Hili la US VS. TZ - Huu ndiyo Ushauri wangu

Hili la US VS. TZ - Huu ndiyo Ushauri wangu

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,137
Reaction score
3,077
Nashauri katika Yale majimbo yenye ushawishi mkubwa wa Upinzani, basi wabunge wa majimbo hayo waachie ngazi kwa kujiuzulu nafasi zao za ubunge uchaguzi ufanyike na upinzani ushinde.

Mfano: Jimbo la Arusha Mjini, Mbunge wa Sasa ajiuzulu halafu Uchaguzi ufanyike upya, LEMA achukue Jimbo. Basi mambo yanakuwa yameisha
 
Nashauri katika Yale majimbo yenye ushawishi mkubwa wa Upinzani, basi wabunge wa majimbo hayo waachie ngazi kwa kujiuzulu nafasi zao za ubunge uchaguzi ufanyike na upinzani ushinde.

Mfano: Jimbo la Arusha Mjini, Mbunge wa Sasa ajiuzulu halafu Uchaguzi ufanyike upya, LEMA achukue Jimbo. Basi mambo yanakuwa yameisha
Nani amekuambia wapinzani wanachotaka ni viti vya ubunge? Wanachotaka ni viongozi wanaotokana na free and fair election. Kama ni kushindwa, washindwe kwa haki; na kama ni kushinda, washinde kwa haki.
 
Kupata viti vya ubunge, lesa au vyeo vingine vyovyote haviwezi kuwa malipo ya damu za ndugu zetu waliouawa kiharamia. Kikubwa kuliko vyote, wahusika wawajibishwe, walipie uovu wao.
 
LCD ya simu yangu imeharibika, kwahiyo sioni vizuri, hapa nipo Facebook au whatsapp!?
Nalog off Z
 
Back
Top Bottom