Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,139
- 18,418
Wafu wengi wanashindwa kumwelewa Dkt. Biteko, lakini wale ambao wanajua maana ya uongozi wanatambua kipaji alicho nacho kijana huyu.
Tanesco imepata kiongozi na tanesco chini ya biteko inakuja kuwa shirika ambao litashindana na private companies katika kupata faida na kutoa huduma bora kwa wateha wake.
Sasa hivi ukipiga simu tanesco, unapokelewa na watatatua matatizo.
Anafanya kazi kama CEO wa kampuni private, najua wengi watamchukia lakini mwisho utakua mzuri sana..
Ushauri, tanesco mwisho wa mwaka wapewe bonus zinazo tokana na utekelezaji wa KPI walizo pewa.
Wanafanya kazi kubwa sana.
Tanesco imepata kiongozi na tanesco chini ya biteko inakuja kuwa shirika ambao litashindana na private companies katika kupata faida na kutoa huduma bora kwa wateha wake.
Sasa hivi ukipiga simu tanesco, unapokelewa na watatatua matatizo.
Anafanya kazi kama CEO wa kampuni private, najua wengi watamchukia lakini mwisho utakua mzuri sana..
Ushauri, tanesco mwisho wa mwaka wapewe bonus zinazo tokana na utekelezaji wa KPI walizo pewa.
Wanafanya kazi kubwa sana.