Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi...
39 Reactions
148 Replies
15K Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi , Dkt. Asha-Rose Migiro akifanya mahojiano na Crown Media ameeleza kuwa matukio ya vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025, yalishtua CCM...
0 Reactions
10 Replies
326 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Hili ni swali la pendekezo uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani, usogezwe na kufanyika 2025...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Kombo amewaalika Seneta Ted Cruz kuja Tanzania, kwamba serikali itagharamia kila kitu ikiwamo tiketi ya ndege na hoteli, kwa waMarekani imeonekana kama rushwa. Huu hapa ni utambulisho mfupi tu...
21 Reactions
50 Replies
1K Views
Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema. Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu...
2 Reactions
2 Replies
190 Views
Ridiculous! Salim Kikeke ni mwanachama wa CCM kindakinda na Chawa mkubwa wa Samia. Leo anamhoji Chawa namba 2 wa Samia Rose Migiro. Kuna swali la maana litatoka hapo? Most likely wamekaa kwanza...
3 Reactions
8 Replies
204 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo. Hii ni Makala yangu ya kwanza kwa mwaka huu, 2026, hivyo naomba kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuturehemia kwa...
1 Reactions
26 Replies
801 Views
Wanabodi Nimeona hizi video clips mbili za Rais Samia akizungumzia bei ya mafuta. Rais Samia: Naanza kupunguza matumizi ya mafuta ofisini kwangu, Kuna watu wanadhani mtu akiwa rais wa...
10 Reactions
101 Replies
2K Views
Watawala wanatoa oda kuwa watanzania wauwawe na ambaye amekuwa akipewa order na kutekeleza yaan Mafwele anaweza kupotezwa kumaliza ushahidi Kitengo hasi kimeweza sana kucheza na wananchi...
18 Reactions
22 Replies
772 Views
Ukweli ni kwamba Polepole ameanza kunikumbusha enzi za Nyerere katika misimamo yake na kuonyesha anasimamia sheria na taratbu na miiko na maadili (integrity) katika uongozi. Sasa anazidi...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kufanya tathmini ya kina ili kubaini na kurekebisha sababu zinazofanya wananchi kukosa imani na...
5 Reactions
30 Replies
536 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Asha-Rose Migiro, amefafanua kiundani sababu zilizoifanya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho kuvipongeza vyombo vya ulinzi na...
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia Kauli hiyo...
7 Reactions
12 Replies
285 Views
Watu wengi bado wanaamini kwamba matamko ya mataifa makubwa kuhusu demokrasia, haki za binadamu yanaweza kuleta mabadiliko makubwa moja kwa moja ndani ya Tanzania. Lakini ukiangalia uhalisia wa...
3 Reactions
8 Replies
243 Views
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa...
4 Reactions
28 Replies
677 Views
Anonymous (f18b)
Ofisi ya Rais – TAMISEMI imemhamisha aliyekua Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mpimbwe kwenda halmashauri ya Mji Nanyamba huku akiwa na tuhuma za wizi wa fedha za serikali. TAKUKURU wilaya walikuwa...
1 Reactions
5 Replies
296 Views
Wanabodi Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo Kufuatia ujio wa mitandao ya kijamii watu hawana muda kusoma makala ndefu, Nawawekea a short version ya salient features za...
1 Reactions
54 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi? Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
6 Reactions
29 Replies
531 Views
Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara. Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne. Tulitafuta Rais tukampata Samia.. Anatumia Mali za...
5 Reactions
18 Replies
298 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…