahusisha Viongozi Wakuu Wastaafu wa Nchi mbalimbali Africa katika Ukumbi wa Mikutano wa Gran Melia jijini Arusha.



Kikwete pokelewa.jpg

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Sierra Leone Mhe. Ernest Bai Koroma (kushoto) pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn wakati wakielekea kwenye ukumbi wa Mikutano kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.
Kikwete Samia.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuwasili katika Hoteli ya Gran Meliá kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Samia.jpg

c2f86f42-3563-47dc-aaad-5a56fb759bf7.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kutoka Ndani na Nje ya Nchi kabla ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

7bc322f6-0bec-4bac-94f4-ce9ff724ca35.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Viongozi Wastaafu kutoka Ndani na Nje ya Nchi mara baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika katika Hoteli ya Gran Meliá Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.
 
Mh Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ashiriki..

1. Maazimisho ya siku ya Utamaduni na vyakula vya bahari, huko Zanzibar.
2. Ashiriki maadhhimisho ya miaka 59 ya uhuru wa Malawi, huko Lilongwe, Malawi.
3. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya kupambana na rushwa Afrika, huko Arusha.
4. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha miaka 60 ya JKT, huko Dodoma.
5. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya madawa ya kulevya, Arusha.
6. Ashiriki maadhimisho ya siku ya mwaka mpya wa waislamu huko Zanzibar.
7. Ashiriki maadhimisho ya mahafali ya 60 ya chuo kikuu cha Dsm, Dsm.
8. Ashiriki maadhimisho ya siku ya Haki Jinai, Dsm.
9. Ashiriki chakula cha pamoja na timu ya Yanga.
10...
11.
 
Sas nimeamini kuwa hyo hoteli inamilkiwa na kigogo msataafu kubwa mno Kuna wakt hoteli ile ilifyata mkia kipindi Cha magufuli SAS naona SAS HV mikutano imerejeshwaa hapo Safi sna naipenda Arusha mno
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika unawahusisha Viongozi Wakuu Wastaafu wa Nchi mbalimbali Africa katika Ukumbi wa Mikutano wa Gran Melia jijini Arusha.


Mungu atulinde na mambo mazuri.
 
Mh Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ashiriki..

1. Maazimisho ya siku ya Utamaduni na vyakula vya bahari, huko Zanzibar.
2. Ashiriki maadhhimisho ya miaka 59 ya uhuru wa Malawi, huko Lilongwe, Malawi.
3. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya kupambana na rushwa Afrika, huko Arusha.
4. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha miaka 60 ya JKT, huko Dodoma.
5. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya madawa ya kulevya, Arusha.
6. Ashiriki maadhimisho ya siku ya mwaka mpya wa waislamu huko Zanzibar.
7. Ashiriki maadhimisho ya mahafali ya 60 ya chuo kikuu cha Dsm, Dsm.
8. Ashiriki maadhimisho ya siku ya Haki Jinai, Dsm.
9. Ashiriki chakula cha pamoja na timu ya Yanga.
10...
11.

Sehemu nyingi hapo ilitakiwa awakilishwe na mawaziri na sio yeye
 
Asikimbie mjadala wa DP World huyo bibi....hawezi kuhamisha magoli
Work hard,its over!, yaani kuhusu bandari ni kujisumbua bure na kupoteza muda sisi CHAMA kubwa tumeshapitisha and no one is able to reverse,tusonge mbele time is money!
 
Sas nimeamini kuwa hyo hoteli inamilkiwa na kigogo msataafu kubwa mno Kuna wakt hoteli ile ilifyata mkia kipindi Cha magufuli SAS naona SAS HV mikutano imerejeshwaa hapo Safi sna naipenda Arusha mno
Ukiuliza mmiliki unaambiwa ni muarabu, lakini kiukweli ni ya huyo mstaafu. Hata hawa DP World tunaoambiwa ni ya waarabu sio kweli, ni kiongozi wetu ndio mwenye deal. Ndio maana unaona kuna utata mkubwa kwenye huo mkataba. Hakuna popote mtia saini ni kiongozi kutoka UAE, lakini huku kwetu ni rais! Hapo inabidi tuchanganye na zetu.
 
Mh Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ashiriki..

1. Maazimisho ya siku ya Utamaduni na vyakula vya bahari, huko Zanzibar.
2. Ashiriki maadhhimisho ya miaka 59 ya uhuru wa Malawi, huko Lilongwe, Malawi.
3. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya kupambana na rushwa Afrika, huko Arusha.
4. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha miaka 60 ya JKT, huko Dodoma.
5. Ashiriki maadhimisho ya kilele cha siku ya madawa ya kulevya, Arusha.
6. Ashiriki maadhimisho ya siku ya mwaka mpya wa waislamu huko Zanzibar.
7. Ashiriki maadhimisho ya mahafali ya 60 ya chuo kikuu cha Dsm, Dsm.
8. Ashiriki maadhimisho ya siku ya Haki Jinai, Dsm.
9. Ashiriki chakula cha pamoja na timu ya Yanga.
10...
11.
10. Ashiriki kuzindua jezi za yanga
 
Sauti ziendelee kupazwa dhidi ya ule mkataba wa hovyo wa bandari, huyu anaonesha kabisa ameshakula pesa za waarabu ndio maana hataki kusikia kila aina ya ushauri anaopewa, kiongozi msaliti kabisa kwa wale anaowaongoza.
Endelea wewe.... Wengine bado tunawaza ilipoishia agenda ya katiba mpya
 
Back
Top Bottom