Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hatimaye picha kamili ya utendaji wa waziri wa fedha na uchumi bi Saada Salum Mkuya imeanza kudhihirika baada ya kupatwa na jazba na kisha kulia mbele ya kamati ya bunge ya bajeti pale alipokuwa...
2 Reactions
132 Replies
20K Views
Nikiwa sina hili wala lile nimekutana na habari kuwa Zanzibar haina hela ya kuwatibia Watanzania wanaokaa Zanzibar kwa sababu sio Wazawa. Gen-Z msipitwe na hii fursa kama mnavoandika vipeperushi...
3 Reactions
7 Replies
155 Views
Wana JF, Ni jambo la kusikitisha kuwepo upotevu wa kiasi kikubwa cha pesa kwa ukwepaji kodi wa makontainer 349 yenye thamani billion 80 wakati wenye dhamana ya kulinda mali hizi zisipotee wakina...
3 Reactions
231 Replies
35K Views
Mpango, Saada Mkuya wavutana umeme Z’bar Viongozi hao pia waliingia katika mvutano kuhusu kutoletwa bungeni kwa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya VAT ambayo ingesitisha hatua ya Tanesco...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Kwanza kabisa kama kuna WanaCCM ambao hawana ushawishi ila wapo madarakani kwa upendeleo au labda kwa kutumia matunguri ni Ally Hapi. Uwezo wake wa kushawishi watu ni mdogo na hoja za msingi...
0 Reactions
2 Replies
98 Views
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye. Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni...
9 Reactions
40 Replies
546 Views
  • Redirect
Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar, Saada Mkuya Salum amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar haiwezi kugharamia matibabu kwa Watu wasio Wazanzibar. Saada ametoa kauli hiyo leo Juni 9, 2026 wakati...
1 Reactions
Replies
Views
Kama kawaida mama yetu kipenzi, anayeupiga mwingi ndio anaongoza kwenye hii list wakati wenzetu wanaongoza kwenye mambo ya Teknolojia, Uchumi, Silaha na mengine mengi yeye anaongoza kwenye PhD za...
2 Reactions
0 Replies
89 Views
Namkumbisha msajiri wa vyama vya siasa jaji Mtungi na msaidizi wake bwana Nyahoza kuchukua hatua za haraka sana kukiandikia barua chama cha mapinduzi CCM. Hii nikutokana na kauli mbali mbali...
5 Reactions
4 Replies
409 Views
Kwa mujibu wa chanzo hiko hapo ni mortuary ya mwananyamala. Ni maelezo ya namna gani yanaweza kukubalika juu ya tukio kama hili? HAKUNA. ============== Ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia...
27 Reactions
303 Replies
14K Views
Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa...
4 Reactions
12 Replies
627 Views
Mamlaka ya serikali ya kijiji au mtaa inakamilishwa na uwepo wa mtendaji wa kijiji au mtaa. Maamuzi ya mkutano wa kijiji au mtaa yanaidhinishwa na katibu wa mkutano huo ....yaani mtendaji ...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, kuhusu mkakati wa serikali juu ya malipo kwa Walimu wanaojitolea ili walau waweze kukidhi mahitaji yao. Naibu Waziri wa Elimu Sayansi...
1 Reactions
5 Replies
219 Views
Ni muhimu washirika wa maendeleo kutoka pande hasimu mbili za dunia kutambua na kukumbushwa kuwa Tanzania kama mfuasi wa "NAM" ilijiweka wazi kuwa haitofungamana na pande yoyote hasimu kati ya...
0 Reactions
7 Replies
71 Views
  • Redirect
Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar, Saada Mkuya Salum amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar haiwezi kugharamia matibabu kwa Watu wasio Wazanzibar. Saada ametoa kauli hiyo Juni 8, 2026 wakati akijibu...
0 Reactions
Replies
Views
Walimu ni sehemu muhimu ya watumishi wa umma ambao wana "impact" kubwa katika jamii Miaka ya nyuma kidogo, pamoja na kuishi maisha yao ya kawaida kutokana na kipato chao walimu waliheshimika sana...
0 Reactions
4 Replies
217 Views
Nimesikiliza hili kauli hadi nikatokwa na machozi, i can't imagine kwamba hawa ndo watengeneza dira ya 2050? Kwamba we are too slow in such way miaka 10 ni sawa na mwaka mmoja? kwani huyu watoto...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
Wanadodi, Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!. Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya...
8 Reactions
119 Replies
12K Views
Watanzania wengi wameshangilia ujio wa Mhe.Ummy Mwalimu a.k.a ODO hivi sasa akiwa mtumishi mwandamizi kumsaidia Rais Samia. Ni ukweli usiopingika kuwa mwanasheria huyu na mbunge mstaafu anao...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Back
Top Bottom