Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,905
- 92,331
Yeye kwake Kosa sio Jeshi la Polisi Kuchukua Rushwa .....ilo aaahhhhhh.
Kosa ni 'Clip za Rushwa kuwekewa mitandaoni'.
Yaan kwa Mfano, Umeoa, umefunga zako CCTV ndani, umesafiri, Mkeo kaleta Mchepuko ndani, unamfuma na kumwonyesha hizo Video.
MKE Anaanza kukulaumu akijitahidi kuonyesha kua Kosa ni Lako wewe, kwann uweke Kamera 🤣🤣
=======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 28, 2026 Jijini Dar es salaam amesema Askari Polisi wanapaswa kurekebisha mwenendo usiofaa unaochafua taswira ya Jeshi la Polisi mbele ya Wananchi.
Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Polisi zilizofanyika katika Chuo cha Polisi Kurasini, ambapo amesisitiza umuhimu wa nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kwa Askari wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku.
“Tumezoea huko nyuma kuona Askari wakisimamisha magari na wakifanya mambo ambayo hayakubaliki, sasa hizo ndio nyanja za medani muende mkarekebishe hayo, yale tunayoyaona viclip vinavyorushwa rushwa visirushwe askari wetu msimame kwenye mambo yenu” amesema Rais Samia.
Kosa ni 'Clip za Rushwa kuwekewa mitandaoni'.
Yaan kwa Mfano, Umeoa, umefunga zako CCTV ndani, umesafiri, Mkeo kaleta Mchepuko ndani, unamfuma na kumwonyesha hizo Video.
MKE Anaanza kukulaumu akijitahidi kuonyesha kua Kosa ni Lako wewe, kwann uweke Kamera 🤣🤣
=======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 28, 2026 Jijini Dar es salaam amesema Askari Polisi wanapaswa kurekebisha mwenendo usiofaa unaochafua taswira ya Jeshi la Polisi mbele ya Wananchi.
Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Polisi zilizofanyika katika Chuo cha Polisi Kurasini, ambapo amesisitiza umuhimu wa nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kwa Askari wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku.
“Tumezoea huko nyuma kuona Askari wakisimamisha magari na wakifanya mambo ambayo hayakubaliki, sasa hizo ndio nyanja za medani muende mkarekebishe hayo, yale tunayoyaona viclip vinavyorushwa rushwa visirushwe askari wetu msimame kwenye mambo yenu” amesema Rais Samia.