Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Hayati Rais Magufuli kila alipofika kwenye ziara zake hakuangalia wale aliokaa nao karibu mezani mbele,aliangalia wananchi waliosimama kusubiria hotuba yake,aliwaangalia sura zao, na wakati mwingine alienda kuwasalimia.
Hiyo ilitosha kumpa ufahamu kuwa ana jukumu kubwa la kufanya ili maisha ya wananchi yawe kama yale ya wale waliomzunguka meza ya mbele, hakupumbazwa na wale aliokaa nao meza moja mbele kukadhani na maisha ya wananchi yapo kama ya wale aliokaa nao pamoja meza kuu.
Hiyo ilitosha kumpa ufahamu kuwa ana jukumu kubwa la kufanya ili maisha ya wananchi yawe kama yale ya wale waliomzunguka meza ya mbele, hakupumbazwa na wale aliokaa nao meza moja mbele kukadhani na maisha ya wananchi yapo kama ya wale aliokaa nao pamoja meza kuu.