sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Marehemu mwendazake aliwai kuwa mwanafunzi wa sekondari ya Mkwawa akafanya kioja akafukuzwa shule baadae Ccm ikampitisha kugombea urais na akawa rais wa miaka 6
Mkuu wa mkoa wa Dsm amesikika akijitapa Live yakuwa aliwai soma mkwawa Sekondar akafanya kioja akafukuzwa shule sasahivi ni Mkuu wa mkoa wa Dsm.
Ukipita kwenye mitandao kuna taarifa zinazunguka yakuwa aliyekuwa IGP enzi za mwendazake baadae akatumbuliwa na kupangiwa ubalozi alikjwa miongoni mwa wala rushwa ya Millioni 21 kila mwezi sasahivi ni Balozi alikuwa akipokea rushwa hiyo kutoka Mgodi fulani wa kuchimba dhahabu.
Je nani ufanya vetting?
Mkuu wa mkoa wa Dsm amesikika akijitapa Live yakuwa aliwai soma mkwawa Sekondar akafanya kioja akafukuzwa shule sasahivi ni Mkuu wa mkoa wa Dsm.
Ukipita kwenye mitandao kuna taarifa zinazunguka yakuwa aliyekuwa IGP enzi za mwendazake baadae akatumbuliwa na kupangiwa ubalozi alikjwa miongoni mwa wala rushwa ya Millioni 21 kila mwezi sasahivi ni Balozi alikuwa akipokea rushwa hiyo kutoka Mgodi fulani wa kuchimba dhahabu.
Je nani ufanya vetting?