Acha uchawa wewe mpuuziMbwa mpe jina baya tu.
Yaani kama hayo ndo wanayofanya basi kumbe ni kweli akili za kufikilia zilishatoweka. Wao wanafikilia kubeba vitu na kutumia nguvu,View attachment 3593636
Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali.
Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo