Zimwi la Oktoba 29, limegoma kuzimika

Zimwi la Oktoba 29, limegoma kuzimika

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
1,154
Reaction score
2,758
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
 
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
Huwezi kuua watu wengi namna ile halafu nchi irudi kuwa kama zamani. Never! Rekodi imeshaandikwa na Samia atabaki kuwa muuaji wa halaiki.
 
1779002439143.jpeg
 
Halafu juzi NEC ya CCM ilitoa tamko la kupongeza majeshi yaliyoua Watanganyika zaidi ya 10,000, nilisikitika sana, hakika CCM ni Chama Cha Majambazi.
 
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali

linaweza kuisha kama tukifanya haya

1.wanaharakati wote kuwaomba msamaha watanganyika kwa kuwadanganya kuwa wanaweza kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi kwa kutumia fujo kama zile
2.mamalaka husika kuzima fujo zile kwa kutumia nguvu kubwa kuwaomba msamaha watanzania na jumuia za kimataifa ( kisaikologia ni kwamba unaweza kuwa provoked kufanya jambo mbaya ).ila hii inaitaji umakini mkubwa kulifanya.

3.taasisi za dini kuhubiri amani na siyo kuonyesha uovu wa mtu fulani.

4.tukubari kuwa sisi ni wakosaji katika jambo hili
5.kukomeshwa kwa matendo ya utekaji.tuache watu waongee bila kuvuka mipaka.kama mtu ataongea yasiyofaa tumfikishe vyomba vya kutoka haki


HIVI UNAJUA KUWA HUKUMU YA MWIZI SIYO KIFO?
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
 
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
Damu yote iliyomwagika bila hatua, mamantilie kwenye vibanda, watoto wadogo, Wanafunzi kuanzia chuo mpaka shule za Msingi, Machinga na Bodaboda, viongozi wa dini nk. Halafu utegemee yapite kimya Kwa porojo za kina Kabudi??
 
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
Kile kibibi kikiwajibishwa nitafurahi sana.
 
linaweza kuisha kama tukifanya haya

1.wanaharakati wote kuwaomba msamaha watanganyika kwa kuwadanganya kuwa wanaweza kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi kwa kutumia fujo kama zile
2.mamalaka husika kuzima fujo zile kwa kutumia nguvu kubwa kuwaomba msamaha watanzania na jumuia za kimataifa ( kisaikologia ni kwamba unaweza kuwa provoked kufanya jambo mbaya ).ila hii inaitaji umakini mkubwa kulifanya.

3.taasisi za dini kuhubiri amani na siyo kuonyesha uovu wa mtu fulani.

4.tukubari kuwa sisi ni wakosaji katika jambo hili
5.kukomeshwa kwa matendo ya utekaji.tuache watu waongee bila kuvuka mipaka.kama mtu ataongea yasiyofaa tumfikishe vyomba vya kutoka haki


HIVI UNAJUA KUWA HUKUMU YA MWIZI SIYO KIFO?
Hayo mawili ya mwisho yamewashinda watawala. Wao kwa wao wanabishana kuyatekeleza, miongoni mwao kuna wanaotamani iwe hivyo lakini wengine hawataki iwe hivyo
 
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata

Hata hivyo hali huwa tofauti kabisa kwa wafiwa hasa kama aliyeondoka ndiye alikuwa nguzo ya familia

Oktoba 29, 2025 Taifa lilikumbwa na msiba mzito lakini viongozi waligoma kuomboleza

Wakati wafiwa/wananchi wanaomboleza watawala walikuwa busy wanagonga glass za mvinyo na wisky huku wakipiga story na kupongeza kwa hili na lile

Hawakufanya hayo kwa bahati mbaya bali ni kwasababu msiba haukuwahusu wao. Wao hawakuwa wafiwa ndiomaana hawakuwa na machungu. Walichukulia kawaida

Bahati mbaya walisahau jambo moja la msingi kwamba wao si majirani bali ni watawala wa eneo kuliko tokea msiba. Kiongozi anaposhindwa kuomboleza na wanaoomboleza ipo siku heshima yake itashushwa na anaowaongoza

Kiongozi anapojitenga na watu wake wakati wa shida hawezi kupata heshima kamwe

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna juhudi kubwa sana za kutaka kuzima zimwi la oktoba 29 lisizungumzwe, life kifo cha kawaida lakini wafiwa wamegoma kumrishwa.

Wafiwa/wananchi wameamua kusema kama mlivyotuacha tuomboleze peke yetu tangu mwanzo tuacheni na sasa

Mjadala wa ACT wazalendo wa juzi ni kama kuna maneno baadhi ya viongozi wa ACT hawakutamani yasemwe lakini Peter Madeleka aliyasema

Ni uzumbukuku uliopitiliza viongozi kusema eti uchaguzi wa 2025 ulikuwa huru na haki wakati huo huo tume yao imekiri kuwa siku ya uchaguzi kulikuwa na vifo zaidi ya 518 (waliibuni namba hii wakidhani ni ndogo)? Hawa aliuawa kwasababu za uchaguzi, unawezaje kusema ulikuwa wa haki? Walikufa wakipigania nini?

Ni uwendawazimu kusema kuwa kura zote zilihesabiwa wakati huo huo unakiri kwamba vituo vya kupigiwa kura vilianza kuvamiwa saa tano asubuhi na wasimamizi kuanza kukimbia huku na kule na kutelekeza masanduku ya kura. Huu ni utindio wa ubongo sio uwendawazimu pekee

Hii ni kukwepa kuwajibika, lakini kifo huwa hakiendi bure. Damu ya mtu haimwagiki bure. Siku yaja na haiko mbali
Kuiamini inayojiita tume huru,ccm na mamlakaa zake na sorikali yake unatakiwa kuwa kichaa.
 
Back
Top Bottom