Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

DogoWaNjombe

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,279
Reaction score
7,699
Screenshot 2026-05-28 132107.jpg
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali za chama hicho kati ya Tanzania Bara na Zanzibar

Katika uamuzi wake uliotolewa muda mfupi uliopita Mahakamani hapo kupitia kwa Jaji D. Ngunyale imeeleza kuwa wadai (waliofungua kesi) hawakuonesha -kifungu chochote kwenye hati y madai kinachoonesha kwamba uvunjifu huo (unaolalamikiwa na wadai) ulianza lini, jambo lililopelekea Mahakama kushindwa kujiridhisha kama ina mamlaka au la ya kuendelea kusikiliza kesi hiyo

Jaji Ngunyale amesema hati ya madai ilikuwa ina mapungufu makubwa, hivyo pingamizi lililowekwa na CHADEMA lina msingi.

NB: Royal TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na maamuzi hayo ya Mahakama

Pia soma>>John Heche: Kesi ya Mgawanyo wa mali za Chama iliratibiwa na Sisty Nyahoza na Salehe Bohora aliyetumwa na Rais Samia
 
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali za chama hicho kati ya Tanzania Bara na Zanzibar

Katika uamuzi wake uliotolewa muda mfupi uliopita Mahakamani hapo kupitia kwa Jaji D. Ngunyale imeeleza kuwa wadai (waliofungua kesi) hawakuonesha -kifungu chochote kwenye hati y madai kinachoonesha kwamba uvunjifu huo (unaolalamikiwa na wadai) ulianza lini, jambo lililopelekea Mahakama kushindwa kujiridhisha kama ina mamlaka au la ya kuendelea kusikiliza kesi hiyo

Jaji Ngunyale amesema hati ya madai ilikuwa ina mapungufu makubwa, hivyo pingamizi lililowekwa na CHADEMA lina msingi.

NB: Royal TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na maamuzi hayo ya Mahakam
kwahiyo ngoma bado mbichi,
walalamikaji wanaenda kurekebisha dosari hizo na kuirejesha kesi mahakamani right? :pedroP:

ni kama mtanange wa kuongoza Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na Yanga,
Leo yanga anongoza ligi, kesho mambo yanabadilika Simba anongoza ligi:pedroP:
 
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali za chama hicho kati ya Tanzania Bara na Zanzibar

Katika uamuzi wake uliotolewa muda mfupi uliopita Mahakamani hapo kupitia kwa Jaji D. Ngunyale imeeleza kuwa wadai (waliofungua kesi) hawakuonesha -kifungu chochote kwenye hati y madai kinachoonesha kwamba uvunjifu huo (unaolalamikiwa na wadai) ulianza lini, jambo lililopelekea Mahakama kushindwa kujiridhisha kama ina mamlaka au la ya kuendelea kusikiliza kesi hiyo

Jaji Ngunyale amesema hati ya madai ilikuwa ina mapungufu makubwa, hivyo pingamizi lililowekwa na CHADEMA lina msingi.

NB: Royal TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na maamuzi hayo ya Mahakam
Lissu naye sasa ni wakati wa kuachiwa na kulipwa fidia angalau bilioni 35.
 
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali za chama hicho kati ya Tanzania Bara na Zanzibar

Katika uamuzi wake uliotolewa muda mfupi uliopita Mahakamani hapo kupitia kwa Jaji D. Ngunyale imeeleza kuwa wadai (waliofungua kesi) hawakuonesha -kifungu chochote kwenye hati y madai kinachoonesha kwamba uvunjifu huo (unaolalamikiwa na wadai) ulianza lini, jambo lililopelekea Mahakama kushindwa kujiridhisha kama ina mamlaka au la ya kuendelea kusikiliza kesi hiyo

Jaji Ngunyale amesema hati ya madai ilikuwa ina mapungufu makubwa, hivyo pingamizi lililowekwa na CHADEMA lina msingi.

NB: Royal TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na maamuzi hayo ya Mahakam
Upuuzi mtupu, lengo ilikuwa ni kuwazuia cdm wasishiriki uchaguzi mkuu uliopita na wala sio huo upuuzi wanaosema hapo. Mahakama inatumika kipuuzi sana.
 
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali za chama hicho kati ya Tanzania Bara na Zanzibar

Katika uamuzi wake uliotolewa muda mfupi uliopita Mahakamani hapo kupitia kwa Jaji D. Ngunyale imeeleza kuwa wadai (waliofungua kesi) hawakuonesha -kifungu chochote kwenye hati y madai kinachoonesha kwamba uvunjifu huo (unaolalamikiwa na wadai) ulianza lini, jambo lililopelekea Mahakama kushindwa kujiridhisha kama ina mamlaka au la ya kuendelea kusikiliza kesi hiyo

Jaji Ngunyale amesema hati ya madai ilikuwa ina mapungufu makubwa, hivyo pingamizi lililowekwa na CHADEMA lina msingi

Maoni yangu:
Asanteni sana US.
 
Katiba mpya ni muhimu sana ili tuwe na mahakama iliyo huru. Hata majaji na mahakimu sidhani kama wanafurahia taasisi yao ya mahakama kufanya kazi kama idara ya CCM. Kuna majaji na mahakimu, ambao wangependa kutenda haki wakati wote, lakini wanalazimishwa na watawala kutotenda haki, kutokana na katiba na mifumo ya hovyo.
 
kwahiyo ngoma bado mbichi,
walalamikaji wanaenda kurekebisha dosari hizo na kuirejesha kesi mahakamani right? :pedroP:

ni kama mtanange wa kuongoza Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na Yanga,
Leo yanga anongoza ligi, kesho mambo yanabadilika Simba anongoza ligi:pedroP:
Unacheza na mswada wa Cruz nani hataki kwenda ulaya.
 
Bado kesi ya mchongo ya uhaini inayomhusu Rais wetu mtarajiwa wa Tanganyika huru Mh. Tundu Lissu! Huyu Mwamba amewagaragaza mahakamani mawakili wote wa serikali na Mwanasheria wao mkuu!

Cha kushangaza hadi sasa bado yuko mahabusu! Huu uonevu haukubaliki. Mwachieni shujaa Lissu ili awanyooshe vizuri huku mtaani kupitia mikutano ya hadhara.
 
Back
Top Bottom