Mtego kwa Chadema

Mtego kwa Chadema

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,758
Reaction score
11,731
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Mnajidanganya Chadema ni LEVEL tofauti kabisa na mbogamboga
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Huyo heche mwenyewe ccm wanamwogopa kuliko kwa misimamo yake
 
Sio kwamba ndiyo wewe sasa umeanzisha tuhuma hizi...?

Kwani mnatumia kipengere gani cha katiba ya CHADEMA ktk kuhalalisha madai yao...?

Freeman Mbowe alikaa gerezani kwa "tuhuma za uongo za ugaidi" miezi karibu 9 lakini hamkuwahi kujaribu kuleta umbea wenu huu...

Mbinu ileile iliyomweka Freeman Mbowe miezi 9 gerezani kwa tuhuma za uongo za ugaidi wa kutengenezwa ofisini na CCM wakishirikiana DCI na DPP ndiyo mbinu hiyo hiyo imetumiwa sasa na hayawani hawahawa dhidi ya Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa sasa wa CHADEMA..

Tofauti ni muda tu waliokaa gerezani. Huyu kakaa mwaka sasa plus. Freeman Mbowe hakumaliza mwaka, akauza roho na utu wake kwa waliomtesa. Lissu, si wa kariba hiyo, kamwe hawezi ku - compromise na hayawani hawa waovu ktk uovu wao. This absolutely perfect good 👍 👍 for Tundu Lissu!!

Ndio tu kama mwaka 1 na miezi minne Yuko ofisini kama Mwenyekiti wa CHADEMA. Bado ana miaka karibu mitatu na nusu kidogo. Subirini hadi wakati huo, sanduku la kura lije liwape haki hiyo tena japo, kama Mungu Yehova akiendelea kumpa uhai na afya, hakuna mtu wa kumtoa Lissu kwenye Kiti hicho akigombea tena awamu ya pili..

Si Freeman Mbowe wala nani. Huyu Freeman Mbowe is gone. Aliamua mwenye kuuza utu na reputation yake kwa vipande vya fedha...

He's gone just like one of the Jesus Christ's disciples Judah who betrayed him for money that marked the end of his life physically & spiritually..

Huyo ndiye Freeman Mbowe...
 
Subirini hadi wakati huo, sanduku la kura lije liwape haki hiyo tena japo, kama Mungu Yehova akiendelea kumpa uhai na afya, hakuna mtu wa kumtoa Lissu kwenye Kiti hicho akigombea tena awamu ya pili..
Sio kwamba ndiyo wewe sasa umeanzisha tuhuma hizi...?

Kwani mnatumia kipengere gani cha katiba ya CHADEMA ktk kuhalalisha madai yao...?

Freeman Mbowe alikaa gerezani kwa "tuhuma za uongo za ugaidi" miezi karibu 9 lakini hamkuwahi kujaribu kuleta umbea wenu huu...

Mbinu ileile iliyomweka Freeman Mbowe miezi 9 gerezani kwa tuhuma za uongo za ugaidi wa kutengenezwa ofisini na CCM wakishirikiana DCI na DPP ndiyo mbinu hiyo hiyo imetumiwa sasa na hayawani hawahawa dhidi ya Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa sasa wa CHADEMA..

Tofauti ni muda tu waliokaa gerezani. Huyu kakaa mwaka sasa plus. Freeman Mbowe hakumaliza mwaka, akauza roho na utu wake kwa waliomtesa. Lissu, si wa kariba hiyo, kamwe hawezi ku - compromise na hayawani hawa waovu ktk uovu wao. This absolutely perfect good 👍 👍 for Tundu Lissu!!

Ndio tu kama mwaka 1 na miezi minne Yuko ofisini kama Mwenyekiti wa CHADEMA. Bado ana miaka karibu mitatu na nusu kidogo. Subirini hadi wakati huo, sanduku la kura lije liwape haki hiyo tena japo, kama Mungu Yehova akiendelea kumpa uhai na afya, hakuna mtu wa kumtoa Lissu kwenye Kiti hicho akigombea tena awamu ya pili..

Si Freeman Mbowe wala nani. Huyu Freeman Mbowe is gone. Aliamua mwenye kuuza utu na reputation yake kwa vipande vya fedha...

He's gone just like one of the Jesus Christ's disciples Judah who betrayed him for money that marked the end of his life physically & spiritually..

Huyo ndiye Freeman Mbowe...
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Poor analysis,
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Gentleman,
ndugu,
Joseph Selasini anakwenda kuziba pengo la mwenyekiti wa chadema taifa as soon as possible,

so,
kuweni wastahimilivu na wenye subra tafadhalini sana :pulpTRAVOLTA:
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Acha wailazimishe ile unyanyasaji wa haki uliopelekea mo 29 kwa kasi ili wazidi kuyapata manufaa waliyoyapata!
 
Gentleman,
ndugu,
Joseph Selasini anakwenda kuziba pengo la mwenyekiti wa chadema taifa as soon as possible,

so,
kuweni wastahimilivu na wenye subra tafadhalini sana :pulpTRAVOLTA:
joseph selasini awe mwenyekiti wa chadema kwa ridhaa ya nani? Bora ungesema heche ungeeleweka. Selasini hana msimamo wa kueleweka, haaminiki
 
joseph selasini awe mwenyekiti wa chadema kwa ridhaa ya nani? Bora ungesema heche ungeeleweka. Selasini hana msimamo wa kueleweka, haaminiki
kwa mujibu wa Katiba ya chadema gentleman 🐒
 
Kuna rumansi zinaanzishwa na vijana wa UVCCM kuwa, kutokana na mwenyeti wa Chadema Tundu Lissu kuwa getezani kwa tuhuma za uhaini, basi inamuondolea sifa ya kuwa Mwenyekiti.

Wapo wanaoanzisha kumsifia John Heche kuwa ni jembe kweli kweli na anacheleshwa na Lissu kuwa pale juu, ndugu zangu wanachadema huu ni mkakati wa kuwagawa.

Kinachotafutwa hapa ni kuwagawa na kupoteza imani dhidi ya raia, mmewashika pabaya, mtego wa October 29 wanatokaje?

Vichwa vinawawaka moto wamefanya kila namna ila wapi raia wamekaza, nina wasiwasi na hao waliorudi kundini, huenda kunamkakati maalumu dhidi yao. Msilale wenzenu wanahaha. Over
Huo siyo mtego ni ujinga wako
 
Back
Top Bottom