Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KWA: Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi Wote wa Mataifa ya Afrika. KUHUSU: Vita Mufilisi Dhidi ya Sauti za Wananchi na Kupuuza Bomu Halisi la Kiuchumi na Usalama wa Taifa...
4 Reactions
15 Replies
209 Views
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba kundi la watekaji lililoongozwa na mzanzibari, lilimteka msaidizi wa Lisu bwana DJumbe akiwa anaingia nyumbani kwake usiku saa 4. Baada ya Jumbe kupiga kelele...
16 Reactions
28 Replies
567 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akijibu swali Bungeni Dodoma leo Mei 26, 2026 "Katika nchi inayoongoza barani barani Afrika, nchini South...
1 Reactions
3 Replies
109 Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) Sheikh Alhad Mussa Salum ameyasema hayo Mei 26, 2026.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Rais siyo MUNGU. Nadhani Senegal kuna independence of the Bunge , judiciary and Executive! Ingelikuwa hapa huyu ex Prime minister angalikuwa maiti by now!
1 Reactions
Replies
Views
Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru...
5 Reactions
26 Replies
425 Views
"Kwa kutambua umuhimu wa haki kama misingi ya amani, utulivu, lakini pia maendeleo ya taifa letu, na ustawi wa wananchi kwa ujumla. Haki ndiyo inayo-prevail katika hayo yote hayo. Nendeni mkae"...
1 Reactions
15 Replies
344 Views
  • Redirect
Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati...
8 Reactions
Replies
Views
"Mimi ni mtu wa kusema haki, mimi ni mtu wa kunyoosha maelezo, mtu wa kusema ukweli. Sasa kuna vitu ambavyo naona nikiwa upande huu, ile umimi inashindwa, naanza kuwa bata wakati natakiwa niwe...
4 Reactions
17 Replies
388 Views
Wakuu, Mungu anaendelea Kuwaumbua. Kwa madai ya huyu mzee ALIFUATWA NA POLISI TANZANIA, MZEE ANAMTAJA POLISI KWA MAJINA YAKE, MZEE ANASEMA, JUZI JUZI JUZI walimfuata Nyakati za usiku...
37 Reactions
246 Replies
16K Views
  • Redirect
Wimbi kubwa la hivi karibuni la wanachama na viongozi wanaorejea CHADEMA linapaswa kutazamwa kwa tahadhari kubwa ya kisiasa. Ingawa hatua hii inaongeza idadi ya wanachama, kuna uwezekano mkubwa...
0 Reactions
Replies
Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), leo amewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa Mwaka wa Fedha...
3 Reactions
10 Replies
224 Views
Mwalimu Leah Ulaya, aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), anazungumziwa sana baada ya kushindwa katika uchaguzi wa uongozi wa chama hicho. Hatima yake imekuwa ya wasiwasi kwa wengi...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Kila kukicha wanatuvamia na kutuua. Ili tusiubiri upendo, umoja na Mshikamano. Tuubiri visasi, Tufoke na Tutangaze mapambano bila Silaha. Baada ya hapo wajipe uhalali wa kutufunga, kutunyonga ata...
4 Reactions
6 Replies
182 Views
Baraza la Viongozi wa Dini nchini limeiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufanya mapitio ya mahusiano ya kidiplomasia na nchi ya Marekani...
0 Reactions
3 Replies
225 Views
Ubalozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini umethibitisha kukamatwa kwa zaidi ya raia 90 wa Tanzania na kuwekwa katika Kituo cha Lindela kufuatia msako wa Wahamiaji Haramu unaoendelea Nchini humo...
4 Reactions
23 Replies
550 Views
Ukiangalia hawa watu ndio wameivuruga kama sio kuiimarisha Chadema ila kwa upande mwingine wamemsaidia Mama Samia kwa kuwaaminisha wananchi kuwa watazuia uchaguzi na wengine wao kukimbilia CCM na...
1 Reactions
10 Replies
986 Views
Hii ndio Taarifa ya sasa ikiwa ni maandalizi ya Mkutano Kabambe wa Uzinduzi wa Operesheni Katiba Mpya na Free Lissu ikumbukwe kwamba Mkutano wa No Reforms No Election uliofanyika Dodoma uling'oa...
24 Reactions
76 Replies
2K Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassana akiapisha Majaji 9 wa Mahakama ya Rufani aliowateua leo Mei 26, 2026, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua kuimarisha uwezo wa...
2 Reactions
17 Replies
303 Views
Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Back
Top Bottom