Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai. Naomba Ufafanuzi

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Na Sam Ruhuza

Naomba ufafanuzi!

Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai.

Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia nayo mkataba ikiwa ni yenyewe tu na sio UAE.

Tupate ufafanuzi kwanza kwenye huo uhalali wa kuingia mkataba mkubwa wa Nchi kati ya Jamuhuri na Jimbo.

Pia mkataba unahusu Bandari za Bahari na Ziwa katika Jamuhuri ya Muungano Tanzania ambayo Zanzibar ni ndani ya Tanzania.
TPA (Tanzania Ports Authority) inafanyakazi upande wa Tanganyika tu.
Zanzibar ipo ZPC (Zanzibar Ports Corporation) ambayo ni kwa ajili ya Zanzibar tu.
Kila mmoja TPA na ZPC anamajukumu yake na huru kimaamuzi kujitegemea.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inatambua Bandari zote ni ndani ya Muungano.
Kwa TPA kuwa na Mkurugenzi Mkuu na kufanya kazi Tanganyika tu, na Zanzibar kuwa na ZPC na kuwa na Dg na kufanya kazi Zanzibar tu, hapo tayari kuna uvunjifu wa Katiba na ni kosa kubwa.
Nalo ni vizuri tupate ufafanuzi wake.

Kulingana na mkataba kuitaja Jamhuri ya Muungano Tanzania, je Dubai akiamua kuingia Zanzibar na kuhudumia Bandari za huko kwa mwamvuli wa JMT wakati Zanzibar wanautaratibu wao, je kutakuwa na makosa?!
Hapa napo tunahitaji ufafanuzi wa Serikali.

Kilichopitishwa Bungeni ni mkataba wa Bandari ya Dar Port, wakati mkataba uliosainiwa ni wa Bandari zote, mbona hapo Bunge wamepitisha kitu tofauti na kilichosainiwa Oct 2022?! Je itafuta ule mkataba ambao tayari unatekelezwa?!
Hili nalo tupate ufafanuzi.

Mkataba haionyeshi mwisho wa uwekezaji, je Dubai itakuwapo kwa mwaka mmoja, miwili, kumi, milele, ... inabidi tupate ufafanuzi wa kina ili tuelewe malengo na uwajibikaji wa mkataba kwa pande zote.

Kwenye uwekaji saini,
Kwa Tanzania ameweka saini Waziri wa Ujenzi na Usafirishaji, jambo ambalo ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai ameweka saini CEO wa Bandari Dubai.
Mkataba kati ya Nchi na Nchi halafu Upande mmoja aweke saini Waziri na Upande mwingine CEO, hapo tu panaanza kutia wasiwasi wa uhalali wa mkataba, kama ndivyo ni kwani DG TPA ndio asiweke yeye saini?!
Hili nalo tunahitaji sana ufafanuzi toka Serikalini.

Kwenye mashuhuda,
Upande wa Tanzania shuhuda ni Katibu Mkuu Wizara, ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai, shuhuda hajulikani!
Kuna saini tu bila jina wala nafasi yake.

Hii haijulikani imefanyika maksudi au vipi maana hata asiye mwanasheria mtaalam wa Mikataba angeshtukia mapema!
Inaelekea Dubai walisaini mkataba bila maandalizi hadi wakasahau jina na cheo cha shuhuda!
Hili nalo tunahitaji ufafanuzi, labda kuna jambo hapo sijaelewa.

Naomba pia kufahamu, katika huu mjadala wa Mkataba Bungeni na mtaani ni kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya??!!
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!

Nimehoji kupata ufafanuzi huu ili angalau nipate na wengine tupate uelewa mzuri wa haya makubaliano ambayo mkataba tayari umesainiwa October 2022 na Bunge limebariki June 2023, sijui kwanini Bunge limejadili baada ya mkataba kusainiwa, japo Dg TPA alitueleza kilichosainiwa ni MoU ambayo inaisha baada ya mwaka, lakini kilichosainiwa ni IGA (InterGovernmental Agreements. Inawezekana kwenye ufafanuzi wa Serikali nalo hili litatolewa ufafanuzi.

Natumai Watanzania wengi wanapenda uwekezaji. Binafsi sina shida na mwekezaji yeyote, muhimu akidhi vigezo na kutumiza malengo.
Tatizo lipo kwenye uandaaji wa Mikataba na kinachopitishwa na Bunge, hapo ndipo wengi tunaachana!
Tukumbuke tunapotea sana Mikataba mingi na ndio sababu kubwa ya woga wa kupotea.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, njoo utoe ufafanuzi mzuri wa kueleweka kwenye hùu mkataba.

Tanzania ni yetu sote! 🇹🇿 🤝💪
 
Nyinyi muliweka wabunge 400 + kazi yao ni kujadili mambo haya kwa niaba yetu, inakuaje tunaumiza vichwa?
Serikali ina jopo la wanasheria bobezi na washauri wa uchumi nguli, hawa wote kazi zao ni kutazama maslahi ya Taifa kwa niaba yetu, Kuumiza kichwa kwa nini?
 
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!
Kimya cha wasomi hawa kina maana kuwa hakuna shida pale, bali uelewa wetu ni mdogo bado wa mambo makubwa ya kimataifa. SIRI KALI inahitaji kuficha baadhi ya mambo ili kuepusha sinto fahamu ya wenye mtindio wa ubongo ambao TZ ndio wengi.

Qatar ina poulation ya Raia kiasi ya 1,2 milion na wageni ni kiasi ya 3.2 million wakiwemo wawekezeja wa mataifa mbali mbali duniani. Kazi ya srikali ni kuhakikisha Logistik ya mapato ya Umma inakwenda vizuri huku kila mtu akipata share stahiki kwa uwekezaji wake.
Tanzania ina rasilimali nyingi mno kuliko Qatar, lakin Porojo zimekuwa nyingi mno,kila mtu mjuaji,

Acheni serikali ifanye wajibu wake wakilivuruga , atatokea Magufuli mwingine kutengeneza mambo.

Ukitaka ule lazima uliwe kidogo ndiyo kanuni ya dunia.
 
Na Sam Ruhuza

Naomba ufafanuzi!

Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai.

Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia nayo mkataba ikiwa ni yenyewe tu na sio UAE.

Tupate ufafanuzi kwanza kwenye huo uhalali wa kuingia mkataba mkubwa wa Nchi kati ya Jamuhuri na Jimbo.

Pia mkataba unahusu Bandari za Bahari na Ziwa katika Jamuhuri ya Muungano Tanzania ambayo Zanzibar ni ndani ya Tanzania.
TPA (Tanzania Ports Authority) inafanyakazi upande wa Tanganyika tu.
Zanzibar ipo ZPC (Zanzibar Ports Corporation) ambayo ni kwa ajili ya Zanzibar tu.
Kila mmoja TPA na ZPC anamajukumu yake na huru kimaamuzi kujitegemea.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inatambua Bandari zote ni ndani ya Muungano.
Kwa TPA kuwa na Mkurugenzi Mkuu na kufanya kazi Tanganyika tu, na Zanzibar kuwa na ZPC na kuwa na Dg na kufanya kazi Zanzibar tu, hapo tayari kuna uvunjifu wa Katiba na ni kosa kubwa.
Nalo ni vizuri tupate ufafanuzi wake.

Kulingana na mkataba kuitaja Jamhuri ya Muungano Tanzania, je Dubai akiamua kuingia Zanzibar na kuhudumia Bandari za huko kwa mwamvuli wa JMT wakati Zanzibar wanautaratibu wao, je kutakuwa na makosa?!
Hapa napo tunahitaji ufafanuzi wa Serikali.

Kilichopitishwa Bungeni ni mkataba wa Bandari ya Dar Port, wakati mkataba uliosainiwa ni wa Bandari zote, mbona hapo Bunge wamepitisha kitu tofauti na kilichosainiwa Oct 2022?! Je itafuta ule mkataba ambao tayari unatekelezwa?!
Hili nalo tupate ufafanuzi.

Mkataba haionyeshi mwisho wa uwekezaji, je Dubai itakuwapo kwa mwaka mmoja, miwili, kumi, milele, ... inabidi tupate ufafanuzi wa kina ili tuelewe malengo na uwajibikaji wa mkataba kwa pande zote.

Kwenye uwekaji saini,
Kwa Tanzania ameweka saini Waziri wa Ujenzi na Usafirishaji, jambo ambalo ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai ameweka saini CEO wa Bandari Dubai.
Mkataba kati ya Nchi na Nchi halafu Upande mmoja aweke saini Waziri na Upande mwingine CEO, hapo tu panaanza kutia wasiwasi wa uhalali wa mkataba, kama ndivyo ni kwani DG TPA ndio asiweke yeye saini?!
Hili nalo tunahitaji sana ufafanuzi toka Serikalini.

Kwenye mashuhuda,
Upande wa Tanzania shuhuda ni Katibu Mkuu Wizara, ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai, shuhuda hajulikani!
Kuna saini tu bila jina wala nafasi yake.

Hii haijulikani imefanyika maksudi au vipi maana hata asiye mwanasheria mtaalam wa Mikataba angeshtukia mapema!
Inaelekea Dubai walisaini mkataba bila maandalizi hadi wakasahau jina na cheo cha shuhuda!
Hili nalo tunahitaji ufafanuzi, labda kuna jambo hapo sijaelewa.

Naomba pia kufahamu, katika huu mjadala wa Mkataba Bungeni na mtaani ni kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya??!!
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!

Nimehoji kupata ufafanuzi huu ili angalau nipate na wengine tupate uelewa mzuri wa haya makubaliano ambayo mkataba tayari umesainiwa October 2022 na Bunge limebariki June 2023, sijui kwanini Bunge limejadili baada ya mkataba kusainiwa, japo Dg TPA alitueleza kilichosainiwa ni MoU ambayo inaisha baada ya mwaka, lakini kilichosainiwa ni IGA (InterGovernmental Agreements. Inawezekana kwenye ufafanuzi wa Serikali nalo hili litatolewa ufafanuzi.

Natumai Watanzania wengi wanapenda uwekezaji. Binafsi sina shida na mwekezaji yeyote, muhimu akidhi vigezo na kutumiza malengo.
Tatizo lipo kwenye uandaaji wa Mikataba na kinachopitishwa na Bunge, hapo ndipo wengi tunaachana!
Tukumbuke tunapotea sana Mikataba mingi na ndio sababu kubwa ya woga wa kupotea.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, njoo utoe ufafanuzi mzuri wa kueleweka kwenye hùu mkataba.

Tanzania ni yetu sote! 🇹🇿 🤝💪
GUSSIE, Lord denning, Faizafoxy and co. wanakuja kutolea ufafanuzi juu ya hili!!
 
Sidhani
Na Sam Ruhuza

Naomba ufafanuzi!

Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai.

Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia nayo mkataba ikiwa ni yenyewe tu na sio UAE.

Tupate ufafanuzi kwanza kwenye huo uhalali wa kuingia mkataba mkubwa wa Nchi kati ya Jamuhuri na Jimbo.

Pia mkataba unahusu Bandari za Bahari na Ziwa katika Jamuhuri ya Muungano Tanzania ambayo Zanzibar ni ndani ya Tanzania.
TPA (Tanzania Ports Authority) inafanyakazi upande wa Tanganyika tu.
Zanzibar ipo ZPC (Zanzibar Ports Corporation) ambayo ni kwa ajili ya Zanzibar tu.
Kila mmoja TPA na ZPC anamajukumu yake na huru kimaamuzi kujitegemea.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inatambua Bandari zote ni ndani ya Muungano.
Kwa TPA kuwa na Mkurugenzi Mkuu na kufanya kazi Tanganyika tu, na Zanzibar kuwa na ZPC na kuwa na Dg na kufanya kazi Zanzibar tu, hapo tayari kuna uvunjifu wa Katiba na ni kosa kubwa.
Nalo ni vizuri tupate ufafanuzi wake.

Kulingana na mkataba kuitaja Jamhuri ya Muungano Tanzania, je Dubai akiamua kuingia Zanzibar na kuhudumia Bandari za huko kwa mwamvuli wa JMT wakati Zanzibar wanautaratibu wao, je kutakuwa na makosa?!
Hapa napo tunahitaji ufafanuzi wa Serikali.

Kilichopitishwa Bungeni ni mkataba wa Bandari ya Dar Port, wakati mkataba uliosainiwa ni wa Bandari zote, mbona hapo Bunge wamepitisha kitu tofauti na kilichosainiwa Oct 2022?! Je itafuta ule mkataba ambao tayari unatekelezwa?!
Hili nalo tupate ufafanuzi.

Mkataba haionyeshi mwisho wa uwekezaji, je Dubai itakuwapo kwa mwaka mmoja, miwili, kumi, milele, ... inabidi tupate ufafanuzi wa kina ili tuelewe malengo na uwajibikaji wa mkataba kwa pande zote.

Kwenye uwekaji saini,
Kwa Tanzania ameweka saini Waziri wa Ujenzi na Usafirishaji, jambo ambalo ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai ameweka saini CEO wa Bandari Dubai.
Mkataba kati ya Nchi na Nchi halafu Upande mmoja aweke saini Waziri na Upande mwingine CEO, hapo tu panaanza kutia wasiwasi wa uhalali wa mkataba, kama ndivyo ni kwani DG TPA ndio asiweke yeye saini?!
Hili nalo tunahitaji sana ufafanuzi toka Serikalini.

Kwenye mashuhuda,
Upande wa Tanzania shuhuda ni Katibu Mkuu Wizara, ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai, shuhuda hajulikani!
Kuna saini tu bila jina wala nafasi yake.

Hii haijulikani imefanyika maksudi au vipi maana hata asiye mwanasheria mtaalam wa Mikataba angeshtukia mapema!
Inaelekea Dubai walisaini mkataba bila maandalizi hadi wakasahau jina na cheo cha shuhuda!
Hili nalo tunahitaji ufafanuzi, labda kuna jambo hapo sijaelewa.

Naomba pia kufahamu, katika huu mjadala wa Mkataba Bungeni na mtaani ni kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya??!!
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!

Nimehoji kupata ufafanuzi huu ili angalau nipate na wengine tupate uelewa mzuri wa haya makubaliano ambayo mkataba tayari umesainiwa October 2022 na Bunge limebariki June 2023, sijui kwanini Bunge limejadili baada ya mkataba kusainiwa, japo Dg TPA alitueleza kilichosainiwa ni MoU ambayo inaisha baada ya mwaka, lakini kilichosainiwa ni IGA (InterGovernmental Agreements. Inawezekana kwenye ufafanuzi wa Serikali nalo hili litatolewa ufafanuzi.

Natumai Watanzania wengi wanapenda uwekezaji. Binafsi sina shida na mwekezaji yeyote, muhimu akidhi vigezo na kutumiza malengo.
Tatizo lipo kwenye uandaaji wa Mikataba na kinachopitishwa na Bunge, hapo ndipo wengi tunaachana!
Tukumbuke tunapotea sana Mikataba mingi na ndio sababu kubwa ya woga wa kupotea.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, njoo utoe ufafanuzi mzuri wa kueleweka kwenye hùu mkataba.

Tanzania ni yetu sote! 🇹🇿 🤝



Sidhani kama ilikuwa sahihi spika kusimamia mjadala na kutoa majibu !!hapa kachemshaaaaa
 
Sam ruhuza mange kimambi anakuogopa.kama sumu kwa ulichomfanyia dingi yake j4kimambi . Habari za kigoma mkuu.
 
Hebu msikilize Dr Muchunguzi anavyofafanua mimi nimemuelewa vizuri


Huyu jamaa ndio anaonekana wazi kabisa kuwa ametumwa au kajituma kulifanyia propaganda za kijinga kabisa suala hili...

Na hakika huyu kweli ni muhaya halisi..

Kaanza mazungumzo kwa kujifia kwanza kwa kusema ooh mimi nina hiki, nimesafiri nchi nyingi... nk kana kwamba kuna mtu kamuuliza hayo...

Anashindwa kuelewa kuwa watu hawahitaji degree zake bali ni kile kilichomo kichwani mwake...

In short, kichwa chake, akili zake na ufahamu wake hauna tofauti na CCM wenzake woote waliokuwa bungeni na kupitisha na kuukubali ujinga na uchafu huo...

Hawezi kumshawishi mtu yeyote akamwelewa. Kama wewe umweelewa, basi una shida kama yeye..!!
 
Na Sam Ruhuza

Naomba ufafanuzi!

Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai.

Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia nayo mkataba ikiwa ni yenyewe tu na sio UAE.

Tupate ufafanuzi kwanza kwenye huo uhalali wa kuingia mkataba mkubwa wa Nchi kati ya Jamuhuri na Jimbo.

Pia mkataba unahusu Bandari za Bahari na Ziwa katika Jamuhuri ya Muungano Tanzania ambayo Zanzibar ni ndani ya Tanzania.
TPA (Tanzania Ports Authority) inafanyakazi upande wa Tanganyika tu.
Zanzibar ipo ZPC (Zanzibar Ports Corporation) ambayo ni kwa ajili ya Zanzibar tu.
Kila mmoja TPA na ZPC anamajukumu yake na huru kimaamuzi kujitegemea.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inatambua Bandari zote ni ndani ya Muungano.
Kwa TPA kuwa na Mkurugenzi Mkuu na kufanya kazi Tanganyika tu, na Zanzibar kuwa na ZPC na kuwa na Dg na kufanya kazi Zanzibar tu, hapo tayari kuna uvunjifu wa Katiba na ni kosa kubwa.
Nalo ni vizuri tupate ufafanuzi wake.

Kulingana na mkataba kuitaja Jamhuri ya Muungano Tanzania, je Dubai akiamua kuingia Zanzibar na kuhudumia Bandari za huko kwa mwamvuli wa JMT wakati Zanzibar wanautaratibu wao, je kutakuwa na makosa?!
Hapa napo tunahitaji ufafanuzi wa Serikali.

Kilichopitishwa Bungeni ni mkataba wa Bandari ya Dar Port, wakati mkataba uliosainiwa ni wa Bandari zote, mbona hapo Bunge wamepitisha kitu tofauti na kilichosainiwa Oct 2022?! Je itafuta ule mkataba ambao tayari unatekelezwa?!
Hili nalo tupate ufafanuzi.

Mkataba haionyeshi mwisho wa uwekezaji, je Dubai itakuwapo kwa mwaka mmoja, miwili, kumi, milele, ... inabidi tupate ufafanuzi wa kina ili tuelewe malengo na uwajibikaji wa mkataba kwa pande zote.

Kwenye uwekaji saini,
Kwa Tanzania ameweka saini Waziri wa Ujenzi na Usafirishaji, jambo ambalo ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai ameweka saini CEO wa Bandari Dubai.
Mkataba kati ya Nchi na Nchi halafu Upande mmoja aweke saini Waziri na Upande mwingine CEO, hapo tu panaanza kutia wasiwasi wa uhalali wa mkataba, kama ndivyo ni kwani DG TPA ndio asiweke yeye saini?!
Hili nalo tunahitaji sana ufafanuzi toka Serikalini.

Kwenye mashuhuda,
Upande wa Tanzania shuhuda ni Katibu Mkuu Wizara, ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai, shuhuda hajulikani!
Kuna saini tu bila jina wala nafasi yake.

Hii haijulikani imefanyika maksudi au vipi maana hata asiye mwanasheria mtaalam wa Mikataba angeshtukia mapema!
Inaelekea Dubai walisaini mkataba bila maandalizi hadi wakasahau jina na cheo cha shuhuda!
Hili nalo tunahitaji ufafanuzi, labda kuna jambo hapo sijaelewa.

Naomba pia kufahamu, katika huu mjadala wa Mkataba Bungeni na mtaani ni kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya??!!
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!

Nimehoji kupata ufafanuzi huu ili angalau nipate na wengine tupate uelewa mzuri wa haya makubaliano ambayo mkataba tayari umesainiwa October 2022 na Bunge limebariki June 2023, sijui kwanini Bunge limejadili baada ya mkataba kusainiwa, japo Dg TPA alitueleza kilichosainiwa ni MoU ambayo inaisha baada ya mwaka, lakini kilichosainiwa ni IGA (InterGovernmental Agreements. Inawezekana kwenye ufafanuzi wa Serikali nalo hili litatolewa ufafanuzi.

Natumai Watanzania wengi wanapenda uwekezaji. Binafsi sina shida na mwekezaji yeyote, muhimu akidhi vigezo na kutumiza malengo.
Tatizo lipo kwenye uandaaji wa Mikataba na kinachopitishwa na Bunge, hapo ndipo wengi tunaachana!
Tukumbuke tunapotea sana Mikataba mingi na ndio sababu kubwa ya woga wa kupotea.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, njoo utoe ufafanuzi mzuri wa kueleweka kwenye hùu mkataba.

Tanzania ni yetu sote!
Uliyoyauliza yote hata mim nilitamani sana kuyajuwa., ila sidhani kama kuna mtawala atajitokeza kujibu. Kwanza kabisa hili swala la Bandari limedhihirisha kuwa watawala huwa hawaisomi mikataba, haiwezekani mtu usaini mikataba 17 ndani ya siku moja.

Hata kama watawala wetu hawana uelewa wa kina, siyo dhambi kuangalia hata kwa wenzetu kuwa huwa wanafanyaje ili kuzuia au kupunguza unyonyaji unaoweza kufanyika. Mim kinaniuma saaaaaana kitendo cha Bunge kuwa kama dalali badala ya kuwa muwakilishi makini wa Raia na msimamizi makini wa rasilimali zetu.

Ewe Mbunge wew., kitu gani utakuja nacho 2025 ili tuweze kukuamini na kukupa ridhaa tena kwa mara nyingine. KATIBA MPYA NI SASA, maana yaliyopo na yajayo hayafurahishi.
 
Na Sam Ruhuza

Naomba ufafanuzi!

Nimeupitia mkataba wa Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai.

Dubai ni state kwenye Nchi ya UAE (United Arabs of Emirates) na ndio tumeingia nayo mkataba ikiwa ni yenyewe tu na sio UAE.

Tupate ufafanuzi kwanza kwenye huo uhalali wa kuingia mkataba mkubwa wa Nchi kati ya Jamuhuri na Jimbo.

Pia mkataba unahusu Bandari za Bahari na Ziwa katika Jamuhuri ya Muungano Tanzania ambayo Zanzibar ni ndani ya Tanzania.
TPA (Tanzania Ports Authority) inafanyakazi upande wa Tanganyika tu.
Zanzibar ipo ZPC (Zanzibar Ports Corporation) ambayo ni kwa ajili ya Zanzibar tu.
Kila mmoja TPA na ZPC anamajukumu yake na huru kimaamuzi kujitegemea.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania inatambua Bandari zote ni ndani ya Muungano.
Kwa TPA kuwa na Mkurugenzi Mkuu na kufanya kazi Tanganyika tu, na Zanzibar kuwa na ZPC na kuwa na Dg na kufanya kazi Zanzibar tu, hapo tayari kuna uvunjifu wa Katiba na ni kosa kubwa.
Nalo ni vizuri tupate ufafanuzi wake.

Kulingana na mkataba kuitaja Jamhuri ya Muungano Tanzania, je Dubai akiamua kuingia Zanzibar na kuhudumia Bandari za huko kwa mwamvuli wa JMT wakati Zanzibar wanautaratibu wao, je kutakuwa na makosa?!
Hapa napo tunahitaji ufafanuzi wa Serikali.

Kilichopitishwa Bungeni ni mkataba wa Bandari ya Dar Port, wakati mkataba uliosainiwa ni wa Bandari zote, mbona hapo Bunge wamepitisha kitu tofauti na kilichosainiwa Oct 2022?! Je itafuta ule mkataba ambao tayari unatekelezwa?!
Hili nalo tupate ufafanuzi.

Mkataba haionyeshi mwisho wa uwekezaji, je Dubai itakuwapo kwa mwaka mmoja, miwili, kumi, milele, ... inabidi tupate ufafanuzi wa kina ili tuelewe malengo na uwajibikaji wa mkataba kwa pande zote.

Kwenye uwekaji saini,
Kwa Tanzania ameweka saini Waziri wa Ujenzi na Usafirishaji, jambo ambalo ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai ameweka saini CEO wa Bandari Dubai.
Mkataba kati ya Nchi na Nchi halafu Upande mmoja aweke saini Waziri na Upande mwingine CEO, hapo tu panaanza kutia wasiwasi wa uhalali wa mkataba, kama ndivyo ni kwani DG TPA ndio asiweke yeye saini?!
Hili nalo tunahitaji sana ufafanuzi toka Serikalini.

Kwenye mashuhuda,
Upande wa Tanzania shuhuda ni Katibu Mkuu Wizara, ni sahihi kabisa.
Upande wa Dubai, shuhuda hajulikani!
Kuna saini tu bila jina wala nafasi yake.

Hii haijulikani imefanyika maksudi au vipi maana hata asiye mwanasheria mtaalam wa Mikataba angeshtukia mapema!
Inaelekea Dubai walisaini mkataba bila maandalizi hadi wakasahau jina na cheo cha shuhuda!
Hili nalo tunahitaji ufafanuzi, labda kuna jambo hapo sijaelewa.

Naomba pia kufahamu, katika huu mjadala wa Mkataba Bungeni na mtaani ni kwanini Mwanasheria Mkuu wa Serikali yupo kimya??!!
Bungeni kazi ya AG alifanya Spika Tulia maana yeye ndiye alikuwa kama anajibu na kutoa ufafanuzi. Mwanasheria Mkuu ukimya wake kwenye jambo nyeti kama hili linatupa mashaka sana!
Mwingine ambaye yupo kimya ni Profesa Paramagamba Kabudi. Huyu Mheshimiwa tuliambiwa na Mheshimiwa Rais atamsaidia kwenye masuala ya mijadala ya mikataba yaani Chief Negotiator, lakini nae amekuwa kimya!

Nimehoji kupata ufafanuzi huu ili angalau nipate na wengine tupate uelewa mzuri wa haya makubaliano ambayo mkataba tayari umesainiwa October 2022 na Bunge limebariki June 2023, sijui kwanini Bunge limejadili baada ya mkataba kusainiwa, japo Dg TPA alitueleza kilichosainiwa ni MoU ambayo inaisha baada ya mwaka, lakini kilichosainiwa ni IGA (InterGovernmental Agreements. Inawezekana kwenye ufafanuzi wa Serikali nalo hili litatolewa ufafanuzi.

Natumai Watanzania wengi wanapenda uwekezaji. Binafsi sina shida na mwekezaji yeyote, muhimu akidhi vigezo na kutumiza malengo.
Tatizo lipo kwenye uandaaji wa Mikataba na kinachopitishwa na Bunge, hapo ndipo wengi tunaachana!
Tukumbuke tunapotea sana Mikataba mingi na ndio sababu kubwa ya woga wa kupotea.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, njoo utoe ufafanuzi mzuri wa kueleweka kwenye hùu mkataba.

Tanzania ni yetu sote! 🇹🇿 🤝💪
UAE ni muungano wa nchi ndogo saba. Dubai ni nchi ndani ya huyo muungano wao na inayo mamlaka ya kufanya biashara na taifa lolote duniani.

Huu mkataba mkuu uliosainiwa bungeni kwa mujibu wa wataalam wa haya masuala ni agreement to agree, kitu kama MOU kati ya pande hizo mbili.

Cha muhimu ni hiyo mikataba midogo midogo ya kibiashara watakayosaini hao waarabu na makampuni yetu na hii ndio tunakuwa na nguvu nyingi za kisheria, na hii ndio inayoweza kuufanya mkataba mkuu uliopitishwa bungeni ukawa na nguvu au ukawa dhaifu tu.

Sidhani kama mwanasheria mkuu atakuja na kauli tofauti na ile ya bosi wa TCAA aliyeshughulikia hili suala kwa kina.
 
Uliyoyauliza yote hata mim nilitamani sana kuyajuwa., ila sidhani kama kuna mtawala atajitokeza kujibu. Kwanza kabisa hili swala la Bandari limedhihirisha kuwa watawala huwa hawaisomi mikataba, haiwezekani mtu usaini mikataba 17 ndani ya siku moja.

Hata kama watawala wetu hawana uelewa wa kina, siyo dhambi kuangalia hata kwa wenzetu kuwa huwa wanafanyaje ili kuzuia au kupunguza unyonyaji unaoweza kufanyika. Mim kinaniuma saaaaaana kitendo cha Bunge kuwa kama dalali badala ya kuwa muwakilishi makini wa Raia na msimamizi makini wa rasilimali zetu.

Ewe Mbunge wew., kitu gani utakuja nacho 2025 ili tuweze kukuamini na kukupa ridhaa tena kwa mara nyingine. KATIBA MPYA NI SASA, maana yaliyopo na yajayo hayafurahishi.
Tatizo la haya maandishi yako ni uoga ule ule wa kitanzania.
 
Dr Slaa kayajibu yote hayo jana.pitia link yake humu JF
Unapotosha kwa ujinga au kwa maksudi kabisa.
Inawezekana hukuelewa alichoeleza Slaa.
Yeye mweyewe anayhoji na kushutumu mapungufu katika mkataba huo, halafu wewe unakuja na upotoshaji kwamba katoa majibu?

Hii elimu nusunusu mbona inawaathiri sana.
 
Back
Top Bottom