Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Credit to Hilda Newton (X) 1960, polisi wa Makaburu katika kitongoji cha weusi cha Sharpville nchini Afrika Kusini walifyatua risasi kwa umati wa watu wasio na silaha waliokuwa wakiandamana kwa...
7 Reactions
26 Replies
676 Views
Mwanzo wa ngoma lele, hivyo ndivyo tulivyofundishwa. Sasa hivi ni wazi mzigo wa lawama kwa yaliyotokea Octoba 29, atabebeshwa nani. Ukitaka kumuua mbwa wanasema sharti umpe jina baya. Jaji...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
Utafiti mkubwa unaohusisha Chuo Kikuu cha Durham unaonyesha kwamba kufikiria upya kwa kina muundo wa nyumba za vijijini katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kunaweza kuwalinda watoto kutokana...
1 Reactions
3 Replies
145 Views
Feminist na malalmiko katika mkutano kati ya Rais wa China Xi Jinping na Rais wa Marekani Donald Trump. Kwa nini hawana wawakilishi ? Je, anayo hoja azingatiwe au apuuzwe ...
0 Reactions
3 Replies
120 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Kenani Kihongosi amesema Chama hicho hakijawahi kukosea na kwamba maamuzi yote yanayofanywa ndani ya...
0 Reactions
4 Replies
172 Views
Asema atakifutilia mbali CHADEMA kama kisipofanya shughuli zake za Siasa inavyotakiwa. Hapa nafikiri ndugu Msajili alimaanisha CHADEMA wamsifu Madame Presider ikiwezekana wampe na Tuzo ya Rais...
0 Reactions
4 Replies
161 Views
Serikali imeidhinisha Shilingi bilioni 24.08 kupitia mradi wa Dar es Salaam Maritime Gateway Project kwa mwaka wa fedha 2025/26 ili kuboresha miundombinu ya Port of Dar es Salaam na kuongeza...
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Watu wengi wakisikia “ukoloni” wanafikiria wazungu walifika Afrika na bunduki tu wakaanza kuteka maeneo kwa nguvu moja kwa moja. Ukweli ni kwamba sehemu nyingi ukoloni uliingia taratibu sana...
1 Reactions
5 Replies
143 Views
Serikali awamu ya sita yawezesha NIT kuanza Mafunzo ya Urubani, Wanafunzi Wafanya Solo Flight Serikali kupitia National Institute of Transport (NIT) imeanza rasmi kutoa mafunzo ya urubani tangu...
1 Reactions
4 Replies
145 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Uhakiki wa Mikopo ya 10% Wilaya ya Kasulu, Theresia Mtewele, amevitaka vikundi vinavyoomba mikopo hiyo kuhakikisha vinaitumia kulingana na maandiko waliyowasilisha ili...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Nimeshangaa sana mwalimu mwenzangu kunibwatukia na kunizuia kujadili suala muhimu kama hili Sawa tupo kazini. Ofisini tusijadili kisa tu sisi ni walimu? Kosa nini kuwa mtumishi wa umma usijadili...
8 Reactions
30 Replies
454 Views
Tume ya Chande iliteuliwa na watawala ikiwa na malemgo ya Kupata ukweli wa nini kilitokea? Nani alihusika? Na kwa nini ilitokea hivyo? Kuwajibisha ikiwa kuna mtu alikiuka sheria au maadili Kutoa...
2 Reactions
2 Replies
149 Views
Kuna msemo wa wenzetu wa kusini usemao, "kukaa nchale, kusimama nchale." Kwa maoni yangu hapo ndipo tulipofikia sasa baada ya ripoti ya Jaji Chande. Kama umepata nafasi ya kumsikiza Jaji Chande...
17 Reactions
143 Replies
2K Views
WARIOBA NI MTU WA HOVYO SANA... Kuna muda tunajizuia sana kuongea juu ya huyu mzee lakini tunashindwa kabisa kwa kuwa ana mambo ya hovyo sana na amezanza huu uhovyo muda mrefu sana.. Jose yeye...
0 Reactions
25 Replies
447 Views
Sote ni mashuhuda kwamba, katika majukwaa mbalimbali humu JF, kumezuka na kuibuka wimbi kubwa sana la baadhi ya wadau wa JF kujidhirisha pasina shaka yoyote kwamba wao ni kundi la mamluki wa...
1 Reactions
24 Replies
316 Views
Zama za Ofisi ya Msajili wa Vyama kuwa mchezaji namba 12 wa CCM FC zimekwisha. Dola isome alama za nyakati. The writing is on the walls! Msajili STOP THIS NONSENSE ya kutaka kufuta CHADEMA...
7 Reactions
25 Replies
578 Views
Wamejijengea hawana sifa ya kuaminika. Na hili la kichwa, nitakuwa wa mwisho kuwaamini. Kama walikana kumshikilia Sativa, na mbaya zaidi yule kijana SOKA aliyeripoti kwao kuchukua pikipiki yake...
4 Reactions
18 Replies
314 Views
HIZI NI SHERIA ZA NDOA ZA WATIBELI ZINAZOTUFANYA TUISHI DUNIANI KAMA TUPO PEPONI. MKITAKA MNAWEZA KUZIKOPA ZITAKAZOWAFAA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Nimeona serikali ikitaka wadau na...
2 Reactions
17 Replies
652 Views
The JKT (Jeshi la Kujenga Taifa) system is, in structural terms, a radicalization pipeline that the state itself operates — not intentionally, but through the gap between what it promises and what...
1 Reactions
2 Replies
160 Views
Pius Msekwa alipata kusema kumvumilia kiongozi mbovu kwa miaka mitano ni bahati mbaya sana kwa Taifa na huenda taifa hilo likazama shimoni milele lisiinuke tena. Pale ambapo taifa limepata ajali...
4 Reactions
3 Replies
215 Views
Back
Top Bottom