Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,123
Reaction score
3,513
Bunge la Senegal limemchagua Waziri Mkuu wa zamani, Ousmane Sonko, kuwa Spika mpya. Hatua hii inaweza kumpa jukwaa lenye nguvu kubwa la kutoa upinzani kwa Rais Bassirou Diomaye Faye.

Spika wa zamani wa bunge hilo, El Malick Ndiaye, alijiuzulu Mei 24, 2026 hatua ambayo wachambuzi wa mambo wanasema ililenga kumpisha Ousmane Sonko ili agombee nafasi hiyo ya mkuu wa bunge, ambako chama chake cha Pastef kina idadi kubwa ya wabunge.

Wabunge waliitwa kwenye kikao kamili cha bunge leo Mei 26, 2026, ambapo Sonko alirudishwa kwanza kuwa mbunge na kisha akachaguliwa kuwa Spika wa bunge hilo.

Hata hivyo, wabunge wa upinzani nchini Senegal walisusia kikao hicho cha bunge.

Mapema leo Mei 26, 2026 Rais Faye amemteua Ahmadou Al Aminou Lo, kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.

Soma pia

1779795495375.png


Source: TRT AFRIKA
 
Sonko.jpg

Ousmane Sonko amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Senegal, siku chache baada ya Rais kutengua uteuzi wake kama waziri mkuu. Leo wabunge walipiga kura kumrejesha bungeni, kisha kumchagua kuongoza mhimili huo baada ya aliyekuwa Spika kujiuzulu Mei 24, 2026

Pia soma
- Senegal: Mwisho wa "Ndoa" ya Kisiasa? Rais Diomaye Faye amtimua kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali
- Spika wa Bunge Senegal ajiuzulu, aeleza ni kwa Maslahi mapana ya Taifa

--
Senegal's former Prime Minister Ousmane Sonko, who was dramatically sacked on Friday by the president, has been elected Speaker of the national parliament setting up a possible source of conflict at the top of Senegalese politics.

The West African nation's current crisis follows months of tension between Sonko and his one-time ally President Bassirou Diomaye Faye.

Parliament's previous Speaker stepped down on Sunday to make way for the former prime minister, who is a popular figure and whose Pastef party has a majority of the seats in the National Assembly.

On Monday, Faye appointed economist Ahmadou Al Aminou Lo to replace Sonko as prime minister.
Relations between the president and his former prime minister had been deteriorating for months, with Sonko openly criticising Faye for his handling of Senegal's debt problems.

Sonko's position as Speaker - the second highest political position in the country - could limit President Faye's ability to manoeuvre if he fails to secure parliamentary support for his policies, analysts say.

The president cannot dissolve parliament until at least two years after the last election - that means any move to prematurely end the mandates of lawmakers before November this year would be considered invalid.

Source: Senegal's sacked PM Sonko elected parliamentary Speaker in challenge to President Faye
 
kama atasimamia nafasi yake vzr kama spika wa bunge anayejitambua huyo rais kazi anayo...ila kama atakuwa kinyago kama hiki cha Malawi....basi tena
 
Ousmane Sonko amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Senegal, siku chache baada ya Rais kutengua uteuzi wake kama waziri mkuu. Leo wabunge walipiga kura kumrejesha bungeni, kisha kumchagua kuongoza mhimili huo baada ya aliyekuwa Spika kujiuzulu Mei 24, 2026

Pia soma Senegal: Mwisho wa "Ndoa" ya Kisiasa? Rais Diomaye Faye amtimua kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali

--
Senegal's former Prime Minister Ousmane Sonko, who was dramatically sacked on Friday by the president, has been elected Speaker of the national parliament setting up a possible source of conflict at the top of Senegalese politics.

The West African nation's current crisis follows months of tension between Sonko and his one-time ally President Bassirou Diomaye Faye.

Parliament's previous Speaker stepped down on Sunday to make way for the former prime minister, who is a popular figure and whose Pastef party has a majority of the seats in the National Assembly.

On Monday, Faye appointed economist Ahmadou Al Aminou Lo to replace Sonko as prime minister.
Relations between the president and his former prime minister had been deteriorating for months, with Sonko openly criticising Faye for his handling of Senegal's debt problems.

Sonko's position as Speaker - the second highest political position in the country - could limit President Faye's ability to manoeuvre if he fails to secure parliamentary support for his policies, analysts say.

The president cannot dissolve parliament until at least two years after the last election - that means any move to prematurely end the mandates of lawmakers before November this year would be considered invalid.

Source: Senegal's sacked PM Sonko elected parliamentary Speaker in challenge to President Faye
nadhani walikubaliana iwe hivi,
kabla ya baraza la mawaziri kuvunjwa.

nahisi hawa wanasiasa wapo pamoja ila wanacheza michezo ya kisiasa kupumbaza wanasiasa uchwara :pulpTRAVOLTA:
 
Tunahitaji mabadiliko makubwa ya katiba na sheria zetu. Katiba tuliyonayo na sheria zinazotungwa madhumuni yake makubwa ni kukandamiza demokrasi.
 
huyo angekuwa tanzagiza wangemla nyama na tayari sasa hivi tunaongea mengine, na ndiyo maana naamini matatizo ya tanzagiza yanaletwa na muslims wa zanzibar, muslims wa bara siyo kiivyo na wengi (muslims wa bara) wao wako poa tu, ila hawa wazanzibar wanatuletea ushenzi na unyama waliozoea huko kwao,
angalia sasa mfano senegali ni muslims pia lkn siyo wanyama kama hawa wa zanzibar, kuna kuvumiliana, kuheshimu mawazo ya mtu, fikiria tanzagiza raisi huyu akufute kazi halafu uchaguliwe kuwa spika? .

zanzibar historia yao imejaa dhambi from get go, ni laana ...
 
huyo angekuwa tanzagiza wangemla nyama na tayari sasa hivi tunaongea mengine, na ndiyo maana naamini matatizo ya tanzagiza yanaletwa na muslims wa zanzibar, muslims wa bara siyo kiivyo na wengi (muslims wa bara) wao wako poa tu, ila hawa wazanzibar wanatuletea ushenzi na unyama waliozoea huko kwao,
angalia sasa mfano senegali ni muslims pia lkn siyo wanyama kama hawa wa zanzibar, kuna kuvumilana, kuheshimu mawazo ya mtu, fikiria tanzagiza raisi akufute kazi halafu uchaguliwe kuwa spika? .

zanzibar historia yao imejaa dhambi from get go, ni laana ...
Wewe mzee kafiri mlokole pori usiyekua na akili timamu,tafuta maisha,ulichezea ujana wako sasa hivi umebakisha chuki ya udini tu uzeeni mwako,

Ulivyokua unaambiwa kua, majuto uzeeni ulikua unafikiri wahenga walikua wanachekesha? Sijawahi kuona mchango wako wa maana hapa JF zaidi ya chuki ya udini.

min -me
 
Wewe mzee kafiri mlokole pori usiyekua na akili timamu,tafuta maisha,ulichezea ujana wako sasa hivi umebakisha chuki ya udini tu uzeeni mwako,

Ulivyokua unaambiwa kua, majuto uzeeni ulikua unafikiri wahenga walikua wanachekesha? Sijawahi kuona mchango wako wa maana hapa JF zaidi ya chuki ya udini.

min -me

senegali muslims ni >90% mbona hawafanyiani unyama na ushenzi na wana demokrasia, unalielezeae hilo? unaamini tanzagiza kwa mfano raisi wenu huyu amfukuze kazi waziri mkuu (ajiuzulu) halafu agombee uspika atasalimika huyo? jibu wewe mwenyewe unalijua hata kama utajifanya haulijui lkn deep inside ukweli unaujua unyama, ushenzi na umafia wanaofanyiwa watu hapa tanzagiza kwa kuwa tu na mawazo tofauti …
 
senegali muslims ni >90% mbona hawafanyiani unyama na ushenzi na wana demokrasia, unalielezeae hilo? unaamini tanzagiza kwa mfano raisi wenu huyu amfukuze kazi waziri mkuu (ajiuzulu) halafu agombee uspika atasalimika huyo? jibu wewe mwenyewe unalijua hata kama utajifanya haulijui lkn deep inside you ukweli unaujua unyama, ushezi na umafia wanaofanyiwa watu hapa tanzagiza kwa kuwa na mawazo tofauti tu ...
Mtu mpumbavu kama wewe wala hustahiki kujibiwa kitu chochote coz hata akili ya uelewa huna,nilisha kujibu sana tu kwenye nyuzi zingine,

Ulichezea maisha yako ujanani,sasa hivi umebakiza kusambaza chuki za udini tu mitandaoni,ukiamini kua hivyo ndio unajifariji ila ukweli ni kwamba,hivyo ni kuzidi kujitesa tu,

Unaweza kukuta mtu kama wewe eti una familia na wanakutegemea eti wewe ndio kiongozi wa familia!
 
Wewe mzee kafiri mlokole pori usiyekua na akili timamu,tafuta maisha,ulichezea ujana wako sasa hivi umebakisha chuki ya udini tu uzeeni mwako,

Ulivyokua unaambiwa kua, majuto uzeeni ulikua unafikiri wahenga walikua wanachekesha? Sijawahi kuona mchango wako wa maana hapa JF zaidi ya chuki ya udini.

min -me
Huyu mzee mambo anayoyafanya tuliyafanya tukiwa sekondari , halafu ni mweupe kichwani , kuna siku nilifanya nae majadiliano nilijilaumu kupoteza mda wangu kwa mpumbavu kama huyo.
 
Bunge la Senegal limemchagua Waziri Mkuu wa zamani, Ousmane Sonko, kuwa Spika mpya. Hatua hii inaweza kumpa jukwaa lenye nguvu kubwa la kutoa upinzani kwa Rais Bassirou Diomaye Faye.

Spika wa zamani wa bunge hilo, El Malick Ndiaye, alijiuzulu Mei 24, 2026 hatua ambayo wachambuzi wa mambo wanasema ililenga kumpisha Ousmane Sonko ili agombee nafasi hiyo ya mkuu wa bunge, ambako chama chake cha Pastef kina idadi kubwa ya wabunge.

Wabunge waliitwa kwenye kikao kamili cha bunge leo Mei 26, 2026, ambapo Sonko alirudishwa kwanza kuwa mbunge na kisha akachaguliwa kuwa Spika wa bunge hilo.

Hata hivyo, wabunge wa upinzani nchini Senegal walisusia kikao hicho cha bunge.

Mapema leo Mei 26, 2026 Rais Faye amemteua Ahmadou Al Aminou Lo, kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.

Soma pia



Source: TRT AFRIKA
Ni wazi hapo Faye anaenda kupigwa chini.
 
Back
Top Bottom