Always msaliti ni msaliti tu hakuna siku atakuja kua malaika usaliti always uko kwenye damu ya mtu bora mara 100 Mdee lakini sio wakina Msigwa ambao walizunguka kwenye majukwaa wakikibagaza chama...
Katika salamu zake za Siku ya Mama Duniani kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), David Kafulila – Mkurugenzi Mkuu wa PPPC – amesema kwamba kufikia Dira 2050, ubora wa rasilimali watu ni kila...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Babati mkoani Manyara, imetoa zuio la muda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kuchukua hatua zozote kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Amri ya...
Muda unaweza kusonga mbele. Kauli za kisiasa zinaweza kubadilika. Ripoti za ndani zinaweza kutungwa kwa lugha laini.
Lakini 29/10 ni kumbukumbu ya kudumu ndani na chamber za kimatifa
Na sasa...
Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema kilio cha kodi kimekuwa kikubwa kwa wafanyakazi na wamekuwa wakiiomba serikali ishushe kodi.
Soma Pia: TUCTA wamtunuku Rais Samia tuzo ya shukurani kwa...
Hoja hiyo ya Kijinga imesemwa na kiongozi duni wa ccm wa Mkoa wa Dodoma anayeitwa Jawadu Mohamed
Tunatoa onyo kwa ccm Nchi nzima, kwamba, kwa Hawa viongozi wao wa kuokoteza, Hawa wa mtoto wa...
Taarifa kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Wananchi wa Mkoa huo waliohudhuria Mkutano wa Hadhara wa Chadema ulioitwa Oparesheni #Katiba Mpya #Free Lissu wamevunja rekodi ya michango inayoitwa...
Kwa mujibu wa wachambuzi wa siasa za kimatifa ni kwamba kwenye sura ya Nje watu wanadhani USA anatetea maslahi ya raia lakini ukweli ni kwamba hii inatokana na hasira za Beberu baada ya kuona...
Siwezi kupinga kuwa kweli ni majasiri na hawaogopi
Lakini linapokuja kwenye suala la elimu ni hakuna kitu.
Mtu anamaliza form six na kujiunga na chuo kikuu alafu hawezi kujua hata past tense?
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya amesema aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa aliyetangaza kurudi Chadema, alikuwa mpita njia na...
Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Magufuli amefariki dunia leo Mei 25, 2026, Chato Mkoani Geita baada ya kuugua...
Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo mchafu?
Tuseme vyombo vya dola havijui hawa ni wakina nani? Mafwele matako yako
So kwa akili yao...
Naona Rio Ferdinand amejibu mapigo wakuu baada ya wabongo kumpelekea sana 'moto' huko Instagram
Akizungumza leo jijini Dar amesema kuwa yuko Tanzania kwa ajili ya kazi ya kusaka vipaji na kwamba...
Hebu fikiri tu kuwa, huyu eti ndiye PM wa Tanganyika. Ndiye mshauri wa karibu wa Rais Samia. Kwanini tuendelee kushangaa kwa kuwa na serikali inayojua kuteka, kutesa, kufira, kulawiti na kuua tu...
kuna theories nahisi kwamba huenda January Makamba kapumzishwa kwenye spotlight ya siasa za kila siku ili kulinda brand yake kisiasa dhidi ya scandals, migogoro ya ndani, na kelele za uchaguzi wa...
Africa Kuna maajabu sana, mtu yupo gerezani lakini bado anaendelea kuwa kiongozi na watu wanamuona Bado kiongozi sasa mkiambiwa ni misukule au manyumbu mtalaumu?
Mtu anakesi ya uhaini huyo ni...
KWA: Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi Wote wa Mataifa ya Afrika.
KUHUSU: Vita Mufilisi Dhidi ya Sauti za Wananchi na Kupuuza Bomu Halisi la Kiuchumi na Usalama wa Taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.