Zitto Kabwe: Sikuhama CHADEMA bali nilifukuzwa

Zitto Kabwe: Sikuhama CHADEMA bali nilifukuzwa

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,913
Reaction score
6,514
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.

Mimi sikuhama Chadema. Mimi nilifukuzwa Chadema lakini "siwezi kuendelea kuwa bungeni... nikaondoka bungeni kabla ya mwisho wangu wa utumishi ndani ya bunge"

"Niliamua kwenda kuanza upya kwa kushirikiana na wenzangu kuanzisha chama from the scratch"

Soma Pia: Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti


 
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.

Mimi sikuhama Chadema. Mimi nilifukuzwa Chadema lakini "siwezi kuendelea kuwa bungeni... nikaondoka bungeni kabla ya mwisho wangu wa utumishi ndani ya bunge"

"Niliamua kwenda kuanza upya kwa kushirikiana na wenzangu kuanzisha chama from the scratch"

Soma Pia: Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti


the gentleman is modern times politician :NoGodNo:
 
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.

Mimi sikuhama Chadema. Mimi nilifukuzwa Chadema lakini "siwezi kuendelea kuwa bungeni... nikaondoka bungeni kabla ya mwisho wangu wa utumishi ndani ya bunge"

"Niliamua kwenda kuanza upya kwa kushirikiana na wenzangu kuanzisha chama from the scratch"

Soma Pia: Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti


ACT nayo waliipora kutoka kwa waanzilishi.
ZZK ni mtu mnafiki sana!
 
KWamba alikuwa na uwezo wa kuchagua wizara yoyote atakayo
 
Ama kweli chadema ni chama kuubwa kwelikweli, leo zitto nje ya chadema kwisha habari yake!.
Waangalie wale wahuni wa chauma akina Mrema, Kigaila nk
FUNZO; Viongozi wakiaminiwa ndani ya chadema wanapaswa kutambua chama hicho ni jukwaa adhimu....nje ya chadema kamwe hawawezikuwa kama walivyokuwa ndani ya chama!.
 
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.

Mimi sikuhama Chadema. Mimi nilifukuzwa Chadema lakini "siwezi kuendelea kuwa bungeni... nikaondoka bungeni kabla ya mwisho wangu wa utumishi ndani ya bunge"

"Niliamua kwenda kuanza upya kwa kushirikiana na wenzangu kuanzisha chama from the scratch"

Soma Pia: Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti


Pandikizi la mfumo.. Hatunayasahau ya uchaguzi wa 2015
 
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.

Mimi sikuhama Chadema. Mimi nilifukuzwa Chadema lakini "siwezi kuendelea kuwa bungeni... nikaondoka bungeni kabla ya mwisho wangu wa utumishi ndani ya bunge"

"Niliamua kwenda kuanza upya kwa kushirikiana na wenzangu kuanzisha chama from the scratch"

Soma Pia: Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti


Rudi kama unataka badala ya kulialia tu.
 
Back
Top Bottom