Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Always msaliti ni msaliti tu hakuna siku atakuja kua malaika usaliti always uko kwenye damu ya mtu bora mara 100 Mdee lakini sio wakina Msigwa ambao walizunguka kwenye majukwaa wakikibagaza chama...
6 Reactions
42 Replies
541 Views
Katika salamu zake za Siku ya Mama Duniani kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), David Kafulila – Mkurugenzi Mkuu wa PPPC – amesema kwamba kufikia Dira 2050, ubora wa rasilimali watu ni kila...
4 Reactions
17 Replies
236 Views
  • Redirect
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Babati mkoani Manyara, imetoa zuio la muda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua hatua zozote kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amri ya...
6 Reactions
Replies
Views
Muda unaweza kusonga mbele. Kauli za kisiasa zinaweza kubadilika. Ripoti za ndani zinaweza kutungwa kwa lugha laini. Lakini 29/10 ni kumbukumbu ya kudumu ndani na chamber za kimatifa Na sasa...
1 Reactions
0 Replies
98 Views
Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema kilio cha kodi kimekuwa kikubwa kwa wafanyakazi na wamekuwa wakiiomba serikali ishushe kodi. Soma Pia: TUCTA wamtunuku Rais Samia tuzo ya shukurani kwa...
4 Reactions
23 Replies
444 Views
Hoja hiyo ya Kijinga imesemwa na kiongozi duni wa ccm wa Mkoa wa Dodoma anayeitwa Jawadu Mohamed Tunatoa onyo kwa ccm Nchi nzima, kwamba, kwa Hawa viongozi wao wa kuokoteza, Hawa wa mtoto wa...
16 Reactions
26 Replies
693 Views
Taarifa kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Wananchi wa Mkoa huo waliohudhuria Mkutano wa Hadhara wa Chadema ulioitwa Oparesheni #Katiba Mpya #Free Lissu wamevunja rekodi ya michango inayoitwa...
12 Reactions
52 Replies
742 Views
Kwa mujibu wa wachambuzi wa siasa za kimatifa ni kwamba kwenye sura ya Nje watu wanadhani USA anatetea maslahi ya raia lakini ukweli ni kwamba hii inatokana na hasira za Beberu baada ya kuona...
3 Reactions
53 Replies
684 Views
Siwezi kupinga kuwa kweli ni majasiri na hawaogopi Lakini linapokuja kwenye suala la elimu ni hakuna kitu. Mtu anamaliza form six na kujiunga na chuo kikuu alafu hawezi kujua hata past tense?
15 Reactions
69 Replies
948 Views
Lowasa alitoka CCM tukampokea akarudi CCM wakampokea, Nyalandu alitoka CCM tukampokea akarudi CCM wakampokea, Fredrick Sumayi alitoka CCM tukampokea akarudi CCM wakampokea. Dr. Slaa alikuwa CCM...
9 Reactions
40 Replies
481 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya amesema aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa aliyetangaza kurudi Chadema, alikuwa mpita njia na...
2 Reactions
6 Replies
191 Views
Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Magufuli amefariki dunia leo Mei 25, 2026, Chato Mkoani Geita baada ya kuugua...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo mchafu? Tuseme vyombo vya dola havijui hawa ni wakina nani? Mafwele matako yako So kwa akili yao...
19 Reactions
57 Replies
1K Views
Mtu amekaa miezi sita jela lakini ujasiri wa kuendeleza mapambano dhidi ya CCM ndio umeongezeka 👇
11 Reactions
12 Replies
385 Views
Naona Rio Ferdinand amejibu mapigo wakuu baada ya wabongo kumpelekea sana 'moto' huko Instagram Akizungumza leo jijini Dar amesema kuwa yuko Tanzania kwa ajili ya kazi ya kusaka vipaji na kwamba...
13 Reactions
143 Replies
3K Views
Hebu fikiri tu kuwa, huyu eti ndiye PM wa Tanganyika. Ndiye mshauri wa karibu wa Rais Samia. Kwanini tuendelee kushangaa kwa kuwa na serikali inayojua kuteka, kutesa, kufira, kulawiti na kuua tu...
7 Reactions
23 Replies
666 Views
kuna theories nahisi kwamba huenda January Makamba kapumzishwa kwenye spotlight ya siasa za kila siku ili kulinda brand yake kisiasa dhidi ya scandals, migogoro ya ndani, na kelele za uchaguzi wa...
9 Reactions
56 Replies
1K Views
Africa Kuna maajabu sana, mtu yupo gerezani lakini bado anaendelea kuwa kiongozi na watu wanamuona Bado kiongozi sasa mkiambiwa ni misukule au manyumbu mtalaumu? Mtu anakesi ya uhaini huyo ni...
1 Reactions
32 Replies
354 Views
KWA: Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi Wote wa Mataifa ya Afrika. KUHUSU: Vita Mufilisi Dhidi ya Sauti za Wananchi na Kupuuza Bomu Halisi la Kiuchumi na Usalama wa Taifa...
4 Reactions
15 Replies
209 Views
Back
Top Bottom