Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimekutana na hii video Vijana wa Kitanganyika walitakiwa kuonyesha vitambulisho vya Uzanzibari kama hawana wanapoteza kazi.
21 Reactions
79 Replies
2K Views
Bunge la seneti la Marekani kesho linatarajia kukaa na kuujadili mswada kuhusu mahusiano yetu na Marekani. Makamu wa Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania wapo huko kujaribu kubadilisha...
62 Reactions
129 Replies
3K Views
KILIBA , TAHLISO, MAMA ASEMEWE Iacheni DIT Kama TAASISI YA ELIMU YA JUU YA TEKNOLOJIA haiwezi Kuwa TAASISI YA KICHAWA Majuma ya hivi karibuni yamekuwa na kipindi Cha ajabu Kwa sura ya Siasa ya...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Kwanza kabisa ni muungano ambao wananchi hawakushirikishwa kuhusu muungano wenyewe. Baraza la wawakikishi halikurudhia kuwepo kwa muungano huu. Ratification haikufanyika kabisa. Wazanzibari...
23 Reactions
70 Replies
1K Views
Tanzania bila vyama vya upinzani ni empty kabisa
0 Reactions
2 Replies
59 Views
Ukifika miaka 40 hakikisha una eneo la wazi la ekari zisizopungua 5.
10 Reactions
37 Replies
616 Views
Chadema ilishauri mapema kuwe na Maridhiano kabla ya uchaguzi CCM ikakataa, leo CCM wanataka kuridhiana nini na nani. Viongozi wao wanazunguka mitaani wakiomba waridhiane wanaokota vijihabari na...
10 Reactions
31 Replies
566 Views
Duniani Tundu Lissu ni mmoja tu na yuko mahabusu siyo kwamba anakosa bali maCCM hawa uwezo wa kupambana naye. Mtu aliyekaribiana na huyu huko CCM alikuwa Magufuli bahati mbaya kwa sasa hawana
0 Reactions
0 Replies
68 Views
TAARIFA KWA UMMA.‼️ 19 Juni 2026, Mahakama ya Mwanzo Kizumbi, imewahukumu wanachama (4) wa CHADEMA Kata ya Lyabukaende kifungo cha miezi minne gerezani au faini ya Tsh 300,000 kila mmoja...
2 Reactions
7 Replies
261 Views
Kwa hili nawapongeza viongozi wa Chadema wametumia akili kubwa Maana yake kama Mnyika atakuwa kwenye maandamano hatachululiwa kama chadema Bali kama raia na mwananchi wa kawaida Kwa hiyo...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, wameshuhudia utiaji saini wa mikataba minne ya...
0 Reactions
1 Replies
88 Views
Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia Facebook anasema Nitangulie kutangaza msimamo wangu. a) Siungi mkono maandamano ya 7/7 na siamini kama yatafanyika. b) Hata yakifanyika, siungi mkono...
15 Reactions
19 Replies
526 Views
Kwa mambo yanavyoendelea sasa Tanzania, ni wazi hakuna mtu wa kuutetea tena Muungano. Muungano ulikufa na ukazikwa kaburi moja na Nyerere. Ni wazi sasa Zanzibar wanaitumia nafasi ya Samia kuwa...
9 Reactions
42 Replies
853 Views
  • Redirect
Nimezipokea taarifa hizi za Kifo cha RPC wa Tabora Richard Abwao kwa masikitiko makubwa mno kwani licha ya kuwa alikuwa ni Ndata (Polisi) ila alikuwa ni Mtu muungwana mno. Tangulia Kaka Richard...
0 Reactions
Replies
Views
Kuna mabilioni ya fedha yanapelekwa Zanzibar. Kuna harakati zilizoratibiwa zinazofanywa na wanaojiita Wazanzibari za kutaka kuvunja Muungano wa Tanzania. Moja ya mbinu wanazotumia watu hawa ni...
13 Reactions
89 Replies
1K Views
Nchi ambayo inajadiliwa kwa UBAYA Dunia nzima unaenda kufanya nini? Kwanini unajiharibia kirahisi namna hii? Hakuna utakacho pata kila mahali pameuzwa. Soma pia Rais wa Namibia kufanya ziara...
14 Reactions
43 Replies
840 Views
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Richard Abwao, amesema kuwa wananchi wa mkoa huo ndio walinzi wa kwanza wa amani na amewapongeza kwa ushirikiano mzuri na jeshi la polisi, hasa katika kipindi...
2 Reactions
5 Replies
412 Views
Mpo salama Wakuu! Leo acheni tuu! Msinione nimekuja nimenyong'onyea. Mambo niliyokutana nayo yanaumiza Sana. Mara ya mwisho kulia machozi ni kwenye Msiba wa Bibi Yangu Kipenzi. Mwaka Juzi yaani...
12 Reactions
204 Replies
4K Views
Najua kwenye kudai haki kuna changamoto mbali mbali tunakutana nazo lakini bila Kuchoka lazima kama haki ya Polepole kupatikana haki za watu wote waliopotea na waliotekwa na wengine kama waliokufa...
0 Reactions
1 Replies
54 Views
Mchungaji Richard Hananja amesema changamoto zinazojitokeza katika jamii zinapaswa kutatuliwa kwa mazungumzo na maridhiano badala ya migogoro. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo...
1 Reactions
8 Replies
193 Views
Back
Top Bottom