Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo? Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili. Mambo haya...
33 Reactions
63 Replies
8K Views
Mbunge wa Arusha mjini ameseme Wabunge ni sharti wajikombe na kujipendekeza kwa Wananchi waliowachagua ila Wateuliwa ndio watajipendeza na kumuimbia mapambio aliyewateua Hiyo ndio dhana ya...
14 Reactions
50 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Wakati wenzetu Wakenya kwa sasa wanakabiliwa na Tatizo la Bei kubwa ya Nishati ya mafuta kuwahi kutokea na kushuhudiwa katika Taifa lao, wakati kukiwa na Tishio la...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili . Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa...
14 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwa kawaida, kifungo cha nje sio kwenda kulala nyumbani kwenu, bali ni wajibu wa maafisa Ustawi wa Jamii kukupangia siku kadhaa za wiki kufanya huduma za kijamii kama usafi na kadhalika kwenye...
9 Reactions
99 Replies
9K Views
Ukisikia kishindo Cha mama ndio Hilo Sasa,kazi kubwa kelele hakuna. Mtamkubali hata Kwa Shingo upande maana hakuna namna,she is doing wonders ambazo hakuna Rais amewahi kufanya hivyo hapo kabla...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mnamo tarehe 14.09.2023 majira ya saa 1:30 asubuhi huko katika nyumba za Walimu wa Shule ya Sekondari Mtanila iliyopo Kijiji cha Igangwe Wilaya ya Chunya, Mkuu wa Shule hiyo aliyefahamika kwa jina...
7 Reactions
70 Replies
10K Views
Dar es Salaam. Mbunge wa Nanyumbu (CCM), Yahya Mhata amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme katika wilaya ya Nanyumbu pamoja na gharama kubwa ya kuunganisha...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Sehemu mbalimbali nimeshuhudia Watu wakimsifu Naibu Waziri mkuu Dkt. Biteko kwamba ni kiongozi aliyeandaliwa vizuri Wengi wameonesha matumaini makubwa kwa mteule huyu na hata kumtabiria kwamba...
3 Reactions
101 Replies
8K Views
Mwenyekiti wa TCD Prof Lipumba amesema kutokana na muda kuwa mchache Kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu Wamekubaliana na Serikali waweke Mazingira ya kuwa na Tume Huru ya...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Unajua Kwanini tumejitokeza kwa wingi kumpokea Rais Samia. Na mimi nimefika hapa na Mwanangu? Kazi ya Rais Samia na historia yake imenipa msukumo huu kuja hapa leo kaka angu (kwa lafudhi ya watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanafunzi Kijiji cha Kirumi Kata ya Bukabwa katika Wilaya ya Butiama Mkoani Mara wamepunguziwa mwendo baada ukamilishaji wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kirumi iliyoanza kujengwa tangu mwaka...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanakusudia kuanzisha umoja utakao unganisha vyama vya siasa vya upinzani na jumuiya mbali mbali za kidini kudai katiba mpya sasa. ACT wametengwa kwa...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Serikali imesema itaanza awamu ya pili ya ujenzi wa Vituo vya Afya 214 kwenye Kata zote za Kimkakati Nchini. Kwa miaka 4 ya mama atakuwa kajenga jumla ya Vituo vya Afya 450 plus vifaa tiba na...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Mahindira Tech walikula Bil 71 za bure kwa madai eti ufanisi wa Tanesco utaongezwa . Leo hii January yupo tu kama mteule wa rais. Hatuoni ufanisi wa Tanesco zaidi ya Mgao wa umeme kuzidi...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna hatua zozote anafanya huyu waziri kukabiliana na tatizo la mgao au anapanga tu ratiba ya mgao na kusubiria maji? Maana hii ni dharura. Umeme siku moja upo ya pili haupo. Kazi ya siku 10...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika Taifa kuna sera au ksulimbiu au harakati zinazowaunganisha wananchi na kuwa Tsifa moja. Michezo nchini imekuwa mbadala wa siasa kwa sasa hivi. Katika miaka ya karibuni, mpira(football) ni...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Marehemu mwendazake aliwai kuwa mwanafunzi wa sekondari ya Mkwawa akafanya kioja akafukuzwa shule baadae Ccm ikampitisha kugombea urais na akawa rais wa miaka 6 Mkuu wa mkoa wa Dsm amesikika...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
==== Tangu tupate Uhuru, Tanzania haijawahi kupata :- 1. Rais Mnyenyekevu kama huyu, 2. Rais Mpole kama huyu, 3. Rais Msikivu kama huyu, 3. Rais Mtulivu kama huyu 4. Rais Mwenye hofu...
45 Reactions
313 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…