johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Wakili Paul Kisabo amesema Mkutano wa hadhara wa Chadema kujadili Mkataba wa Bandari utalindwa na Jeshi la Polisi ili kuhakikisha amani inakuwepo wakati wote
Wakili Kisabo amelipongeza Jeshi la Polisi kwa Ushirikiano mzuri na kuweka copy ya Barua ya OCD wa Temeke inayothibitisha Polisi kutoa Ulinzi siku ya Kesho
Kisabo amelishukuru Tanpol kupitia ukurasa wake wa twitter
Sabato Njema!
Wakili Kisabo amelipongeza Jeshi la Polisi kwa Ushirikiano mzuri na kuweka copy ya Barua ya OCD wa Temeke inayothibitisha Polisi kutoa Ulinzi siku ya Kesho
Kisabo amelishukuru Tanpol kupitia ukurasa wake wa twitter
Sabato Njema!