Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
Familia ya mzee Abeid Amani Karume imetengwa na mfumo wa Chama tawala?
Kumbuka CCM ina tabia ya kuwabeba sana watoto wa viongozi wastaafu na kuwapa nyadhifa mbali mbali, na hata isipotosha huwanyooshea njia zao kwenye biashara au kaz wanazofanya.
Vip kwa Familia ya Karume?
1. Karume Jr, Rais mstaafu hata kwenye dhifa za kitaifa haonekani.
2. Ali Karume ndio kafukuzwa kama "mbwa" kwenye chama cha baba yake usiku wa manane.
3. Fatma Karume na usomi wake na uzoefu wake wa muda mrefu kwenye sheria za ndani na za kimataifa lesseni yake ya uwakili ikapigwa pin, akapoteza uwakili, na firm yake ikapigwa bomu na watu " wasiojulikana"
4. Wasomi wa familia ya Karume ni wengi lakini wengi wanajifanyia kazi zao binafsi ukilinganisha na watoto wa wastaafu wengine..
Familia ya Nyerere yupo, Mwinyi wapo, Mkapa wapo, Kikwete wapo, Pinda wapo, Lowassa wapo, Kawawa wapo, Nnauye wapo, Malima wapo, kunani Karume?
Swali ni, Je wametengwa?
Kumbuka CCM ina tabia ya kuwabeba sana watoto wa viongozi wastaafu na kuwapa nyadhifa mbali mbali, na hata isipotosha huwanyooshea njia zao kwenye biashara au kaz wanazofanya.
Vip kwa Familia ya Karume?
1. Karume Jr, Rais mstaafu hata kwenye dhifa za kitaifa haonekani.
2. Ali Karume ndio kafukuzwa kama "mbwa" kwenye chama cha baba yake usiku wa manane.
3. Fatma Karume na usomi wake na uzoefu wake wa muda mrefu kwenye sheria za ndani na za kimataifa lesseni yake ya uwakili ikapigwa pin, akapoteza uwakili, na firm yake ikapigwa bomu na watu " wasiojulikana"
4. Wasomi wa familia ya Karume ni wengi lakini wengi wanajifanyia kazi zao binafsi ukilinganisha na watoto wa wastaafu wengine..
Familia ya Nyerere yupo, Mwinyi wapo, Mkapa wapo, Kikwete wapo, Pinda wapo, Lowassa wapo, Kawawa wapo, Nnauye wapo, Malima wapo, kunani Karume?
Swali ni, Je wametengwa?