Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

NJIA RAHISI YA KUIFUTA CHADEMA: AANDIKA ASKOFU BAGONZA Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema...
9 Reactions
13 Replies
615 Views
  • Redirect
Anaandika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya...
0 Reactions
Replies
Views
Akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa Ujenzi wa uwanja wa Yanga leo, Mkuu wa Mkoa wa DSM ameitaka Yanga kutoiombea mabaya Simba ili ife bali waombe iendelee kuwepo ushindani uwepo, kasema Yanga...
3 Reactions
3 Replies
120 Views
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Njombe, Neema William Mgaya, ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza kasi ya kutafuta masoko mapya ya utalii duniani badala ya kutegemea masoko ya...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Eti kama anataka kutoa ushauri awe anaenda Ikulu. Je kama ushauri anaoutoa fargha unapuuzwa? Kwa nini asiyatoe yake ya moyoni Mzee Warioba. Vipi kuhusu mstaafu aliyepitisha mgombea kibabe mwezi...
7 Reactions
10 Replies
365 Views
Katika zama hizi za AI kama OpenAI ChatGPT, nyie mnampimaje uwezo wa kiongozi wa chama tawala au upinzani? Maana leo hii wote wanaweza kutafuta hoja kali, hotuba nzuri na majibu ya kisomi kupitia...
0 Reactions
12 Replies
184 Views
Ni ajabuWaziri wa katiba na Sheria kutaja jina, eneo, mtu alikokuwa anafanyia kazi na namba ya simu ya mteja anayemuhudumia, haoni kuwa anavunja sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za mtu. Au...
0 Reactions
2 Replies
146 Views
Watu wengi wanapozungumzia nguvu ya mabadiliko ya kisiasa huwa wanakimbilia sana kuipa nguvu Generation Z kwa sababu ndiyo wanaonekana zaidi mtandaoni. Lakini ukiangalia kwa undani historia ya...
2 Reactions
8 Replies
225 Views
Baada ya uchaguzi na mijadala ya kisiasa, kulizuka wimbi kubwa la hasira mtandaoni ambapo baadhi ya vijana walitangaza kuwasusia wasanii waliodaiwa kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi. Mitandaoni...
0 Reactions
5 Replies
120 Views
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI. Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri. Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za...
6 Reactions
26 Replies
621 Views
  • Redirect
Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema. Barua hiyo inatafsriwa kuwa ina lengo la kuifuta CDM au...
1 Reactions
Replies
Views
Uchunguzi wa Tume umebaini kuwa vijana wengi walidanganywa na kushawishiwa kushiriki ghasia baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia mitandao ya...
0 Reactions
6 Replies
176 Views
TANZANIA BWANA -Wanasiasa wanatumia matatizo ya wananchi kujipatia Pesa! -Machawa wanatumia wanasiasa wanaotumia matatizo ya wananchi kujipatia, nao kujipatia Pesa! -Wanaharakati baadhi nao...
5 Reactions
5 Replies
254 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji Francis S.K. Mutungi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa. Taarifa iliyotolewa Dar Es Salaam leo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkutano unafanyika Kenya tumejaza majinga nchi nyingine za Africa zinapiga deal https://youtu.be/lf6WeLrKFLs?si=V5VWdGRa4KjbECbY
1 Reactions
7 Replies
215 Views
Serikali ya Marekani na Tanzania kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Afya Tanzania na Marekani mambo safi Dar es Salaam, 14 May 2026 The Minister of Health, Hon. Mohamed Mchengerwa, today met...
3 Reactions
6 Replies
212 Views
Nchi ya wahuni, kila mtawala ni muhuni. Can you imagine website yao haina tables za nauli za sasa. Wanaficha nini? Wanalenga nini kutoweka nauli kwenye website yao. Kuna tables za 2024!
2 Reactions
1 Replies
182 Views
Dudu Baya amkalia koo Profesa J baada ya kupatiwa milioni 30 na Rais Samia Suluhu Profesa J hongera kwa kugewa milioni 30 na mama Samia yani wewe huna utofauti na Wastara mnatumia ugonjwa kupata...
9 Reactions
46 Replies
1K Views
Back
Top Bottom