Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni ombwe la uongozi na ukata wa pesa tu au kuna jingine? Kwa mfano, Uropokaji umekidumaza mno kisiasa chama hicho cha siasa nchini, Lakini pia kufanya siasa za kutegemea zaidi artificial...
1 Reactions
34 Replies
313 Views
Hivi haya mambo makubwa anayoyafanya Rais Dkt Samia hawa wanaharakati hawayaoni? Si walikuwa wanapiga kelele enzi za Hayati Magufuli wakisema nchi imefungwa na fursa za kimataifa zimezuiwa? Sasa...
2 Reactions
11 Replies
127 Views
Ndugu zangu wapinzani na hata wana harakati, siyo dhambi mkiyaenzi japo mazuri ya viongozi waliotangulia mbele za haki. Mfano hayati Rais Magufuli, siyo dhambi akienziwa kwa kupambana kwake...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
  • Redirect
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, ambaye alifukuzwa uanachama wa chama hicho mwaka 2020 pamoja na wabunge wengine 18 wa Viti Maalum, amerejea rasmi ndani ya chama...
5 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
GTs, Baada ya safari ya Urusi, hakika niliyoyashuhudia huko, basi Dkt Samia aendelee kubakia kwenye kiti cha Urais mpaka 2040. Cha muhimu tuanze mchakato wa kubadili katiba ya chama na ya nchi...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi. Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa...
7 Reactions
34 Replies
604 Views
Anonymous
Kumekuwa na malalamiko yanayoashiria uwezekano wa matumizi mabaya ya fedha, ambapo baadhi ya viongozi wanadaiwa kunufaika zaidi na mapato ya hospitali huku watumishi wanaochangia kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema kuwa kukosoa ni haki ya msingi katika jamii ya kidemokrasia, lakini ukosoaji huo unapaswa...
3 Reactions
9 Replies
315 Views
Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, alipokuwa akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Juni 8, 2026...
4 Reactions
18 Replies
448 Views
Hivi karibuni niliandika kwamba ile bidii ya Raisi Samia kuchukua mikopo ya nje kila siku ilikuwa ni mkakati maalumu uliowekwa ili fedha nyingi ziende Zanzibar kama mgawo wao wa hiyo mikopo. Fedha...
9 Reactions
52 Replies
702 Views
Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, akizungumza leo Juni 9, 2026, katika Ikulu ya Dar es Salaam mara baada mazungumzo na Rais Samiaamesema wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa...
0 Reactions
3 Replies
102 Views
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa majina yao kwenye mali na miradi ya nchi, hili jambo halina maana wala tija yoyote ile. Kwa mfano, si sawa kwa stendi ya...
29 Reactions
263 Replies
14K Views
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, anatarajiwa kuwasili Tanzania jioni ya leo kwa ajili ya kuanza Ziara ya Kiserikali kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
4 Replies
172 Views
  • Redirect
Amekuja kufanya nini hapa? Au naye anaua kama kawa! kwake huko. Russia , China naweza nikamuelewa. Huko murder case inatumia less than 30 minutes na ananyongwa mtu!
1 Reactions
Replies
Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza waliyojadili na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es...
0 Reactions
4 Replies
108 Views
Wakuu , natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu . Kila mtu amesikia kwamba kivuko cha magari cha TAZARA ( siyo flyover kama wengi wanavyotuaminisha )...
31 Reactions
269 Replies
23K Views
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na...
4 Reactions
90 Replies
15K Views
====== WANANCHI WAPINGA KUJIUZULU KWA MWENYEKITI ENGOSOWASHI. Wananchi wa Mtaa wa Engosowash, Kata ya Moshono jijini Arusha, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa mwenyekiti wao kujiuzulu...
1 Reactions
1 Replies
208 Views
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, huku nchi hizo zikikubaliana kushirikiana katika maeneo tisa ya kimkakati yenye...
1 Reactions
6 Replies
177 Views
Back
Top Bottom