Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,796
- 40,395
Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru wengine kujadili Mambo yao?
Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika Oct 29 2025 ni ukatili gani huu?
Endeleeni kujikanyaga Dunia inawaona.
Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika Oct 29 2025 ni ukatili gani huu?
Endeleeni kujikanyaga Dunia inawaona.