Samia Suluhu , alitudanganya kapunguza Misafara

Samia Suluhu , alitudanganya kapunguza Misafara

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,614
Reaction score
62,405
Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara.

Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne.

Tulitafuta Rais tukampata Samia..

Anatumia Mali za Tanganyika.. Anajua hana cha kupoteza.. Kuna wajomba zake Oman


Note: Hii ni Propaanda
 
Ali
Samia Suluhu mnafiki, alitudanganya kapunguza Misafara.

Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne.

Tulitafuta Rais tukampata Samia..

Anatumia Mali za Tanganyika.. Anajua hana cha kupoteza.. Kuna wajomba zake Oman
View attachment 3596688
Kimsimgi rais hajipangii kila kitu, yapo mambo mengi sana anapangiwa.
 
Gari za CCM zinafanya nini kwenye msafara.

Hii ni clip wakati wa kampeni.
 
Kuna viongozi protocol haziruhusu Kuwaweka CDF, IGP, CGP, VP, Speaker, CJ, CS , DGTISS kwenye basi moja its not practicable pia kuna RC RAS , DED na DC’s DAS wa Mkoa husika ndiyo maana msululu ni mrefu.
 
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisa.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara.

Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne.

Tulitafuta Rais tukampata Samia..

Anatumia Mali za Tanganyika.. Anajua hana cha kupoteza.. Kuna wajomba zake Oman
View attachment 3596688
View attachment 3596691
Note: Hii ni Propaanda
Screenshot_20260514-220817~2.png
 
Back
Top Bottom