Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwenyekiti wa CCM huko Kilimanjaro (Chugga) amemrubuni mke wa mtu na kumuoa (bibi harusi). Kufuatia kadhia hiyo, wananchi wa eneo hilo wamecharuka vibaya sana...
Rais mwinyi umelelewa Tanganyika maisha yako yote, sasa kuna huyu mwenzako yeye ameshabariki ubaguzi unaoendelea huko Zanzibar.
Sasa msijekusema Watanganyika wakorofi.
Kwa kuwa umeshindwa...
Imekuwa ni jadi na utamaduni kufurahia sikukuu hii na kuwaenzi waasisi wa Muungano wetu Mwalimu Nyerere na Mzee Abeid Karume kwa matamasha, gwaride na shangwe kebekebe.
Lakini imekuwa ni dhambi...
Mbunge wa Jimbo la Katavi, Thomas Maganga, ametoa wito mzito bungeni akitaka hatua za dharura zichukuliwe kuokoa watoto na kizazi kijacho dhidi ya wimbi la mmomonyoko wa maadili na vitendo vya...
Hizi tuhuma zilivuma na kuwachafua sana hawa jamaa wawili wakati wa u-Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete (2005 - 2015). Cha ajabu ni kuwa, huwa wamo tu serikalini. Ama kweli wachawi na waganga wao wana...
Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga, amesema CHADEMA ya Freeman Mbowe ilikuwa bora zaidi kuliko ilivyo sasa, akimtaja Mbowe kuwa kiongozi mwenye uwezo wa kupunguza...
Serikali ya Tanzania imetolea ufafanuzi mjadala na upigaji kura uliofanyika katika Bunge la Ulaya mnamo Juni 18, 2026, kuhusu Programu ya Ubia ya mwaka 2026 yenye thamani ya Euro milioni 156...
Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo...
Mzee Nyerere na wenzake walimaliza zamu yao ya ukombozi wa Afrika.
Sisi tumebaki na zamu ya kupambana na maisha yetu, kulipa bili na kutafuta hela za kula bata kidogo.
Kujifanya mkombozi wa awamu...
Ndugu zangu Watanzania,
Nashindwa Niandike nini hapa ,Nashindwa nimuelezee Vipi Rais Samia , Nashindwa Nizungumze Nini Nanyi Maana Rais Samia Anaendelea kuonyesha kuwa ni chaguo la Mungu ...
Mjadala unaendelea!
Hakuna kiongozi asiyetaka kuacha Legacy na jina lake kukumbukwa katika Historia.
Nchi ya Tanganyika mpaka muda huu imeongozwa na Rais Mmoja tuu ambaye ni Hayati JK Nyerere...
Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu...
Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Bele Ponera, amekosoa vikali hali ya maendeleo katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, akidai kuwa linakabiliwa na umaskini uliokithiri na ukosefu wa...
Tabia ya baadhi ya nchi za Afrika kubadili katiba ili kuongeza muda wa marais wanaokaribia kumaliza mihula yao imeendelea kujitokeza mara kwa mara. Je, hii ni ishara ya ukomavu wa kisiasa na...
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 19 Juni, 2026 kwa ziara ya kitaifa.
Ziara hiyo, ambayo ni ya pili kuifanya nchini Tanzania...
MKATABA WASAINIWA UJENZI CHANZO KIPYA CHA MAJI MWANZA
Katika kuhakikisha huduma ya maji inaendelea kuimarika katika Jiji la Mwanza na maeneo ya jirani Umoja wa Ulaya na Shirika la Maendeleo la...
Iwe ni Wauza Samaki au wamiliki wa maduka.
Kwa sababu wameanzisha ubaguzi wao wenyewe.
Kuanzia kesho kuwa na vuguvugu kubwa la kuwatimua na kugomea shughuli zote za WazanIbari. Na watimuliwe...
Kitu ambacho unapaswa kujua ni kwamba, Ndani ya Chadema haifahamiki yupi ni striker yupi ni beki
Hotuba aliyoitoa Maranja Masese huko Mlimba imetikisa kiasi cha wananchi kuuliza ikiwa Maranja ni...
Mbunge wa Kilombero, Asenga Abubakar, ameitaka serikali kuingilia kati na kukomesha tabia ya baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali mikoani kuendekeza siasa za chuki na visasi baada ya...
Hii Serikali ambayo ilishinda kwa kishindo 98% inaogopa maandamano ya watu ambao ni wachache sana ?
Inaanza kunipa mashaka na ushindi wao 98% ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.