“Tume, Tume, Tume: Dalili za a dysfunctional Government!

“Tume, Tume, Tume: Dalili za a dysfunctional Government!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,169
Reaction score
29,876
Sasa hivi mambo muhimu au matukiomuhimu yanaundiwa Tume.

Tume hizi tumeona hazina connection na wananchi wala haziwajibiki kwa wananchi.
Zinawajibika kwa walioziteua.
TUME ni mpango maalum wa kufunika kombe wanaharamu wapite.

Serikali ambayo ina Katiba, ina wateule wa kusimamia Katiba, na watu wamekalia viti kutazama wapi Katiba inafanya kazi yake usiku na mchana , TUME ya NINI?

Hapo ndio ntunaona mambo yanafukizwa , yana fichwa na TUME hizi wala wananchi hawapati kile kilichomo na mwisho wananchi wanaona mambo ni yale yale, hakuna jipya.

Kwa Sheria, Taratibu na miundo ya Utawala zilizomo katika Katiba yetu, kuna watu wateule wameshindwa, wameogopa, au hata wanatishwa na kutokufanya kazi zao.
TUME ndio muarobaini, hakuna wa kulaumiwa!!!

TUME zilizokithiri ni dalili ya serikali kushindwa majukumu yake ya wazi.

MEANWHILE
Kero za wananchi, malalamiko, yako pale pale!!
 
Screenshot_20260415-144632~2.png
 
Sasa hivi mambo muhimu au matukiomuhimu yanaundiwa Tume.

Tume hizi tumeona hazina connection na wananchi wala haziwajibiki kwa wananchi.
Zinawajibika kwa walioziteua.
TUME ni mpango maalum wa kufunika kombe wanaharamu wapite.

Serikali ambayo ina Katiba, ina wateule wa kusimamia Katiba, na watu wamekalia viti kutazama wapi Katiba inafanya kazi yake usiku na mchana , TUME ya NINI?

Hapo ndio ntunaona mambo yanafukizwa , yana fichwa na TUME hizi wala wananchi hawapati kile kilichomo na mwisho wananchi wanaona mambo ni yale yale, hakuna jipya.

Kwa Sheria, Taratibu na miundo ya Utawala zilizomo katika Katiba yetu, kuna watu wateule wameshindwa, wameogopa, au hata wanatishwa na kutokufanya kazi zao.
TUME ndio muarobaini, hakuna wa kulaumiwa!!!

TUME zilizokithiri ni dalili ya serikali kushindwa majukumu yake ya wazi.

MEANWHILE
Kero za wananchi, malalamiko, yako pale pale!!
Watu serikalini hawafanyi kazi.
Kila siku wako kwenye warsha, kongamano, seminar elekezi na mambo ya kuwatoa Ofisini.
Ma V8 yanatusumbua barabarani na ving'ora lakini hakuna outcome kiutendaji.

Katibu Mkuu Kiongozi naye hana analolifanya kuisimamia serikali kiutendaji.
Namba wani mwenyewe hakai ofisini, sijawahi kuona picha yake akiwa anasoma hata dondoo za kiserikali ofisini.
Kila siku ni kiguu na njia.

Kiuhalisia Serikali ni ya matukio: Uvivu umeingia serikalini.
 
Una polisi, ofisi ya mashitaka, mwanasheria mkuu, usalama wa taifa, mahakama, halafu unaunda tume!!????

Kuundwa kwa tume ya kuchunguza jinai maana yake vyombo vya kushughulikia jinai vyote vimekufa..

Inawezekanaje ukawa Rais kwenye nchi ambayo vyombo halali vya kikatiba vimekufa!!??
 
Una polisi, ofisi ya mashitaka, mwanasheria mkuu, usalama wa taifa, mahakama, halafu unaunda tume!!????

Kuundwa kwa tume ya kuchunguza jinai maana yake vyombo vya kushughulikia jinai vyote vimekufa..

Inawezekanaje ukawa Rais kwenye nchi ambayo vyombo halali vya kikatiba vimekufa!!??
Majuzi NIMESHANGAA Mkuu wa Mkoa ANASHANGAA, kibali cha ujenzi ghorofa sita , kimejenga ghorofa kumi na tatu.
Huo ndio weledi wa serikali yetu.
Serikali imelalala, machawa https://www.jamiiforums.com/members/lucas-mwashambwa.674699/, https://www.jamiiforums.com/members/tlaatlaah.710403/,https://www.jamiiforums.com/members/choicevariable.434928/
 
Watu serikalini hawafanyi kazi.
Kila siku wako kwenye warsha, kongamano, seminar elekezi na mambo ya kuwatoa Ofisini.
Ma V8 yanatusumbua barabarani na ving'ora lakini hakuna outcome kiutendaji.

Katibu Mkuu Kiongozi naye hana analolifanya kuisimamia serikali kiutendaji.
Namba wani mwenyewe hakai ofisini, sijawahi kuona picha yake akiwa anasoma hata dondoo za kiserikali ofisini.
Kila siku ni kiguu na njia.

Kiuhalisia Serikali ni ya matukio: Uvivu umeingia serikalini.
TUME....TUME....TUME...tume...tume....!
Hii namna iko, endesa sirkali!
 
Back
Top Bottom