Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
2. Ofisi hii inakiri kupokea barua yako yenye kumb. Na. CDM/TMK/17/0713 ya tarche 18.07.2023.
3. Mutano huo ni wa hadhara na Jeshi linaamini mnalo jukumu la kuzingatia sheria na kanuni za kuandaa na kufanya mutano katika mazingira ya amani.
4. Jeshi la Polisi halitasita kutekeleza majukumu yake ya msingi pale litakapo baini ukiukwaji wa sheria utakaojitokeza kutokana na mkutano huo.
5. Jeshi la Polisi linaendelea kusisitiza misingi ya kisheria na amani we ni kigezo muhimu cha kuzingatia katika mikutano.
Pia soma: Orodha ya Vigogo Wazalendo watakaohutubia Mkutano wa hadhara Temeke inatisha