Kwanini mzee Mtei huwa hatoi Maoni kwenye mambo mbalimbali ya Kisiasa na Kiuchumi hapa nchini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,147
Mzee Edwin Mtei ni miongoni mwa Wasomi wa mwanzo mwanzo nchini Tanganyika waliohudumu na baba wa taifa Mwalimu Nyerere

Lakini Sijaona Waandishi Wabobezi kama Pascal Mayalla, Manyerere au Kitenge wakienda kupata maoni ya mzee Mtei katika jambo lolote lile

Wahenga wanaamini kama Nyerere angefuata Ushauri wa mzee Mtei 1979 basi asingeng'atuka 1985 kwa sababu Uchumi ungekuwa imara sana

Ndio najiuliza Why Waandishi wanamkwepa Mtei?
 
Mzee Edwin Mtei ni miongoni mwa Wasomi wa mwanzo mwanzo nchini Tanganyika waliohudumu na baba wa taifa Mwalimu Nyerere...
Mtu ametumikia Nchi na sasa ana miaka zaidi ya 100 anadai nini!? Madoctor wanashauri aepuke stress! Vilaza kama yule dictator wa kike watamletea stress bure!
 
Back
Top Bottom